Tukiachana na Fibre Cables, hiki ni kisababishi kingine cha ukosefu wa intaneti

Tukiachana na Fibre Cables, hiki ni kisababishi kingine cha ukosefu wa intaneti

Hii post ya kwanza thread hii imejaa upotoshaji, halafu muandishi kaiandika kwa madoido na kujiamini kama anajua alichoandika. Kaandika hivyo kwenye hadhira ya watu wengi wasiojua kuhakiki habari, wakisikia mtu anaeleza kitu kwa mbwembwe nyingi, wanafikiri zile mbwembwe ndiyo ujuzi.

Kumbe ujinga na uongo tu.
Mwandishi kacopy na kupaste ndo maana hajibu maswali maana haelewi hata kinachoulizwa ni nini?
 
Huku nchi za Africa huwezi kuona
ni nchi za kaskazini mwa dunia na kusini hasa zile zilizo karibu na ncha za kaskazini na kusini yaani north na south pole.
Kwa nchi za kaskazini kama Finland,Norway,Canada tukio hili huitwa Aurora Borealis kama ni nchi za kusini kama New zealand h visiwa vya cook,palmeston huitwaa Aurora Australis
ila bahati mbaya kiramani nchi za kidunia upande wa kaskazini zina mtawanyiko mkubwa na nyingi kiliko kusini.
 
Mwandishi kacopy na kupaste ndo maana hajibu maswali maana haelewi hata kinachoulizwa ni nini?
Ku copy na ku paste ni jambo la kawaida kuelimisha watu ila sasa mtu mwingine anaweza ku copy lakini anaelewa na anacho copy inakuwa rahisi kwake kupangua majibu au hata anaweza akachimba vyanzo anavyo copy vikampa taarifa zaidi.
Huyu mwenzetu anaonekana hata kama kasoma sayansi lakini sio kwa level za juu.
Ila tumpongeze ametuletea taarifa ambazo zina ukweli yaani ni mambo yanayotendeka.
 
Hii post ya kwanza thread hii imejaa upotoshaji, halafu muandishi kaiandika kwa madoido na kujiamini kama anajua alichoandika. Kaandika hivyo kwenye hadhira ya watu wengi wasiojua kuhakiki habari, wakisikia mtu anaeleza kitu kwa mbwembwe nyingi, wanafikiri zile mbwembwe ndiyo ujuzi.

Kumbe ujinga na uongo tu.
Hili ndilo huwa linatokea sana Tanzania kusikia wanamsifu mtu au mwanasiasa fulani kuwa ana akili sana kisa anatumia technical terms fulani kwa kujiamini. Nimekumbuka wale jamaa mapacha walikuja Tanzania wakadai mmoja anafanya kazi NASA na mwingine doctor huko Marekani. Eti wa NASA ni Mwafrika wa kwanza kufika Mars na vyombo vya habari vikaidaka story kama ilivyo pasipo hata kuwaza hakuna mtu kakanyaga Mars.
Thread zikapandishwa humu pia watu wakiwasifia.
 
Hili ndilo huwa linatokea sana Tanzania kusikia wanamsifu mtu au mwanasiasa fulani kuwa ana akili sana kisa anatumia technical terms fulani kwa kujiamini. Nimekumbuka wale jamaa mapacha walikuja Tanzania wakadai mmoja anafanya kazi NASA na mwingine doctor huko Marekani. Eti wa NASA ni Mwafrika wa kwanza kufika Mars na vyombo vya habari vikaidaka story kama ilivyo pasipo hata kuwaza hakuna mtu kakanyaga Mars.
Thread zikapandishwa humu pia watu wakiwasifia.
Watu wengi hawana basic information, wanalimbuka bado.
 
Back
Top Bottom