Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Sikuangalia vizuri nikadhani ni mahindi ya kuchoma πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wabeja sana Msukuma🀣
Njoo uyachukue ukale
 
Aventos natumia kwa sasa inakaa sana sema mi napaka na Mist ...Kwangu naona ni value for money coz bei Chee 25k then mil 100 ni bomba Haina bugs na noise kwa sana ..

Nimemtumia creed na pegasus plus mist dah ni kupata Mafua tu daily zinakuwa kali sana..
Nijuze hilo chimbo uliponunua hiyo Aventos niijaribu namimi
 
Pitapita zangu leo nmeiona hii comment yako mkuu nikajikuta nacheka [emoji1][emoji1]
Hivi sasa nimetulia humu...
Nikimaliza nitaitafuta hiyo Aventus mnayoisema nione ikoje. Umeshainunua?
Screenshot_20230115-202908.jpg
 
Kwa body mist Victoria secret wapo vyema halafu inakaa muda mrefu

Pamoja na Bodycology Zipo vyema
inaonekana za kike hizo majina yake yalivokaa.
Body mist ya kiume nzuri ni ipi na Bei.
 
Back
Top Bottom