Tukatae ndoa za Jinsia moja - Si utamaduni wetu

Tukatae ndoa za Jinsia moja - Si utamaduni wetu

1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Huu sio utamaduni wa mtu yeyote,ni ushenzi na dhambi mbele za Mungu.Na mkuu,wewe unahamasisha ushoga indirectly,acha mara moja.
 
1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Utawafanya waarab wakasirike sasa
 
Inasikitisha Sana kwa sasa kuona vijana wanaoana na wengine bado wadogo. Tupinge haya si sehemu ya utamaduni wa kiafrika
 

Attachments

  • johnpaulpierre_146093334.mp4
    6 MB
Back
Top Bottom