Tujuzeni matokeo : Cameroon vs manyara stars....mliopo uwanjani

Tujuzeni matokeo : Cameroon vs manyara stars....mliopo uwanjani

Dk 15 za kwanza zimeisha still Manyara Star 2 Cameroon 1........Tunaenda lala salama sasa.

Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Manyara Stars
 
kweli si mchezo mkuu, dkk ya ngapi sasa?

Dk 15 za kwanza zimeisha still Manyara Star 2 Cameroon 1........Tunaenda lala salama sasa.

Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Manyara Stars
 
Hawa wachezaji wetu wanarudi nyuma matokeo yake wanakaribisha mashambulizi ya kila mara,tunaweza kulambwa bao muda si mrefu...........Asante kwa Shaban Kado,anatuokoa sana golikipa wetu

Tunatafuta kushinda ama tunatafuta kushindwa! Au wanamtegemea Kado kwenye penalti!
 
Tunatafuta kushinda ama tunatafuta kushindwa! Au wanamtegemea Kado kwenye penalti!

Hata mimi nawashangaa.............Wanaruhusu mashambulizi sana..........Inaonekana wanataka kwenda kwenye 'matuta'

Tunashambuliwa sana aisee
 
Hawa manyara wanashindwa kutumia uwanja wao na mashabiki wao kushinda dakka za nyongeza, ingekuwa dakika hizo zimeongezwa wakiwa ugenini sijui ingekuwaje?
 
Kado kacheza vizuri sana leo...............Tunashambuliwa jamani
 
Kado kacheza vizuri sana leo...............Tunashambuliwa jamani
Kido ni kipa mzuri. Kaseja asipoangalia atakaa benchi yeye. Haya, zimebaki ngapi? Mana kama tunashambuliwa basi bora uishe tupigiane penati.
 
Kido ni kipa mzuri. Kaseja asipoangalia atakaa benchi yeye. Haya, zimebaki ngapi? Mana kama tunashambuliwa basi bora uishe tupigiane penati.

Mpira umekwisha............Tunaenda kwenye matuta
 
Back
Top Bottom