Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Sijui kwanini my way hata sielewi
Safari hii nimeamua kuitumia pekeyake

Ajabu kila ninapokwenda wanaisifia ssna yaani kila mtu ananiuliza natumia perfume gani.

Akina pink sugar ,Sweet passion wala sijawahi kuulizwa[emoji1787]ila ndio naona nzuri
Bila kusahau perfume yangu constant black opium.
Sugar hujawahi ulizwa? Wanaokuzunguka hawako serious 😁

Nikipuliza pnk sugar aisee me mwenyewe naskia raha… na simalizi siku zijaulizwa
 
Huu uzi utakuingiza sana chaka kama utasema uone perfume huku halafu ukaitafute utajuta nakwambia.

nishaingizwa chaka na I.D moja naitafuta yule kenge atakua kashabadilisha jina,alisifia unyunyu flani hivi namimi bila hiyana nika press order ya Free Delivery.. mzigo umefika sikuelewa ile harufu ni ya Rungu au Air Fresh...

Ulaaniwe we member sijui sema ila fresh nili iweka toilet hadi ikaishaga nikimaliza kupupu naspray ndo natoka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sugar hujawahi ulizwa? Wanaokuzunguka hawako serious 😁

Nikipuliza pnk sugar aisee me mwenyewe naskia raha… na simalizi siku zijaulizwa
Hawako serious kabisa yaani

Hakuna perfume tamu kama pink sugar
Hiyo my way haijaifikia pink sugar kwa uzuri

Sema wakati natumia sugar nilikuwa namix na Sweet passion na Black opium, strawberry..nikawa sitabiriki,mtu haelewi anaisikia ipi😂
Ila pink sugar yaani unyama ni mwingi pale aisee 🔥
Utamu unausikilizia kuanzia unapoipuliza.
 
Hawako serious kabisa yaani

Hakuna perfume tamu kama pink sugar
Hiyo my way haijaifikia pink sugar kwa uzuri

Sema wakati natumia sugar nilikuwa namix na Sweet passion na Black strawberry..nikawa sitabiriki,mtu haelewi anajisikia ipi😂
Ila pink sugar yaani unyama ni mwingi pale aisee 🔥
Utamu unausikilizia kuanzia unapoipuliza.
sijui nijichanganye tena
 
Mtajie kbs na chimbo la kuipata asije nunua fekero bure akanukia kama sumu ya kuulia mende
Sijajua kama ananunua za kupima ama zisizo za kupima.


Kama za kupima nitampa chimbo zuri la bei nafuu na quality perfume.

Machimbo mengine wanajaza maji sana.
 
Habari zenu.

Nataka nichukue hizo perfume mbili nione uzuri mnaosema.
  • My way
  • black opium

Bajeti yangu kwa zote mbili jumla maximum 50,000 - 60,000/=

Nazipata wapi?

Kwa sasa natumia Lacoste White ya kupima, hainipi mzuka tena kiviile.
Chukua zote
Mils 30 each
Utazipata zote na chenji itabaki..ikibaki chukua Cool water uchanganyie na B Opium


Nenda Manzense Big brother karibu na vunjabei
Utazipata kwa Apende
Au

Nenda Msimbazi barabara ya polisi,duka la kwanza la vitambaa kabla hujafika jengo la shimoni...utapata pale nzuri za kupima kwa bei nafuu kuliko kwa Apende.
Note;Huu mtaa una maduka mengi ya kupima ila hilo naona hawajazi maji kabisa,,kitu pure unapewa.


Yapo machimbo mengine ya Bei nafuu zaidi kuliko hizo ila maji maji maji
Ukikaa vibaya unawekewa maji mengi,unless uwe mzoefu sana ndio hautapigwa.

Machimbo mengine ndio hayo popular Yakina EmatScent na wenzie...
Mie nimewapa machimbo ya kuswahilini ambayo unapata kitu sawa na ya kishua.

Mengine ya Zenji ila ya jumla.
 
Hizo perfume zote hapo zimeanzia USD 250- 500 kwa brand original..

But kwa zakupima ..dsm..

Kwa yule muirani kariakoo.. au Esmat zinapatikana kwa bei ya kupima kwa ujazo unaotaka..
Location ya muirani ni wapi kiongozi?
 
Midnight Fantasy
17020843380701605480956514122123.jpg
 
Habari zenu.

Nataka nichukue hizo perfume mbili nione uzuri mnaosema.
  • My way
  • black opium

Bajeti yangu kwa zote mbili jumla maximum 50,000 - 60,000/=

Nazipata wapi?

Kwa sasa natumia Lacoste White ya kupima, hainipi mzuka tena kivi

Habari zenu.

Nataka nichukue hizo perfume mbili nione uzuri mnaosema.
  • My way
  • black opium

Bajeti yangu kwa zote mbili jumla maximum 50,000 - 60,000/=

Nazipata wapi?

Kwa sasa natumia Lacoste White ya kupima, hainipi mzuka tena kiviile.
•Hyo lacoste vipi ina unyama nikuige au kawaida??
•Club de nuit intense man umewah tumia?
 
Back
Top Bottom