Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Shaban Kado anafanya kazi ya ziada....Anatuokoa saha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dakika ya 81 bado tunaongoza 2-1 tunachezewa nusu uwanja na kushambuliwa sana tukilemaa watasawazisha
Hizi kona zinakuwa nyingi sasa....Aaaaaaaaaaaaargh
Zitapigwa penati au wataongeza muda?
Dah.........tunakosa goli la wazi hapa.................
Daah! Lakini tuendelee uenda tukapata goli a ushindi la dakika 89 mithii ya lile la Samatha tulipocheza na C.A.R.Dah.........tunakosa goli la wazi hapa.................
Dah.........tunakosa goli la wazi hapa.................
Dakika 7 za nyongeza(duh)............
Dakika 7 za nyongeza(duh)............
Matokeo so far ni 3-3(aggregate)......Baada ya hapa ni matuta I think(sina uhakika na hili)