Tujuzane kidogo, Uchawi una nafasi gani katika biashara

Tujuzane kidogo, Uchawi una nafasi gani katika biashara

Mkuu rejea huu msemo"siri ya mafanikio ya mtu ni kichaka"tafakari na uchukue hatua.Nikutakie mafanikio mema
 
Biashara nyingi uchawi unahusika kwa namna moja au nyingine majuzi katika tafuta yangu ujuzi ili nizame kwenye kisima hiki cha biashara nikaishiwa nguvu kitendo cha kuambiwa ni lazima uende kidogo kwa babu avute wateja hizi imani zipoje

Makazini uchawi, Biashara uchawi ina maana kazi na biashara haiendi bila uchawi ndugu yangu work mate kafungua bucha fasta kwa mganga eti zindiko na kukwepa chuma ulete why Tanzania au hata Bakhressa pale alipofika ametumia hizi nguvu za kichawi tujuzane najua mpo kama huyu jamaangu

Labda nipo usingizini acha niendelee kulala
Kinachofanya uchawi uitwe uchawi sio mganga,Bali ni ile imani anayoweka mtu kwamba akienda kwa mganga ndipo atafanikiwa be it ni kwenye biashara au maofisini n.k....na pia binadamu wanakua wepesi kuamini katika uganga sababu ni visible lakini uwepo wa Mungu aliye hai na mwenye nguvu juu ya kila kitu ni invisible.....lakini mwisho wa siku mwenye heri ni mtu yule anayeamini katika uwepo wa nguvu za Mungu katika utendaji wake.
 
Biashara nyingi uchawi unahusika kwa namna moja au nyingine majuzi katika tafuta yangu ujuzi ili nizame kwenye kisima hiki cha biashara nikaishiwa nguvu kitendo cha kuambiwa ni lazima uende kidogo kwa babu avute wateja hizi imani zipoje

Makazini uchawi, Biashara uchawi ina maana kazi na biashara haiendi bila uchawi ndugu yangu work mate kafungua bucha fasta kwa mganga eti zindiko na kukwepa chuma ulete why Tanzania au hata Bakhressa pale alipofika ametumia hizi nguvu za kichawi tujuzane najua mpo kama huyu jamaangu

Labda nipo usingizini acha niendelee kulala
Uchawi upo kabisa. Lakini hauna nafasi kwa wanaomwamini Mungu kwa maana dawa ya uchawi ni Yesu kristo kupitia damu ya Yesu na jina la Yesu.
 
Back
Top Bottom