Tujuzane kuhusu gharama za utalii wa ndani

Tujuzane kuhusu gharama za utalii wa ndani

Midnight

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2021
Posts
229
Reaction score
681
Habari wakuu. Aisee mimi Kuna kitu bado sikielewi hasa kuhusu haya masuala ya utalii wa ndani.

Unakuta sehemu kiingilio cha serikali ni kidogo tu, tuseme kutembelea kivutio A ni 2000 au 2500 na kadhalika, ambapo sehemu nyingi haizidi 10000

Sasa tatizo linakuja kwa hawa waongoza watalii, Kuna baadhi ya maeneo mtu unaweza kujiongoza mwenyewe kutalii bila kuitaji data zozote za maeneo hayo toka kwa muongozaji, maana hadi unafika hapo kila kitu ulishakijua tokea Google na safari channel. Ila unaambiwa hapa hauwezi kwenda mwenyewe bila muongozaji. Ukiuliza ghalama za muongozaji Sasa!!!utachoka ni mara 10 ya ghalama unayolipia kwa serikali kutembelea maeneo hayo.

Kiukweli bado hamjamsaidia mtanzania kutembelea vivutio vingi vilivyopo, bali imekuwa Kama kificho tu cha wapigaji.
 
Tanzania tuna mazingaombwe mengi sana,hasa kwenye sekta kama hizi za utalii.
 
Habari wakuu. Aisee mimi Kuna kitu bado sikielewi hasa kuhusu haya masuala ya utalii wa ndani.

Unakuta sehemu kiingilio cha serikali ni kidogo tu, tuseme kutembelea kivutio A ni 2000 au 2500 na kadhalika, ambapo sehemu nyingi haizidi 10000

Sasa tatizo linakuja kwa hawa waongoza watalii, Kuna baadhi ya maeneo mtu unaweza kujiongoza mwenyewe kutalii bila kuitaji data zozote za maeneo hayo toka kwa muongozaji, maana hadi unafika hapo kila kitu ulishakijua tokea Google na safari channel. Ila unaambiwa hapa hauwezi kwenda mwenyewe bila muongozaji. Ukiuliza ghalama za muongozaji Sasa!!!utachoka ni mara 10 ya ghalama unayolipia kwa serikali kutembelea maeneo hayo.

Kiukweli bado hamjamsaidia mtanzania kutembelea vivutio vingi vilivyopo, bali imekuwa Kama kificho tu cha wapigaji.
Gharama za Utalii kwa Tanzania zipo katika maeneo makuu mawili.

1. Usafiri

Vivutio vingi vipo mbali kidogo na majazi ya watu hasa hifadhi za taifa. Hivyo utahitaji usafiri wa kukufikisha huko, pia baada ya kufika sio salama na hairuhusiwi kutembea ndani ya hifadhi, hivyo yapasa uwe na gari. Na hapo ndio gharama inapotokea.

2. Malazi

Huduma za malazi katika hifadhi ni pasua kichwa hasa katika hifadhi, bahati mbaya miundombinu ya kulaza watalii hifadhini iliandaliwa kwa ajili ya wageni toka nje. Na hata bei zao waliweka kubwa kiasi sehemu ya bei rahisi ni $100-$130. Hiyo ni hela nyingi sana kwa Mtanzania wa kawaida unless ulale nje ya hifadhi.

Nikirudi kwenye mada yako sasa, toka kuja kwa Uviko tour operators wengi wamerudia soko la ndani na kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa kutengeneza tours packages kwa ajili ya Watanzania katika bei tunazoziweza.

Mfano kwa DSM nimeshuhudia tours nyingi kwenda Mikumi au Saadani kwa bei ambayo ipo reasonable, kuanzia 100K mpaka 150K kwa kichwa kwa siku mbili ikijumuisha chakula, malazi, usafiri, kiingilio na huduma ya picha. Pia zipo Day Trips nyingi tu za kwenda Bagamoyo, Pugu Hills au Vikindu kwa kuanzia 30K mpaka 45K.


Arusha napo zipo Day Trips to Arusha National Park, Tarangire au Ngorongoro kwa kuanzia 50K mpaka 80K ipo inclusive ya kila kitu.

Kwa Zanzibar zipo trips za kutosha kwa kuanzia 150K mpaka 200K, kwa siku mbili ikijumuisha usafiri toka Dar na kurudi, chakula, malazi, usafiri while in Zanzibar na viingilio katika vivutio in Zanzibar.

So far Covid-19 imekua baraka kwa Watalii wa ndani ambao mwanzoni waendesha shughuli za utalii waliwasahau kwa makusudi.​
 
Gharama za Utalii kwa Tanzania zipo katika maeneo makuu mawili.

1. Usafiri

Vivutio vingi vipo mbali kidogo na majazi ya watu hasa hifadhi za taifa. Hivyo utahitaji usafiri wa kukufikisha huko, pia baada ya kufika sio salama na hairuhusiwi kutembea ndani ya hifadhi, hivyo yapasa uwe na gari. Na hapo ndio gharama inapotokea.

2. Malazi

Huduma za malazi katika hifadhi ni pasua kichwa hasa katika hifadhi, bahati mbaya miundombinu ya kulaza watalii hifadhini iliandaliwa kwa ajili ya wageni toka nje. Na hata bei zao waliweka kubwa kiasi sehemu ya bei rahisi ni $100-$130. Hiyo ni hela nyingi sana kwa Mtanzania wa kawaida unless ulale nje ya hifadhi.

Nikirudi kwenye mada yako sasa, toka kuja kwa Uviko tour operators wengi wamerudia soko la ndani na kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa kutengeneza tours packages kwa ajili ya Watanzania katika bei tunazoziweza.

Mfano kwa DSM nimeshuhudia tours nyingi kwenda Mikumi au Saadani kwa bei ambayo ipo reasonable, kuanzia 100K mpaka 150K kwa kichwa kwa siku mbili ikijumuisha chakula, malazi, usafiri, kiingilio na huduma ya picha. Pia zipo Day Trips nyingi tu za kwenda Bagamoyo, Pugu Hills au Vikindu kwa kuanzia 30K mpaka 45K.


Arusha napo zipo Day Trips to Arusha National Park, Tarangire au Ngorongoro kwa kuanzia 50K mpaka 80K ipo inclusive ya kila kitu.

Kwa Zanzibar zipo trips za kutosha kwa kuanzia 150K mpaka 200K, kwa siku mbili ikijumuisha usafiri toka Dar na kurudi, chakula, malazi, usafiri while in Zanzibar na viingilio katika vivutio in Zanzibar.

So far Covid-19 imekua baraka kwa Watalii wa ndani ambao mwanzoni waendesha shughuli za utalii waliwasahau kwa makusudi.​
Umesema vema. Mara nyingi hawa waongoza watalii 'tour guides' ni sehemu ya gharama za usafiri.
Ni kujua thamani ya muongoza watalii , wanakua na maelezo ya ziada.
 
Wanazaniaga tu kuwa sisi ni wageni (wazungu)
 
Umesema vema. Mara nyingi hawa waongoza watalii 'tour guides' ni sehemu ya gharama za usafiri.
Ni kujua thamani ya muongoza watalii , wanakua na maelezo ya ziada.
Yeah and believe me ukaenda kwenye kivutio cha utalii bila muongoza utalii unaweza usielewe kitu.
 
Mkuu nimekuelewa vyema. Japo bado Kuna punguzo kubwa kwa wakazi wa ndani lakini bado mwananchi wa kawaida hawezi kumudu hizo ghalama.

Nadhani Govnt itambue wazi kuwa wale maadui zetu watatu mzee nyerere aliowaainisha kuwa tupambane nao wakiongozwa na ndugu umaskini wameshinda vita.
Gharama za Utalii kwa Tanzania zipo katika maeneo makuu mawili.

1. Usafiri

Vivutio vingi vipo mbali kidogo na majazi ya watu hasa hifadhi za taifa. Hivyo utahitaji usafiri wa kukufikisha huko, pia baada ya kufika sio salama na hairuhusiwi kutembea ndani ya hifadhi, hivyo yapasa uwe na gari. Na hapo ndio gharama inapotokea.

2. Malazi

Huduma za malazi katika hifadhi ni pasua kichwa hasa katika hifadhi, bahati mbaya miundombinu ya kulaza watalii hifadhini iliandaliwa kwa ajili ya wageni toka nje. Na hata bei zao waliweka kubwa kiasi sehemu ya bei rahisi ni $100-$130. Hiyo ni hela nyingi sana kwa Mtanzania wa kawaida unless ulale nje ya hifadhi.

Nikirudi kwenye mada yako sasa, toka kuja kwa Uviko tour operators wengi wamerudia soko la ndani na kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa kutengeneza tours packages kwa ajili ya Watanzania katika bei tunazoziweza.

Mfano kwa DSM nimeshuhudia tours nyingi kwenda Mikumi au Saadani kwa bei ambayo ipo reasonable, kuanzia 100K mpaka 150K kwa kichwa kwa siku mbili ikijumuisha chakula, malazi, usafiri, kiingilio na huduma ya picha. Pia zipo Day Trips nyingi tu za kwenda Bagamoyo, Pugu Hills au Vikindu kwa kuanzia 30K mpaka 45K.


Arusha napo zipo Day Trips to Arusha National Park, Tarangire au Ngorongoro kwa kuanzia 50K mpaka 80K ipo inclusive ya kila kitu.

Kwa Zanzibar zipo trips za kutosha kwa kuanzia 150K mpaka 200K, kwa siku mbili ikijumuisha usafiri toka Dar na kurudi, chakula, malazi, usafiri while in Zanzibar na viingilio katika vivutio in Zanzibar.

So far Covid-19 imekua baraka kwa Watalii wa ndani ambao mwanzoni waendesha shughuli za utalii waliwasahau kwa makusudi.​
 
Yeah and believe me ukaenda kwenye kivutio cha utalii bila muongoza utalii unaweza usielewe kitu.
Lakini Kama mimi ni mtanzania na eneo ninalotembelea nalijua vyema kupitia elimu ya shuleni, mitandaoni na simulizi mbali mbali, hapo kunakuwa na umuhimu gani wa kuweka bajeti ya mwongozaji?
Sasa unakuta unalazimishwa kuwa na mwongozaji eneo hilo unalolifahamu vyema miaka yote.
 
Gharama za Utalii kwa Tanzania zipo katika maeneo makuu mawili.

1. Usafiri

Vivutio vingi vipo mbali kidogo na majazi ya watu hasa hifadhi za taifa. Hivyo utahitaji usafiri wa kukufikisha huko, pia baada ya kufika sio salama na hairuhusiwi kutembea ndani ya hifadhi, hivyo yapasa uwe na gari. Na hapo ndio gharama inapotokea.

2. Malazi

Huduma za malazi katika hifadhi ni pasua kichwa hasa katika hifadhi, bahati mbaya miundombinu ya kulaza watalii hifadhini iliandaliwa kwa ajili ya wageni toka nje. Na hata bei zao waliweka kubwa kiasi sehemu ya bei rahisi ni $100-$130. Hiyo ni hela nyingi sana kwa Mtanzania wa kawaida unless ulale nje ya hifadhi.

Nikirudi kwenye mada yako sasa, toka kuja kwa Uviko tour operators wengi wamerudia soko la ndani na kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa kutengeneza tours packages kwa ajili ya Watanzania katika bei tunazoziweza.

Mfano kwa DSM nimeshuhudia tours nyingi kwenda Mikumi au Saadani kwa bei ambayo ipo reasonable, kuanzia 100K mpaka 150K kwa kichwa kwa siku mbili ikijumuisha chakula, malazi, usafiri, kiingilio na huduma ya picha. Pia zipo Day Trips nyingi tu za kwenda Bagamoyo, Pugu Hills au Vikindu kwa kuanzia 30K mpaka 45K.


Arusha napo zipo Day Trips to Arusha National Park, Tarangire au Ngorongoro kwa kuanzia 50K mpaka 80K ipo inclusive ya kila kitu.

Kwa Zanzibar zipo trips za kutosha kwa kuanzia 150K mpaka 200K, kwa siku mbili ikijumuisha usafiri toka Dar na kurudi, chakula, malazi, usafiri while in Zanzibar na viingilio katika vivutio in Zanzibar.

So far Covid-19 imekua baraka kwa Watalii wa ndani ambao mwanzoni waendesha shughuli za utalii waliwasahau kwa makusudi.​
Nimependa hiyo ya kwenda mikumi kwa laki unusu- je naipataje?
 
Mkuu nimekuelewa vyema. Japo bado Kuna punguzo kubwa kwa wakazi wa ndani lakini bado mwananchi wa kawaida hawezi kumudu hizo ghalama.

Nadhani Govnt itambue wazi kuwa wale maadui zetu watatu mzee nyerere aliowaainisha kuwa tupambane nao wakiongozwa na ndugu umaskini wameshinda vita.
Ni kweli gharama zipo juu kiasi ila ukidhamiria ni affordable hasa kwa kipindi hiki. Ukitaka kupunguza costs kabisa sidhani kama hiyo tour itakupa kile unachokusudia. Au kipindi kingine kizuri kupunguza gharama ni July - September ila kama una private transport katika hifadhi nyingi kuna kua na trainees wengi wapo field wanaweza kukupa guiding services bure ingawa ukiwapa10K na kuendelea kadri unavyoweza itapendeza zaidi.
 
Lakini Kama mimi ni mtanzania na eneo ninalotembelea nalijua vyema kupitia elimu ya shuleni, mitandaoni na simulizi mbali mbali, hapo kunakuwa na umuhimu gani wa kuweka bajeti ya mwongozaji?
Sasa unakuta unalazimishwa kuwa na mwongozaji eneo hilo unalolifahamu vyema miaka yote.
Guide ni muhimu hasa hifadhini hasa kama ndio mara yako ya kwanza kufika kwenye hiyo, anasaidia kukuonyesha njia, anajua muda gani wanyama wanakua eneo fulani na in case of emergency yeye ndio msaada wa kwanza.

Na sio hifadhini tu chukua mfano umeenda kwenye Makumbusho yoyote bila msaada wa Guide kukuelezea vitu vilivyo pale ni kazi bure.
 
Nimependa hiyo ya kwenda mikumi kwa laki unusu- je naipataje?
Unfortunately hua hawaandai mara kwa mara ila kipindi hiki cha kuelekea Valentines kuna tours nyingi zinaandaliwa kwenda hifadhini. Nikiona tangazo la hivi karibuni nitakujulisha
 
Yeah and believe me ukaenda kwenye kivutio cha utalii bila muongoza utalii unaweza usielewe kitu.
Nimepita sana Mikumi NP kwenda mikoa ya nynda za juu kusini, nimeona sana wanyama, ila siku tumeenda na kutembezwa na waongoza watalii nilipata mwanga tofauti kabisa.
 
Nimepita sana Mikumi NP kwenda mikoa ya nynda za juu kusini, nimeona sana wanyama, ila siku tumeenda na kutembezwa na waongoza watalii nilipata mwanga tofauti kabisa.
Raha ya utalii ni story kuhusu kivutio au mnyama fulani na hapo ndio umuhimu wa muongoza utalii unakuja.
 
Lakini Kama mimi ni mtanzania na eneo ninalotembelea nalijua vyema kupitia elimu ya shuleni, mitandaoni na simulizi mbali mbali, hapo kunakuwa na umuhimu gani wa kuweka bajeti ya mwongozaji?
Sasa unakuta unalazimishwa kuwa na mwongozaji eneo hilo unalolifahamu vyema miaka yote.
Sasa kama unalifahamu kiasi hicho kuna umuhimu gani wa kwenda?
Pia najua wale waongozaji wanajua pia sheria za hifadhi, dos and donts za hifadhi.
Nilienda Mikumi na Udzungwa, haikua lazima kutumia tour guide.
Hata ukipita Serengeti, sio lazima uwe na mwongoza watalii.
 
Ni kweli gharama zipo juu kiasi ila ukidhamiria ni affordable hasa kwa kipindi hiki. Ukitaka kupunguza costs kabisa sidhani kama hiyo tour itakupa kile unachokusudia. Au kipindi kingine kizuri kupunguza gharama ni July - September ila kama una private transport katika hifadhi nyingi kuna kua na trainees wengi wapo field wanaweza kukupa guiding services bure ingawa ukiwapa10K na kuendelea kadri unavyoweza itapendeza zaidi.
Sasa nimejua umuhimu wao. Inabidi sisi watanzania tuwe tunaanda bajeti kwaajiri ya ma tour guider.
 
Back
Top Bottom