mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,966
- 2,634
Nipe dear, kama Mlimani city ni rahisi kwangu kuwapata.Wako M city sijui
Labda nikupe namba zao
Mostly wanakuwaga kwenye maonyesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe dear, kama Mlimani city ni rahisi kwangu kuwapata.Wako M city sijui
Labda nikupe namba zao
Mostly wanakuwaga kwenye maonyesho
Sugar hujawahi ulizwa? Wanaokuzunguka hawako serious 😁Sijui kwanini my way hata sielewi
Safari hii nimeamua kuitumia pekeyake
Ajabu kila ninapokwenda wanaisifia ssna yaani kila mtu ananiuliza natumia perfume gani.
Akina pink sugar ,Sweet passion wala sijawahi kuulizwa[emoji1787]ila ndio naona nzuri
Bila kusahau perfume yangu constant black opium.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu uzi utakuingiza sana chaka kama utasema uone perfume huku halafu ukaitafute utajuta nakwambia.
nishaingizwa chaka na I.D moja naitafuta yule kenge atakua kashabadilisha jina,alisifia unyunyu flani hivi namimi bila hiyana nika press order ya Free Delivery.. mzigo umefika sikuelewa ile harufu ni ya Rungu au Air Fresh...
Ulaaniwe we member sijui sema ila fresh nili iweka toilet hadi ikaishaga nikimaliza kupupu naspray ndo natoka
Hawako serious kabisa yaaniSugar hujawahi ulizwa? Wanaokuzunguka hawako serious 😁
Nikipuliza pnk sugar aisee me mwenyewe naskia raha… na simalizi siku zijaulizwa
sijui nijichanganye tenaHawako serious kabisa yaani
Hakuna perfume tamu kama pink sugar
Hiyo my way haijaifikia pink sugar kwa uzuri
Sema wakati natumia sugar nilikuwa namix na Sweet passion na Black strawberry..nikawa sitabiriki,mtu haelewi anajisikia ipi😂
Ila pink sugar yaani unyama ni mwingi pale aisee 🔥
Utamu unausikilizia kuanzia unapoipuliza.
Pink sugar ni sukari sukari tusijui nijichanganye tena
Pink sugar ni sukari sukari tu
Yaani ni utamu.
Ipo Black opium pia.
Hizo perfumes 2 ukinunua na usipozipenda
Njoo uninyonge.
Usije kuja tu kunitukana😂😂😂😂Jamani mmemsikia huyu mchumba ake mtu...
Ngojea
Mtajie kbs na chimbo la kuipata asije nunua fekero bure akanukia kama sumu ya kuulia mendeUsije kuja tu kunitukana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila I assure you,100% hutaregret huo unyama.
Sijajua kama ananunua za kupima ama zisizo za kupima.Mtajie kbs na chimbo la kuipata asije nunua fekero bure akanukia kama sumu ya kuulia mende
Hapo Uhakika ashindwe yy hapoSijajua kama ananunua za kupima ama zisizo za kupima.
Kama za kupima nitampa chimbo zuri la bei nafuu na quality perfume.
Machimbo mengine wanajaza maji sana.
Shea hapa kamandaSijajua kama ananunua za kupima ama zisizo za kupima.
Kama za kupima nitampa chimbo zuri la bei nafuu na quality perfume.
Machimbo mengine wanajaza maji sana.
Chukua zoteHabari zenu.
Nataka nichukue hizo perfume mbili nione uzuri mnaosema.
- My way
- black opium
Bajeti yangu kwa zote mbili jumla maximum 50,000 - 60,000/=
Nazipata wapi?
Kwa sasa natumia Lacoste White ya kupima, hainipi mzuka tena kiviile.
Nadhani nimeshaweka comment ya juu MkuuShea hapa kamanda
Location ya muirani ni wapi kiongozi?Hizo perfume zote hapo zimeanzia USD 250- 500 kwa brand original..
But kwa zakupima ..dsm..
Kwa yule muirani kariakoo.. au Esmat zinapatikana kwa bei ya kupima kwa ujazo unaotaka..
naomba chimbo hilo please niende jisevia huo ushauri nasahaSijajua kama ananunua za kupima ama zisizo za kupima.
Kama za kupima nitampa chimbo zuri la bei nafuu na quality perfume.
Machimbo mengine wanajaza maji sana.
Nimeweka comment ya juunaomba chimbo hilo please niende jisevia huo ushauri nasaha
ni quote ni tagNimeweka comment ya juu
Habari zenu.
Nataka nichukue hizo perfume mbili nione uzuri mnaosema.
- My way
- black opium
Bajeti yangu kwa zote mbili jumla maximum 50,000 - 60,000/=
Nazipata wapi?
Kwa sasa natumia Lacoste White ya kupima, hainipi mzuka tena kivi
•Hyo lacoste vipi ina unyama nikuige au kawaida??Habari zenu.
Nataka nichukue hizo perfume mbili nione uzuri mnaosema.
- My way
- black opium
Bajeti yangu kwa zote mbili jumla maximum 50,000 - 60,000/=
Nazipata wapi?
Kwa sasa natumia Lacoste White ya kupima, hainipi mzuka tena kiviile.