Tuk tuk trut tuuu tuuu paaa!

SYLLOGIST!

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2007
Posts
8,189
Reaction score
7,853
πŸ˜…
Kama upo vile! Yaani mtaani unakatiza, unasikia 'fyiii fyiiii fyiiiii' miluzi kibao, ukitazama nini kinaendelea, unaona mdada, kapiga baibui, ushungi na anaondoka na mikogo balaaa.....huku

Ukisikia tuk tuk tru tru tuu tuuu tuu paaa! πŸ›΅πŸ”«yaani mlio ya bajaji na vibodaboda vilivyokosa ka tune-up; yaani mtaa una shughuli

Ndio unasikia makelele 'oh' laana hiyo! 'oh' hamkutokea wakati tunarindimwa na risasi ile 'oh' tumevaa mpaka baibui lakini hamkutuona wala hamkusikia, Mikogo yote ile mkabakia kupiga miluzi tu fyiiii fyiiii fyiii kha mmelaaniwa ninyi!

Mwingine wakati akipokelewa na kusindikizwa naye alikuwa akisikia mirindimo, tuk tuk tuk tru tuu tuu tuu paaa! Yaani alitonyeshwa majeraha

Yule mmoja andai kupigiwa miluzi ni laaana na yule mwingine akisikia tuk tuk tru tu tuu tuu tu paaa! Anasikia mirindimo ya risasi. Anadai Uchina husikii hayo!
Tabu kweli!πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜Ž
 
πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
[emoji28]
Kama upo vile! Yaani mtaani unakatiza, unasikia 'fyiii fyiiii fyiiiii' miluzi kibao, ukitazama nini kinaendelea, unaona mdada, kapiga baibui, ushungi na anaondoka na mikogo balaaa.....huku

Ukisikia tuk tuk tru tru tuu tuuu tuu paaa! [emoji1631][emoji379]yaani mlio ya bajaji na vibodaboda vilivyokosa ka tune-up; yaani mtaa una shughuli

Ndio unasikia makelele 'oh' laana hiyo! 'oh' hamkutokea wakati tunarindimwa na risasi ile 'oh' tumevaa mpaka baibui lakini hamkutuona wala hamkusikia, Mikogo yote ile mkabakia kupiga miluzi tu fyiiii fyiiii fyiii kha mmelaaniwa ninyi!

Mwingine wakati akipokolewa na kusindikizwa naye alikuwa akisikia mirindimo, tuk tuk tuk tru tuu tuu tuu paaa! Yaani alitonyeshwa majeraha

Yule mmoja andai kupigiwa miluzi ni laaana na yule mwingine akisikia tuk tuk tru tu tuu tuu tu paaa! Anasikia mirindimo ya risasi. Anadai Uchina husikii hayo!
Tabu kweli![emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]😎
Unakimbilia wapi.. rudi hapa utoe maelezo vizuri.
IMG_20210928_143957.jpg
 
Kum kumm kumm Kum
Aaaaaaa nin aaaaaaah...
Za coooooo mto a madaaaaaah
....sisiem ndo chanzochahayayote.
haiwezekanikabisaukaandikahivi.
 
Kila comment inayokuja, ni ya hovyo kuliko iliyopita. Unaweza kudhani umeingia kwenye wodi za Milembe!
 
Kum kumm kumm Kum
Aaaaaaa nin aaaaaaah...
Za coooooo mto a madaaaaaah
....sisiem ndo chanzochahayayote.
haiwezekanikabisaukaandikahivi.
Sasa unalobisha ni nini?
πŸ˜… πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kila comment inayokuja, ni ya hovyo kuliko iliyopita. Unaweza kudhani umeingia kwenye wodi za Milembe!
πŸƒβ€β™‚οΈ, Ushapita huko? Tuelezee!
πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sio utani, ila, sio comment zote.
 
Back
Top Bottom