Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengine leo wala hatuendi mbali...Tunaanzia wapi ?
Hahahaha, unakawa kwa shayowengine leo wala hatuendi mbali...
unazimua hapa hapa kitaa
Nipo tabata. Uko wapi mkuu nipite kukupa hi kabla sijaelekea kwetuForty forty
Copa cabana
Mi casa
hapana leo nipo kongoweHahahaha, unakawa kwa shayo
OK poahapana leo nipo kongowe
Asee,Niko kwetu pazuri hapaNipo tabata. Uko wapi mkuu nipite kukupa hi kabla sijaelekea kwetu
Nishalewa hapa embu nielekeze vizuri.OK poa
Asee,Niko kwetu pazuri hapa
Golden J ipo wapiNaendaga Tips mara nyingi ila leo ntakua Golden J
Golden J ipo wapiPanazidi kubamba tuu..
Wakitanua tu wateja wanahama...asijaribu wateja wa pombe wajinga sana wapo kama nyumbuwatanue eneo ss maana...
Unaweza kuta sura imekomaaa ya mwaka 84I wish one day nitkutsns weewe inshallah
doh!Unaweza kuta sura imekomaaa ya mwaka 84
[emoji23] [emoji23] [emoji23] siku hizi hata kwenye daladala wanapenda kubanana ME na KEWabongo bhana! Wakibanana kwenye dala dala wanalalamika, wakibanana kwenye viwanja vya starehe, wanaburudika!