Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Thank you my Gentlemen Customers[emoji7]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
16K?Ukishapuliza mara moja tu basi
Na ukipuliza siku 2 ,3 inanasa kwenye nguo..
Hata ikiisha,nguo inabaki inanukia
Ndiyo16K?
Soweto duka lipi mkuu?Wanyama hawa apa[emoji123][emoji123][emoji123]
Anventos kumbe kwenye box ipo na kaspray kadogo na watu hamsemi
All in all, watu wa mbeya mjini kuna mjamaa apo soweto ana perfume zote zinazotajwaga humu na bei yake n rafiki
View attachment 2497471View attachment 2497472
vp hiikati ya zote hapo hyo 24 ni nyokoooo
Hapo tofauti ya bei ni kwasababu ya ubora au ujazo?Mkuu mm ninayo kuna version mbili 30k na 70k
Quality mkuu, production tofautHapo tofauti ya bei ni kwasababu ya ubora au ujazo?
Nieleweshe mkuu..
mmh! hii kwangu ndo the best ikifuatwa na diable blueKwangu mimi it's too much, too shouting. Haina utulivu
Sioni compliments zozote... kwenye kukaa 8/10
uko sahihi sana ukute anapenda maharufu ya majani ya chai.Well,tupo tofauti mimi nimeikubali
Hii Aventos napulza kufikia sa tano harufi ishaisha bhna.Chukua hii Mkuu
Harufu itakuganda hadi utachoka mwenyeweView attachment 2515125
Itakuwa unahisi perfume imeisha lakini uliokaa nao wanakusikia.Hii Aventos napulza kufikia sa tano harufi ishaisha bhna.
Yaan inazidiwa hata na spray yangu ya "Let's imagine"
Saint Anne em nijuze perfume iliyotulia kama black opium ambayo inatulia the whole day kwenye nguo ili nikiuungishe bhana
Black opium tatzo nilinunua ya kupima, lakini naona kama nayo inawahi kuisha kwenye nguo.Itakuwa unahisi perfume imeisha lakini uliokaa nao wanakusikia.
Sometimes Mimi huwa najihisi hivyo,lakini nikipita watu wananiambia nanukia.
Japo nyingine kweli zinaisha fasta mwilini.
Ila hadi sasa binafsi yangu sijaona perfume Kali kama black opium[emoji119].
Nimekuelewa Mkuu,
Chukua hiyo Suspenso
Na Bavaria.
Hazitoki haraka mwilini.
Black opium ni nzuri sanaBlack opium tatzo nilinunua ya kupima, lakini naona kama nayo inawahi kuisha kwenye nguo.
Ila for me, black opium n best kwa harufu yake ya kutulia. Haina kelele wala hata ukiipuliza haiumizi pua
Kutofautiana ni sehem ya maisha...uko sahihi sana ukute anapenda maharufu ya majani ya chai.
issey miyake
eros man
sauvage dior
hzi ni trendings perfume ila hamna hta 1 naikubali
Black opium [emoji123]Hii Aventos napulza kufikia sa tano harufi ishaisha bhna.
Yaan inazidiwa hata na spray yangu ya "Let's imagine"
Saint Anne em nijuze perfume iliyotulia kama black opium ambayo inatulia the whole day kwenye nguo ili nikiuungishe bhana
Changanya na cool water...Black opium ni nzuri sana
Hata mimi naipenda mno Mkuu,
Pengine naipenda kuliko perfume nyingine zoote.
Mi huwa naipenda yenyewe vile vileChanganya na cool water...
Utanipa matokeo.