Tujuzane kidogo, Uchawi una nafasi gani katika biashara

Tujuzane kidogo, Uchawi una nafasi gani katika biashara

Nimesoma mabandiko ya watu wengi nafurahia michango yao.Lakini jambo la kweli ni hili, mafanikio ni jambo la rohoni na sio mwilini.

Ukimuona mtu tajiri leo ujue ni tajiri toka rohoni na sio mwilini, mwilini ni udhihirisho tu wa kile cha rohoni. Bahati mbaya watu wengi huficha siri za mali zao na ukijaribu kudodosa mtu watakwambia ni juhudi tu, usidanganyike sio kweli kunawatu wanfanya juhudi sana lakini hawana kitu.

Na kama ingekuwa juhudi basi wazee wetu vijijini wangekuwa matajiri sama maana wanajuhudi sanaa. Utajiri unapatikana kwa kuishi vizuri na Mungu au Nashetani njee ya hapo utakuwa na cheji za kawaida tu sana lakini huwezi vuka hatua za kutisha. Hata leo angalia wengi wa matajiri ni watu walioa ina either kwenye makampuni yao au serikalini nk. Je hizo ni juhudi nazo?

Si vizuri kutaja watu, ipo mifano ya watu waliokwenda kwa shetani na ni matajiri sana tu (wauza mioyo kwa shetani). Vikwazo vyakuwa tajiri ni vingi mnooooo kiasi kwamba bila nguvu za Mungu au shetani huwezi kitoboa.

Hapa natamani kusema ni wewe na akili zako kuamua utafute mali kwa kupitia upande upi bila kuathiri marshati na vigezo vya upande huo uutakao na mali utapata tuu tena sanaaaa

Kwa shetani ukipata mali ukahonga sawa tu, ukitoa sadaka kwa Mungu sawa tu maana unachuma laana na anapenda ulaaniwe maana Mungu hataki sadaka chafu, ukisambaza ukimwi sawa tu maana unajenga ufalme wake,ukinunulia watu pombe sawa tu, ukiwa na wanawake au wanaume hata 100 sawa tu, ukiuwa sawa tu ndo kwanza zinaongezeka. Kwa sababu unaujenga ufalme wake. Ila ukifaa motoni

Kwa Mungu, lazima Mungu akujaribu moyoni na ahalikishike kuwa hutatumia pesa kuharibu watu wake, umililiki wake na utakuwa msaada kwao. Hutakuwa na kiburi wala hutazitegemea pesa zako kwani Mungu peke yàke ndiye wa kutegemewa na yeye ndiye akupaye nguvu za kupata huo utajiri tena huo udumuo

Tena hutajenga kiburi na kujiona Mungu mtu maana Mungu anawapenda wanyenyekevu wa moyo na wapole wa nafsi.

Jambo hili la kupata pesa kwa Mungu ni mtihani mkubwa sana maana watu wengi tunapenda vitu rahisi na tukipata lazima ijulikane kuwa tunazo.

Tafakari na jifunze utajiri ni swala la rohoni na anae wahi rohoni ndiye anayekula nyama, ukibaki unaongelea mwilini utazeeka na story zako tu za vijiweni.
 
Katika 10,000megawitch na zinamiliwa kama ifuatavyp;-
*wakinga wanamiliki 3000m/witch.
*jamii ya kizanzibar 3000m/witch.
*wakibosho 2000m/witch.
*jamii mbalimbali zinamiliki jumla za megawitches zilizobakia...
 
Uchawi upo. Ili ufanikiwe lazima uwe na know how/ understanding of what you are doing. Uchawi unatumika kama silaha ya kuharibu mafanikio au silaha ya kulinda mafanikio.
 
Biashara nyingi uchawi unahusika kwa namna moja au nyingine majuzi katika tafuta yangu ujuzi ili nizame kwenye kisima hiki cha biashara nikaishiwa nguvu kitendo cha kuambiwa ni lazima uende kidogo kwa babu avute wateja hizi imani zipoje

Makazini uchawi, Biashara uchawi ina maana kazi na biashara haiendi bila uchawi ndugu yangu work mate kafungua bucha fasta kwa mganga eti zindiko na kukwepa chuma ulete why Tanzania au hata Bakhressa pale alipofika ametumia hizi nguvu za kichawi tujuzane najua mpo kama huyu jamaangu

Labda nipo usingizini acha niendelee kulala
Poor minds...Poor people..Poor life...
Poor kila kitu..
 
Nakumbuka nilishawah ibiwa kama Tsh 1,200,000 kwenye biashara yangu ya mpesa kwa chuma ulete.. Sitazisahau hzo siku...
 
Usipende ujinga ,maana ni swali linaloulizwa na mwemdawazim je ww n mweu? Au?
 
uchawi upo..na wafanyabiashara wanautumia sana...kafala kila kona.
 
Nimesoma mabandiko ya watu wengi nafurahia michango yao.Lakini jambo la kweli ni hili, mafanikio ni jambo la rohoni na sio mwilini.

Ukimuona mtu tajiri leo ujue ni tajiri toka rohoni na sio mwilini, mwilini ni udhihirisho tu wa kile cha rohoni. Bahati mbaya watu wengi huficha siri za mali zao na ukijaribu kudodosa mtu watakwambia ni juhudi tu, usidanganyike sio kweli kunawatu wanfanya juhudi sana lakini hawana kitu.

Na kama ingekuwa juhudi basi wazee wetu vijijini wangekuwa matajiri sama maana wanajuhudi sanaa. Utajiri unapatikana kwa kuishi vizuri na Mungu au Nashetani njee ya hapo utakuwa na cheji za kawaida tu sana lakini huwezi vuka hatua za kutisha. Hata leo angalia wengi wa matajiri ni watu walioa ina either kwenye makampuni yao au serikalini nk. Je hizo ni juhudi nazo?

Si vizuri kutaja watu, ipo mifano ya watu waliokwenda kwa shetani na ni matajiri sana tu (wauza mioyo kwa shetani). Vikwazo vyakuwa tajiri ni vingi mnooooo kiasi kwamba bila nguvu za Mungu au shetani huwezi kitoboa.

Hapa natamani kusema ni wewe na akili zako kuamua utafute mali kwa kupitia upande upi bila kuathiri marshati na vigezo vya upande huo uutakao na mali utapata tuu tena sanaaaa

Kwa shetani ukipata mali ukahonga sawa tu, ukitoa sadaka kwa Mungu sawa tu maana unachuma laana na anapenda ulaaniwe maana Mungu hataki sadaka chafu, ukisambaza ukimwi sawa tu maana unajenga ufalme wake,ukinunulia watu pombe sawa tu, ukiwa na wanawake au wanaume hata 100 sawa tu, ukiuwa sawa tu ndo kwanza zinaongezeka. Kwa sababu unaujenga ufalme wake. Ila ukifaa motoni

Kwa Mungu, lazima Mungu akujaribu moyoni na ahalikishike kuwa hutatumia pesa kuharibu watu wake, umililiki wake na utakuwa msaada kwao. Hutakuwa na kiburi wala hutazitegemea pesa zako kwani Mungu peke yàke ndiye wa kutegemewa na yeye ndiye akupaye nguvu za kupata huo utajiri tena huo udumuo

Tena hutajenga kiburi na kujiona Mungu mtu maana Mungu anawapenda wanyenyekevu wa moyo na wapole wa nafsi.

Jambo hili la kupata pesa kwa Mungu ni mtihani mkubwa sana maana watu wengi tunapenda vitu rahisi na tukipata lazima ijulikane kuwa tunazo.

Tafakari na jifunze utajiri ni swala la rohoni na anae wahi rohoni ndiye anayekula nyama, ukibaki unaongelea mwilini utazeeka na story zako tu za vijiweni.
[emoji121][emoji56][emoji56][emoji56]...[emoji115][emoji115][emoji115]
 
Nakumbuka nilishawah ibiwa kama Tsh 1,200,000 kwenye biashara yangu ya mpesa kwa chuma ulete.. Sitazisahau hzo siku...
Siyo CHUMAULETE, mkuu...
Hiyo ni michezo tu ya mjini...
inaitwa CHENJIKOTA.
Ni balaa!!!
 
Kama hauamini wekabiashara Yako temeke kule halafu ulete mrejesho
 
Kuna mahala nina duka la kuuza Gas na vifaa vyake kwa maana ya mambo ya jikoni,sasa mlinzi wa usiku hua ananipa hadithi ya wenye maduka wenzangu ambao ni majirani zangu kwa maana ya vyumba vya biashara,ya kua watu huja usiku wa manane huosha na madawa maeneo yao ya biashara,m1 wapo ndo kinara,mlinzi huyu anasema wakati mwingine hua anasikia ngoma zinapigwa ndani ya duka usiku wa saa7 mpaka saa10 na hakuona watu wameingiaje na wala hataona watu wanatoka humo dukani zaidi ya mwenye duka kuja asubuhi kufungua duka lake.ni HATARI hii mambo.nachoweza kusema watu wanaroga sana sana ktk biashara,nadhani uaminicho ndicho kitakachokua,ila uhakika wa uchawi unatumika ktk biashara hii ni %100,kama wanafanikiwa kwa hilo hapo ndo mtihani kujua hilo mpaka uingie kwenye hiyo ngoma
 
mnaopinga uwepo wa uchawi n nguvu zake humu ndio wachawi namba moja.huwezi niambia kuna mbongo asie amini uchawi.wengi mapritender humu watoa makafara wakubwa.wakija hapa wanajidefend weeeee.ila siku tutawakamata tu
UCHAWI NI KITU KIPANA SAAANA, NA KIMEENEA KILA BARA HAPA DUNIANI. KUKUBALI AU KUKATAA UCHAWI NI MTU BINAFSI ILA HAIFUTI UKWELI..VITABU VYOTE VIAMINIWAVYWO VIMEANDIKA KUWEPO UCHAWI........
 
Back
Top Bottom