Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

Mjini bana...eti kuna mpaka sehemu maalumu za bata..wakati huku kwetu ni wakitoka tuu bandani wanazurura zurura popote pale
 
Pale kwa wazee bendi yao siilewagi kama sijalewa. Nina rafiki zangu ndo wananiletaga pale ila mwenyewe siez paenda maana ntaonekana nawafuata wastaafu [emoji23][emoji23][emoji23]

Lewa halafu uje na leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…