Tuk tuk trut tuuu tuuu paaa!
Kwamba amewamind vijana wa boda 😂😂😂
Wakiitisha maandamano hawaji....
Wanajaa kwenye kampeni kumbe wanavizia abiria.
Hivi urafiki wa hawa watu ulikufa lini?
Kipindi cha Viroba walikuwa ni marafiki wakubwa.
 
Kwamba amewamind vijana wa boda 😂😂😂
Wakiitisha maandamano hawaji....
Wanajaa kwenye kampeni kumbe wanavizia abiria.
Hivi urafiki wa hawa watu ulikufa lini?
Kipindi cha Viroba walikuwa ni marafiki wakubwa.
...amewamid kisawasawa.
Urafiki wao ulikufa pale walipo watelekeza, yani kwa midomo yao wenyewe unasikia wanalia 'hakuna aliyejitokeza' wakati wanasota. Mihasira imewajaa....mmoja anadai hata hospitali haku tembelewa, mwingine mpaka akaishiwa, hakuna aliyemchangia! na huyu mwingine miluzi ilikuwa mingi na mikogo ya baibui. Wasimaindi! ati 'kwanini hawakujitokeza barabarani wakati wao wanapata mshike mshike!' sasa dogo analeta za kuleta anawadhalilisha, anawadharau, akawajaza sumu, at ndio anawakomoa hivyo, amewapiga 'laana' manake yeye kwa miaka 60??? ameona hivyo!

aisee kama ulikwepo😂.😂😂
 
mhn! kazi kweli kweli hawa bodaboda wanaambiwa ni laana!
  • wanatoa usafiri wa haraka kwa gharama nafuu na sisi tunawahi hizo kazi zetu tunazoziita sio za laana ambazo tuko tayari kuzifanya kwa kuajiriwa kwa zaidi ya miaka 30 lakini hatuko tayari kujiajiri ila tunakopa mikopo na kuwapa vijana bodaboda kwa mikataba.
  • hawa ni benki isiyo na riba unaweza kuondoka nyumbani gas imeisha ukafika ofisini ukamwambia boda naomba nichukulie kilo moja ya nyama na gas tutaonana jioni nipelekee nyumbani.
  • madalali wa wanaume madomo zege hasa tunapokuwa tumetumwa kikazi "sasa nakuona wewe mjanja kaniletee mdada anisaidie kumaliza usiku"
  • wafadhiri wa VICOBA kwa wadada na baadhi ya wake za watu wasio waaminifu
  • wateja wa mama lishe.
  • wachangiaji wakubwa wa kodi mfano tuchukue kila mkoa una bodaboda na bajaji 5000 na kwa siku kila mmoja inatumia mafuta ya shillingi 10,000 tu kwa siku kuna mauzo ya 1,250,000,000 sawa na kwa mwezi 37,500,000,000 na kufanya kuwa na mauzo kwa mwaka ya 450,000,000,000 ikiwa multiplier effect itakwenda mara sita mnaweza kuona mchango wao.
yapo mengi na wanamchango mkubwa kwa jamii lakini mwisho ni kazi ya laana. sasa tutoe majibu kitu gani kiwe mbadala kwao ili waondokane na hiyo laana.
 
😅
Kama upo vile! Yaani mtaani unakatiza, unasikia 'fyiii fyiiii fyiiiii' miluzi kibao, ukitazama nini kinaendelea, unaona mdada, kapiga baibui, ushungi na anaondoka na mikogo balaaa.....huku

Ukisikia tuk tuk tru tru tuu tuuu tuu paaa! 🛵🔫yaani mlio ya bajaji na vibodaboda vilivyokosa ka tune-up; yaani mtaa una shughuli

Ndio unasikia makelele 'oh' laana hiyo! 'oh' hamkutokea wakati tunarindimwa na risasi ile 'oh' tumevaa mpaka baibui lakini hamkutuona wala hamkusikia, Mikogo yote ile mkabakia kupiga miluzi tu fyiiii fyiiii fyiii kha mmelaaniwa ninyi!

Mwingine wakati akipokelewa na kusindikizwa naye alikuwa akisikia mirindimo, tuk tuk tuk tru tuu tuu tuu paaa! Yaani alitonyeshwa majeraha

Yule mmoja andai kupigiwa miluzi ni laaana na yule mwingine akisikia tuk tuk tru tu tuu tuu tu paaa! Anasikia mirindimo ya risasi. Anadai Uchina husikii hayo!
Tabu kweli!😅😅😅😂😂😂😂😂😂😎
 
Back
Top Bottom