Halidi Haji
Member
- Jan 20, 2017
- 53
- 18
utaaminije wakati huujuiuchawi ni nini? mi siamini uchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utaaminije wakati huujuiuchawi ni nini? mi siamini uchawi
ndio sitaki hata kujua ila kuna wakati nachukia natamani kujua uchawi nimalizane na watu kimya kimyautaaminije wakati huujui
Mpaka hapo unaonyesha wewe pia mchawi [emoji3] [emoji3] [emoji3]ndio sitaki hata kujua ila kuna wakati nachukia natamani kujua uchawi nimalizane na watu kimya kimya
hahahahaha ingikuwa tupo karibu ungkula nakoz za kutoshaMpaka hapo unaonyesha wewe pia mchawi [emoji3] [emoji3] [emoji3]
ningekimbia mbaya kaka napenda kukimbia sipendi fujo[emoji3] [emoji3]hahahahaha ingikuwa tupo karibu ungkula nakoz za kutosha
mimi ni mama weweningekimbia mbaya kaka napenda kukimbia sipendi fujo[emoji3] [emoji3]
ahaaa sorry shikamoo mamamimi ni mama wewe
kuwa na wewe upate yako waniamkia wataka kunnyima nini?ahaaa sorry shikamoo mama
.....kariakoo yote kwa jumla inanguvu Kali sana za Giza za kufikia 10,000MEGAWITCH.
Hahahaaaaakuwa na wewe upate yako waniamkia wataka kunnyima nini?
wanceka au wanchekea?Hahahaaaaa
Nakuthekawanceka au wanchekea?
hanini?Nakutheka
waati nami niehe nikedhiwehanini?
waati nami niehe nikedhiwe
Kinachofanya uchawi uitwe uchawi sio mganga,Bali ni ile imani anayoweka mtu kwamba akienda kwa mganga ndipo atafanikiwa be it ni kwenye biashara au maofisini n.k....na pia binadamu wanakua wepesi kuamini katika uganga sababu ni visible lakini uwepo wa Mungu aliye hai na mwenye nguvu juu ya kila kitu ni invisible.....lakini mwisho wa siku mwenye heri ni mtu yule anayeamini katika uwepo wa nguvu za Mungu katika utendaji wake.Biashara nyingi uchawi unahusika kwa namna moja au nyingine majuzi katika tafuta yangu ujuzi ili nizame kwenye kisima hiki cha biashara nikaishiwa nguvu kitendo cha kuambiwa ni lazima uende kidogo kwa babu avute wateja hizi imani zipoje
Makazini uchawi, Biashara uchawi ina maana kazi na biashara haiendi bila uchawi ndugu yangu work mate kafungua bucha fasta kwa mganga eti zindiko na kukwepa chuma ulete why Tanzania au hata Bakhressa pale alipofika ametumia hizi nguvu za kichawi tujuzane najua mpo kama huyu jamaangu
Labda nipo usingizini acha niendelee kulala
Uchawi upo kabisa. Lakini hauna nafasi kwa wanaomwamini Mungu kwa maana dawa ya uchawi ni Yesu kristo kupitia damu ya Yesu na jina la Yesu.Biashara nyingi uchawi unahusika kwa namna moja au nyingine majuzi katika tafuta yangu ujuzi ili nizame kwenye kisima hiki cha biashara nikaishiwa nguvu kitendo cha kuambiwa ni lazima uende kidogo kwa babu avute wateja hizi imani zipoje
Makazini uchawi, Biashara uchawi ina maana kazi na biashara haiendi bila uchawi ndugu yangu work mate kafungua bucha fasta kwa mganga eti zindiko na kukwepa chuma ulete why Tanzania au hata Bakhressa pale alipofika ametumia hizi nguvu za kichawi tujuzane najua mpo kama huyu jamaangu
Labda nipo usingizini acha niendelee kulala