Tujuzane: Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote?

Samaki woote watamu inategemea maandalizi yake tu.
 
Salam kwenu.

Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua

Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
Hujawahi kula Papa mzee dah[emoji119][emoji119]Tamu
 
Salam kwenu.

Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua

Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
Kihalua.
 
Salam kwenu.

Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua

Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
sato ndio smaki mtamu kuliko wote
 
Samaki woote watamu inategemea maandalizi yake tu.
Inawezekana mkuu nimejaribu kununua hawa samaki wa aina kadhaa nijue ladha zao wengine wako poa sana hata chukuchuku tu.
 
Salam kwenu.

Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua

Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
Kamongo
 
Nguru yule aliyewekwa kwenye sarafu ya senti tano
Yule sio nguru mkuu. Anaitwa nduaro. Humpati km huna kuanzia laki 5 kiasi.
Wanakula matajiri tu na hata kuwakuta sokoni sio rahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…