Tujuzane kidogo, Uchawi una nafasi gani katika biashara

Tujuzane kidogo, Uchawi una nafasi gani katika biashara

hata wateja wa jamaa wa tofalu mbovu walikua wnaziona nzuri sana kama za mpemba.itakua uchawi w mpemba ushakukumb wewe ndo maana unaziona supa.kumbe za kawaiiida

hahhaha wewe nawe nahisi upo kwenye chama duuh ndio maana nikasema biashara nyingi kuna uchawi ndani yake WATU ROHO NGUVU NENO LA MUNGU NJE
ngoja niendelee kudadisi maana inashangaza wabongo kuzikumbatia hizi imani kama umo useme faida kubwa unayoipata
 
Uchawi wangu ni yesu tu na kila kitu kinaenda sawa tu nyie tegemeeni wanadam na shetani tu
 
Uchawi wangu ni yesu tu na kila kitu kinaenda sawa tu nyie tegemeeni wanadam na shetani tu
Asante tunahitaji watu kama nyinyi eti ushindwe biashara kisa uchawi Una muda gani katika hiyo biashara yako na umewahi kumbana na haya ya uchawi
 
Biashara bila uchawi haiendi. Anaye fanya biashara bila uchawi anafanya biashara kitoto.
Biashara paspo uchawi ni sawa kujiangaisha tu zunguka tafuta waganga wa mahana
 
Biashara paspo uchawi ni sawa kujiangaisha tu zunguka tafuta waganga wa mahana
Utamtegemeaje binadamu Mungu kakataza ivo? Na sijawaona cha kutisha katika huo uchawi mtu una flem moja nayo ya kuuza CD fasta kwa mganga duuuh tupunguze huu ujinga Wengi HUMU WAPO KIMUNGU ZAIDI MGANGA HAKUFIKISHI POPOTE
 
the RICHARDS,


Acha hiyo mi nlianza tu kulima bustani sehemu flani hivi() wenyeji wakanishuri niende kwa sangoma kuomba ulinzi wa shamba. Sina hamu mpka leo
 
hahhaha wewe nawe nahisi upo kwenye chama duuh ndio maana nikasema biashara nyingi kuna uchawi ndani yake WATU ROHO NGUVU NENO LA MUNGU NJE
ngoja niendelee kudadisi maana inashangaza wabongo kuzikumbatia hizi imani kama umo useme faida kubwa unayoipata
uchawi ni imani kama unavyoamini dini yako au mpagani asieamini mungu..so faida unazo zipata kwenye dini yako ndo mchawi anazipata kwenye uchawi wake.kinachotokea ni usuperior tu wa mtu na imani yake hasa enzi iz i.wahindi wenzetu kuvunja nazi makazini au njiani ni kawaida sn.mtu anafanya kweupeee.ila kwetu usithubutu.[emoji12]
 
uchawi ni imani kama unavyoamini dini yako au mpagani asieamini mungu..so faida unazo zipata kwenye dini yako ndo mchawi anazipata kwenye uchawi wake.kinachotokea ni usuperior tu wa mtu na imani yake hasa enzi iz i.wahindi wenzetu kuvunja nazi makazini au njiani ni kawaida sn.mtu anafanya kweupeee.ila kwetu usithubutu.[emoji12]

duuuh ukizisema ivo unazipaisha mkuu hizi tuzitupie kule unapewa masharti kuoga mara moja kwa mwezi unakubali tu HUO NI UTUMWA WA PESA wahindi labda hawa wa bongo nao wanaviiga toka kwetu sidhani kwao kama wamevikumbatia kama tulivo unauza biskuti unawaza zindiko tupoje
 
Acha hiyo mi nlianza tu kulima bustani sehemu flani hivi() wenyeji wakanishuri niende kwa sangoma kuomba ulinzi wa shamba. Sina hamu mpka leo

hahaha sasa huyo sangoma ndo ataotesha mazao imani zingine hizi HUNA USHAURI WA MAAFISA KILIMO UTAPATAJE MAENDELEO nakumbuka kuna sehemu niliwahi ishi Mbeya kule wenyeji wanashindana kusimamisha mvua si wehu huu hakika uchawi ni kukwamisha maendeleo not success pushing
 
duuuh ukizisema ivo unazipaisha mkuu hizi tuzitupie kule unapewa masharti kuoga mara moja kwa mwezi unakubali tu HUO NI UTUMWA WA PESA wahindi labda hawa wa bongo nao wanaviiga toka kwetu sidhani kwao kama wamevikumbatia kama tulivo unauza biskuti unawaza zindiko tupoje
kwan we uchawi unauelewaje.?kwa dini yako au imani yako??
 
kwan we uchawi unauelewaje.?kwa dini yako au imani yako??

mimi nauelewa uchawi kama imani nje ya Mungu maana tumeagizwa tusikiabudu kitu au yeyote nje ya MUNGU WALA KUKITEGEMEA ni amri kuu tuliyoagizwa KO KUMTEGEMEA MGANGA ANIFANIKISHE SIKIAMINI KITU KAMA HICHO NA SIKIPENDI ni nje ya MUNGU lakini wengi ndiko walikoelemea hata wewe pia yaonyesha upo huko
 
mimi nauelewa uchawi kama imani nje ya Mungu maana tumeagizwa tusikiabudu kitu au yeyote nje ya MUNGU WALA KUKITEGEMEA ni amri kuu tuliyoagizwa KO KUMTEGEMEA MGANGA ANIFANIKISHE SIKIAMINI KITU KAMA HICHO NA SIKIPENDI ni nje ya MUNGU lakini wengi ndiko walikoelemea hata wewe pia yaonyesha upo huko
mkuuu hii mada kwako inaonekana ngumu sna.kujua haya mambo sio kwamba ni mshiriki ni kupitia uzoefu na kupenda kujifunza vitu tofauti.ebu nkuhulize "unauhakika wachawi na waganga hawaamini ktk mungu??hebu pitia pitia mada za akina mshana jr 'jichawi na wengine utaona wanavyoelezea haya mambo.we hii elimu huna mkuu .uliyonayo haitoshi kutetea hoja zako.unakataa tu kila kilichoa against na wazo lako.hpo hutojifunza
 
duuuh ukizisema ivo unazipaisha mkuu hizi tuzitupie kule unapewa masharti kuoga mara moja kwa mwezi unakubali tu HUO NI UTUMWA WA PESA wahindi labda hawa wa bongo nao wanaviiga toka kwetu sidhani kwao kama wamevikumbatia kama tulivo unauza biskuti unawaza zindiko tupoje
wahindi ni washirikina kwa asili yao na baadhi -baniani- ni washirikina kwa kupitia dini yao ukiikaribia ni kama ya kishetani.
 
mkuuu hii mada kwako inaonekana ngumu sna.kujua haya mambo sio kwamba ni mshiriki ni kupitia uzoefu na kupenda kujifunza vitu tofauti.ebu nkuhulize "unauhakika wachawi na waganga hawaamini ktk mungu??hebu pitia pitia mada za akina mshana jr 'jichawi na wengine utaona wanavyoelezea haya mambo.we hii elimu huna mkuu .uliyonayo haitoshi kutetea hoja zako.unakataa tu kila kilichoa against na wazo lako.hpo hutojifunza

Kweli kujua ni muhimu lakini hili ndugu yangu lipo upande uliokatazwa kwanini ulijue likusaidie nini na ndio maana nimeuliza maana nimeona wengi wanazitumia lakini still sioni kinacho wafaidisha zaidi ya kuisimamisha akili yao kutokusonga mbele akitegemea kuna ndumba zinamsaidia
MSHANA YUPO KAMA UMEKIFUATILIA ALICHOKIJIBU KUHUSU BIASHARA SI LAZIMA UCHAWI UHUSIKE tatizo nyinyi mnalikataa hilo kwani biashara zote zina uchawi na kumtaja Mungu si kigezo unafuata ulichoagizwa hapo ndipo inaangaliwa NA
USIFUATE ANACHOPOST MTU UKAJUA NI MCHAWI GOOGLE ZIPO apps nyingi zipo njoo kwenye uhalisia ndipo utoe ulijualo biashara inaenda kwa kujuzana sio kubishana kama unajua lazima uwe na dawa ndipo uuze nijibu na unahisi kwanini
 
uchawi upo hata vitabu vya dini vimeandika,na chuma ulete ipo,suluhisho ni kuamini katika Mungu wako,Ikiwa wewe ni Mkiristo fanya ibada kisawa sawa na utoe sadaka na Fungu la kumi.sali unapofungua biashara na unapofunga.
Kaa mbali na washirikina,huwa hawana jema zaidi ya kukudidimiza ktk uchawi mwishowe unafilisika tu.
 
the RICHARDS,
Faida ni nyingi sana ila ntataja baadi:-

1) Mwizi alikuja kuiba kwa mtu alipofika akavunja mlango kuingia akakutana na nyuki akatoka nduki.

2) kuna watu wanakuja dukani kwa mtu anaomba chenchi huku anachotaka ni chuma ulete sasa hapo hatafanikiwa

ukitaka zaidi niulize
 
Back
Top Bottom