Tukiacha Unazi tuwe wakweli, je ni nani anayechezea Brand ya Simba hivi sasa bila makubaliano ya kimkataba yenye uwazi na yanayoeleweka?

Tukiacha Unazi tuwe wakweli, je ni nani anayechezea Brand ya Simba hivi sasa bila makubaliano ya kimkataba yenye uwazi na yanayoeleweka?

Unauliza swali at the same time unahitimisha. Sasa unataka tujadili nini? Kukusaidia tu hayo matangazo yote yana mkataba na wanatoa hela ndefu.

Kukusaidia zaidi. Jamani kuna 51% inahitaji wawekezaji, mkanunue shares muweke hela kama ni rahisi. Itawasaidia kupimana nguvu na major shareholder kwenye vikao vya maamuzi badala ya kutupigia kelele humu.

Yaani mtu atoe 20b na aiweke timu juu halafu umpangie jinsi ya kufaidika nayo,huu si ni wehu. Kwani timu ya mama yake ile. Ile ni biashara chief. Hizi kelele mmepiga mwaka wa 5 huu hazileti tija yeyote,hamchoki tuuuuu
Huo mkataba uliona wapi? Na hiyo ela ndefu ni kiasi gani? Kusema ela ndefu bila kutaja figure maanake hauju lolote umehisi tu. Tuambie huo mkataba ulisainiwa lini na kiasi gani kililipwa. Ndio maana mleta mada kasema uwazi uwepo
 

This is Funny

Kampuni yake iliyomiliki 49% ya HISA za Simba si hizi kampuni zinazotangazwa kila kukicha. Hizi zinahitaji mikataba maalum ya kibiashara ili zitangazwe hivi wakuu. Unaponunua hisa si lazima upewe matangazo ya kibiashara bali unakuwa shareholder tu.

Mo ni Mfadhili,Mmiliki(Mwanahisa by 49%), Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi na Mwanachama waSimba S.C lakini si mdhamini mkuu.Anachokifanya kupitia nafasi zake hizi ni kujitengenezea fursa za kimasoko bila mikataba maalum isiyokuwa na terms wala ukomo utakaoongeza dau la udhamini kila mwaka au mkataba utakapoisha.Hii ndio inaitwa MONOPOLY SYSTEM.

Kampuni za Mo ni different entities na zinahitaji makubaliano ya kimkataba kufanya dili yeyote na Simba Sc. Mkataba wa udhamini wa Kampuni za kibiashara za Mo ni wa gharama ndogo sana kulinganisha na Airtime ya matangazo wanayopewa na Simba kwa kampuni zake. Huu si unazi bali mnapaswa kukaa naye mezani na kumwambia ukweli kwa faida yenu hapo baadaye ili mnufaike kibiashara, si kweli kama yeye anapata hasara. Marketing power ya Klabu ni kubwa sana kuliko inavyoaminishwa.


This is Funny

Kampuni yake iliyomiliki 49% ya HISA za Simba si hizi kampuni zinazotangazwa kila kukicha. Hizi zinahitaji mikataba maalum ya kibiashara ili zitangazwe hivi wakuu. Unaponunua hisa si lazima upewe matangazo ya kibiashara bali unakuwa shareholder tu.

Mo ni Mfadhili,Mmiliki(Mwanahisa by 49%), Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi na Mwanachama waSimba S.C lakini si mdhamini mkuu.Anachokifanya kupitia nafasi zake hizi ni kujitengenezea fursa za kimasoko bila mikataba maalum isiyokuwa na terms wala ukomo utakaoongeza dau la udhamini kila mwaka au mkataba utakapoisha.Hii ndio inaitwa MONOPOLY SYSTEM.

Kampuni za Mo ni different entities na zinahitaji makubaliano ya kimkataba kufanya dili yeyote na Simba Sc. Mkataba wa udhamini wa Kampuni za kibiashara za Mo ni wa gharama ndogo sana kulinganisha na Airtime ya matangazo wanayopewa na Simba kwa kampuni zake. Huu si unazi bali mnapaswa kukaa naye mezani na kumwambia ukweli kwa faida yenu hapo baadaye ili mnufaike kibiashara, si kweli kama yeye anapata hasara. Marketing power ya Klabu ni kubwa sana kuliko inavyoaminishwa.

Nafikiri wewe akili yako ni ndogo , mwaka. Juzi hii sabuni ilipokuwa inaingia mkataba pamoja Mo energy ulikuwa bado unanyonya
 
Hapo shida yako ni tangazo la sabuni, kama ingekuwa ile Mo energy uliyoizoea usingelia.

Simba imekuwepo miaka mingi, lakini hata mishahara ya wachezaji ilikuwa tatizo, timu ilikuwa inategemea viingilio vya milangoni ambavyo havikutosha chochote zaidi ya wale makomandoo kuneemeka kwa kupitia jina la timu.

Leo amekuja Mo, anasajili wenye viwango, anawalipa mishahara mizuri kwa wakati hatusikii wakilalamika kama upande wa pili, wanafanya vizuri ndani na nje ya nchi, brand ya timu inazidi kukua, lakini cha ajabu kwenu anayechangia kuikuza hiyo brand hatakiwi kutangaza biashara zake.

Kila siku mmekalia majungu Mo anaiibia Simba SC, bila kutuonesha ushahidi usio na shaka anaiba vipi na wapi, Simba inaingiza kiasi gani na Mo anaiba ngapi.

Wazungu husema "he who alleges must prove" if you can't shut up; vinginevyo nyie mnaoutumwa na makomandoo au ndio makomandoo wenyewe kupiga kelele mnajisumbua tu, Simba SC ilishatoka huko.

Hamjiulizi pesa za usajili, posho, gharama za usafiri na malazi, mishahara ya wachezaji na benchi la ufundi hutoka wapi, mnalialia tu; toa hizo gharama zote halafu tuambie Mo anaiba ngapi tofauti na kile alichoweka Simba SC sio maneno matupu kila siku.

Kama mlikuwa na hii akili ya biashara kwanini hamkujitokeza kabla Mo hajaenda Simba SC? au mmepata akili baada ya Mo kwenda Simba? wacheni kelele, mlilia na bil 20 zikawekwa, mmebaki kuhamisha magoli wachovu nyie.
Mkuu kuna vitu ambavyo mnachanganya. Moo hajaja Simba kufanya hisani bali ni kufanya biashara na ndio maana ya mwekezaji. Hivyo kufanya usajili mzuri na kuweka mazingira mazuri ya timu ni moja ya majukumu yake ili apige pesa/ kupata faida kupitia uwekezaji wake. Unataka kusema kuwa kwavile mtu alikuwa hana uwezo wa kula, kulala na kuvaa vizuri kisha akatokea mtu akakupa kibarua cha kuwa unasafisha garden. Huyu mtu ikitokea anataka kukuingilia kimwili utakubali tu kwavile kakutoa kwenye hali mbaya si ndiyo?

Kitu kikubwa kwa Simba ni lile wazo la timu apewe mwekezaji, hilo ni wazo kubwa ambaye hata asingekuwa Moo leo hii angekuwepo mwingineyo ambaye pengine angefanya makubwa zaidi ya Mo kwenye upande wa mafanikio hatuwezi jua. Ila kikubwa kwa miwekezaji ni kufuata utaratibu sio kwavile anapesa basi ni kufanya atakavyo. Kumbuka Simba ni brand hivyo brand ya Simba ni kubwa kuliko mwekezaji. Kwanini mnawaza kinyonge hivyo wakati Moo anaitaka Simba zaidi ya Simba inavyomuhitaji Moo na ndio maana mchakato wa uwekezaji haikuwa wazi katika kuwapa nafasi wengine wanaotaka kuwekeza Simba.

Moo akiondoka Simba, Simba kama wataendelea na vision ile ile ya kumpa mwekezaji haipiti miezi miwili pasipo kupata mwekezaji mwingine. Je Moo akiondoka Simba anaweza kupata brand iliyokuwa kubwa kuzidi Simba ukiiweka kando timu ya Yanga?
 
Mo yupo Simba kiupigaji, yupo pale kuvuna tu, maana mashabiki wa Simba ni watu duni na upeo mdogo. Wao watakwambia wanapata vikombe vya ubingwa, sasa kwanini wahangaike kumsumbua Mo.

Akili zitawakaa siku wakikosa ubingwa.
Na gsm yupo yanga kwa lengo lipi
 

This is Funny

Kampuni yake iliyomiliki 49% ya HISA za Simba si hizi kampuni zinazotangazwa kila kukicha. Hizi zinahitaji mikataba maalum ya kibiashara ili zitangazwe hivi wakuu. Unaponunua hisa si lazima upewe matangazo ya kibiashara bali unakuwa shareholder tu.

Mo ni Mfadhili,Mmiliki(Mwanahisa by 49%), Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi na Mwanachama waSimba S.C lakini si mdhamini mkuu.Anachokifanya kupitia nafasi zake hizi ni kujitengenezea fursa za kimasoko bila mikataba maalum isiyokuwa na terms wala ukomo utakaoongeza dau la udhamini kila mwaka au mkataba utakapoisha.Hii ndio inaitwa MONOPOLY SYSTEM.

Kampuni za Mo ni different entities na zinahitaji makubaliano ya kimkataba kufanya dili yeyote na Simba Sc. Mkataba wa udhamini wa Kampuni za kibiashara za Mo ni wa gharama ndogo sana kulinganisha na Airtime ya matangazo wanayopewa na Simba kwa kampuni zake. Huu si unazi bali mnapaswa kukaa naye mezani na kumwambia ukweli kwa faida yenu hapo baadaye ili mnufaike kibiashara, si kweli kama yeye anapata hasara. Marketing power ya Klabu ni kubwa sana kuliko inavyoaminishwa.

"Kwani wachezaji unawalipa wewe mshahara? Wewe umeichangia simba shilingi ngapi ili ijiendeshe? Tuachie timu yetu. Sisi tunachotaka ni makombe tu na ubingwa wa TPL!"

Alisikika shabiki mmoja hivi.
 
Mkuu kuna vitu ambavyo mnachanganya. Moo hajaja Simba kufanya hisani bali ni kufanya biashara na ndio maana ya mwekezaji. Hivyo kufanya usajili mzuri na kuweka mazingira mazuri ya timu ni moja ya majukumu yake ili apige pesa/ kupata faida kupitia uwekezaji wake. Unataka kusema kuwa kwavile mtu alikuwa hana uwezo wa kula, kulala na kuvaa vizuri kisha akatokea mtu akakupa kibarua cha kuwa unasafisha garden. Huyu mtu ikitokea anataka kukuingilia kimwili utakubali tu kwavile kakutoa kwenye hali mbaya si ndiyo?

Kitu kikubwa kwa Simba ni lile wazo la timu apewe mwekezaji, hilo ni wazo kubwa ambaye hata asingekuwa Moo leo hii angekuwepo mwingineyo ambaye pengine angefanya makubwa zaidi ya Mo kwenye upande wa mafanikio hatuwezi jua. Ila kikubwa kwa miwekezaji ni kufuata utaratibu sio kwavile anapesa basi ni kufanya atakavyo. Kumbuka Simba ni brand hivyo brand ya Simba ni kubwa kuliko mwekezaji. Kwanini mnawaza kinyonge hivyo wakati Moo anaitaka Simba zaidi ya Simba inavyomuhitaji Moo na ndio maana mchakato wa uwekezaji haikuwa wazi katika kuwapa nafasi wengine wanaotaka kuwekeza Simba.

Moo akiondoka Simba, Simba kama wataendelea na vision ile ile ya kumpa mwekezaji haipiti miezi miwili pasipo kupata mwekezaji mwingine. Je Moo akiondoka Simba anaweza kupata brand iliyokuwa kubwa kuzidi Simba ukiiweka kando timu ya Yanga?
Huyo mwingine alikuwa wapi mpaka MO amekuza brand kwa pesa yake mfukoni?
MO aondoke aende wapi? Zile hisa zake amuachie nani?
Kama kuna mtu anawaza MO ataondoka basi atafute kazi ya kufanya?
 
Mkuu kuna vitu ambavyo mnachanganya. Moo hajaja Simba kufanya hisani bali ni kufanya biashara na ndio maana ya mwekezaji. Hivyo kufanya usajili mzuri na kuweka mazingira mazuri ya timu ni moja ya majukumu yake ili apige pesa/ kupata faida kupitia uwekezaji wake. Unataka kusema kuwa kwavile mtu alikuwa hana uwezo wa kula, kulala na kuvaa vizuri kisha akatokea mtu akakupa kibarua cha kuwa unasafisha garden. Huyu mtu ikitokea anataka kukuingilia kimwili utakubali tu kwavile kakutoa kwenye hali mbaya si ndiyo?

Kitu kikubwa kwa Simba ni lile wazo la timu apewe mwekezaji, hilo ni wazo kubwa ambaye hata asingekuwa Moo leo hii angekuwepo mwingineyo ambaye pengine angefanya makubwa zaidi ya Mo kwenye upande wa mafanikio hatuwezi jua. Ila kikubwa kwa miwekezaji ni kufuata utaratibu sio kwavile anapesa basi ni kufanya atakavyo. Kumbuka Simba ni brand hivyo brand ya Simba ni kubwa kuliko mwekezaji. Kwanini mnawaza kinyonge hivyo wakati Moo anaitaka Simba zaidi ya Simba inavyomuhitaji Moo na ndio maana mchakato wa uwekezaji haikuwa wazi katika kuwapa nafasi wengine wanaotaka kuwekeza Simba.

Moo akiondoka Simba, Simba kama wataendelea na vision ile ile ya kumpa mwekezaji haipiti miezi miwili pasipo kupata mwekezaji mwingine. Je Moo akiondoka Simba anaweza kupata brand iliyokuwa kubwa kuzidi Simba ukiiweka kando timu ya Yanga?
Kwenu kosa la Mo ni kuwekeza Simba SC, hakuna kingine, ile Simba ilikuwepo pale miaka yote hakuna yeyote kati yenu aliekwenda kusaidia hata chapati moja asubuhi wachezaji wanywe na chai. Leo kaja Mo, klabu bingwa Afrika robo fainali, makundi imekuwa kawaida, ndio mnaibuka na kelele zenu.

Hiyo habari ya kubakwa sijui kufanywa hapa haihusiani kabisa, acheni kelele Mo afanye aliyokusudia kuyafanya Simba SC, maneno yake tunayaona uwanjani yakitendeka timu imebadilika sana toka aje na viwango Afrika imepanda, nyie na hizi kelele zenu mnaonekana kama wachawi tu msiopenda maendeleo ya watu.
 

This is Funny

Kampuni yake iliyomiliki 49% ya HISA za Simba si hizi kampuni zinazotangazwa kila kukicha. Hizi zinahitaji mikataba maalum ya kibiashara ili zitangazwe hivi wakuu. Unaponunua hisa si lazima upewe matangazo ya kibiashara bali unakuwa shareholder tu.

Mo ni Mfadhili,Mmiliki(Mwanahisa by 49%), Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi na Mwanachama waSimba S.C lakini si mdhamini mkuu.Anachokifanya kupitia nafasi zake hizi ni kujitengenezea fursa za kimasoko bila mikataba maalum isiyokuwa na terms wala ukomo utakaoongeza dau la udhamini kila mwaka au mkataba utakapoisha.Hii ndio inaitwa MONOPOLY SYSTEM.

Kampuni za Mo ni different entities na zinahitaji makubaliano ya kimkataba kufanya dili yeyote na Simba Sc. Mkataba wa udhamini wa Kampuni za kibiashara za Mo ni wa gharama ndogo sana kulinganisha na Airtime ya matangazo wanayopewa na Simba kwa kampuni zake. Huu si unazi bali mnapaswa kukaa naye mezani na kumwambia ukweli kwa faida yenu hapo baadaye ili mnufaike kibiashara, si kweli kama yeye anapata hasara. Marketing power ya Klabu ni kubwa sana kuliko inavyoaminishwa.

Subiri uje kutukanwa
 
Kwamba utopolo ndio mnaupeo sana sio ,hapo huwezi walaum simba laam malaka za nchi wao ndo wamekubal yeye kukaa hapo kabla ya mo simba ulikua wap?
Utopolo mwaka Jana tu kwenye jezi wamepata mil 45 ,hao misukule hawana lolote ,jezi tu wanapigwa na GSM
 
Hapo huna la kujibu tena maana umetandikwa na facts
Daah nchi hii ngumu sana, hivi huoni mimi nilikuwa namuelewesha mdau hapo juu kuhusu concern ya mtoa uzi?
Huoni nimemalizia kuwa hata mimi sijui chochote?
Ukilaza huu ndio maana nchi haisongi..
Unazi unazi kila pahala.
 
Watu wa mpira muko vichwa ngumu, ni ushabiki tu. Mo hana mikataba, Azam hana mikataba, Harsi hana mkataba, muwe mnatizama na kwenu. Nakuzindua ili useme kama umewahi kuona mkataba wa Gsm


Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Azam usifananishe na Simba na yanga ,ile ni timu ya familia
 
Huo mkataba uliona wapi? Na hiyo ela ndefu ni kiasi gani? Kusema ela ndefu bila kutaja figure maanake hauju lolote umehisi tu. Tuambie huo mkataba ulisainiwa lini na kiasi gani kililipwa. Ndio maana mleta mada kasema uwazi uwepo
Mkuu we ni mpumbavu ,hivi mikataba huwa inaonyeshwa?hapo umepewa facts Hadi waandishi wa habari wameitwa ,bado unataka uone mkataba we ni Kama nani uone kwenye bodi ya Simba,ingekuwa hivo basi wachezaji wangekuwa wanapost mikataba yao Facebook .Hivi hata mikataba ya serikali we unaziona ?hata ungeambiwa hela ni kiasi hiki bado utataka ushike shike Kama siyo feki ndo maana nimesema we ni mpumbavu
 
Back
Top Bottom