mbezibeach
Senior Member
- Oct 4, 2010
- 119
- 7
mpira umekwisha tunangojea muda wa nyongeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpira umekwisha tunangojea muda wa nyongeza
Matokeo so far ni 3-3(aggregate)......Baada ya hapa ni matuta I think(sina uhakika na hili)
hapa jf tu[po wengi ttukishika wote hakuna goili litaklo ingiakuna kale kam chezo ka kitoto kushika pumbu gori lisiingie...sijui km ni kweli hebu ngoja nijaribishe
hapa jf tu[po wengi ttukishika wote hakuna goili litaklo ingia
Tumeshambuliwa sana dakika 15 za mwisho za muda wa kawaida,shukrani zimuendee golikipa wetu Shaban Kado...Mnaouona mpira, je tunashambulia au tunashambuliwa sie?
Pamoja na Miss Judith, Preta nk!
Pole jamaa yangu maana nakuona unavyotesekaAaaaaaaaaaaaaaaargh.................Ulimwengu anakosa goli la wazi jamani
Washike nini
Za kike zinashikwaje! Waombeni samahaniWashike nanii zao
Bala, unaona kwenye TV gani? ITV inaonyewsha?Presha inapanda inashuka inapanda inashuka..............dah
Za kike zinashikwaje! Waombeni samahani