Nyanjilinji
Senior Member
- Oct 23, 2016
- 150
- 141
Huu sio utamaduni wa mtu yeyote,ni ushenzi na dhambi mbele za Mungu.Na mkuu,wewe unahamasisha ushoga indirectly,acha mara moja.1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.
2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).
3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.
NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
RIP Milembe. Yule binti alikatisha uhai wako kwa wivu wakeUnavopost ndio unakataa au unapiga promo
Bila mpinzaniYule dogo ameingia kundi la MAPAPAI bila kupingwa.
Utawafanya waarab wakasirike sasa1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.
2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).
3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.
NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
watu wanakula nnya tuInasikitisha Sana kwa sasa kuona vijana wanaoana na wengine bado wadogo. Tupinge haya si sehemu ya utamaduni wa kiafrika