25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
faida ya uchawi katika biasharaBiashara nyingi uchawi unahusika kwa namna moja au nyingine majuzi katika tafuta yangu ujuzi ili nizame kwenye kisima hiki cha biashara nikaishiwa nguvu kitendo cha kuambiwa ni lazima uende kidogo kwa babu avute wateja hizi imani zipoje
Makazini uchawi, Biashara uchawi ina maana kazi na biashara haiendi bila uchawi ndugu yangu work mate kafungua bucha fasta kwa mganga eti zindiko na kukwepa chuma ulete why Tanzania au hata Bakhressa pale alipofika ametumia hizi nguvu za kichawi tujuzane najua mpo kama huyu jamaangu
Labda nipo usingizini acha niendelee kulala
1 kuua ndugu mtoto mke
2 kulala wenye banda la mbwa
3 kila huyo ulie mfanya msukule kila mala unakuwa nae beneti watu hawa muoni lakini wewe unamuona
4 kuvaa hovio hovio kula hvio kuvaa hovio kutembea peku
5 kuishi kwa mashariti magumu yasio wezekana kwa mtu ambae hajatoa mtu msukule
6 kuwa na uchungu na mali ulipita kiwago
7 ubahili usio kuwa na maana hata kama ndugu yako anakufa hauko tayali kumsaidia roho mbaya
8 kuwa na pesa isio weza kudumu baada ya mwenye mali kufa
9 kuwa myonge kila mala pindipo ukiona huyo msukule ulienae beneti hata kujisaidia kulala unakuwa nae tu hata kwenye gali uko nae tu udenda chawa kujikojolea kunjinyea hiyo kwa anaetumia uchawi hiyo ndio pafiumu yake
kwa ufupi uchawi hauna faida yoyote kwenye utafutaji