Tukiachana na ugumu wa Maisha, Tanzania ni moja ya nchi zenye vijana wasiojitambua kwa kiwango kikubwa

Tukiachana na ugumu wa Maisha, Tanzania ni moja ya nchi zenye vijana wasiojitambua kwa kiwango kikubwa

wewe unaona ajabu katita hilo wakati Ex wangu ametoa rushwa ya ngono kwa kizee kiongozi ilimradi achaguliwe kwenye ukarani wa sensa ukiangalia huyo binti bado mdogo miaka 19 anaelekea 20 hawalingali nahicho kizee, hii Dunia ni ngumu sana , tupo kwenye mfano wa sodoma na gomora
Pole Mkuu, kwa kweli Dada zetu wameliwa hasaaaa!
 
Kiasi fulani unasema kweli ukisikiliza maoni vijana wa kenya na Tz ni tofauti kabisa...
Hata kwenye page za social media vijana wa Tz wana shida mpaka unajiuliza huyu mtu kweli ni baba au mama katikati familia fulani
Unajua nyie huwa mnashangaza sana, kama unatembelea page za udaku unategemea kukuta vijana wenye akili? Hapa JF uko unazurura kwenye nyuzi za kimasihara halafu utegemee kukuta vijana wanatema nondo?

Na wengine wanajitia kuweka % have you done a research? Au ndo maneno tu? Sikia tafuteni forums zinazotoa nafasi kwa vijana kueleza masuala ya kimaisha, uchumi au hata siasa ndo mtoe hitimisho lenu sio kwenda page za udaku instagram mje mshushe mawazo yenu juu ya vijana.
 
Nipo Sehemu X

Katika Mafunzo ya Sensa ya watu na makazi itakayofanyika Usiku wa kuamkia tarh 23.

In short vijana 80% Ni brainwashed
Sana

Hiki kiazazi cha 20+ na 30+ nikizazi kilicho oza Kuanzia maadili na Akili kichwani.

Watu 24/7 wanawaza ngono na Pombe hapa wadada wanavaa uchi huku wakufunzi wakivaa uchi, ni aibu kwa Taifa kuwa na watu wapumbavu kama hawa.

Pathetic
Sasa hapo unaeblame ni vijana au mfumo mzima wa maisha ndio unawafanya wanakuwa hivyoo ..

Alafu for reminding u tanzania bado inavijana wastaarabu sana tembea ujionee huko nje dunia imeozaaaa..
 
Nipo Sehemu X

Katika Mafunzo ya Sensa ya watu na makazi itakayofanyika Usiku wa kuamkia tarh 23.

In short vijana 80% Ni brainwashed
Sana

Hiki kiazazi cha 20+ na 30+ nikizazi kilicho oza Kuanzia maadili na Akili kichwani.

Watu 24/7 wanawaza ngono na Pombe hapa wadada wanavaa uchi huku wakufunzi wakivaa uchi, ni aibu kwa Taifa kuwa na watu wapumbavu kama hawa.

Pathetic
Nimesoma kwa umakini mkubwa nione hoja zako, nikagundua wewe ndiye kiazi sana.
Kuvaa nguo fupi au unazoita uchi ndio kutokuwa na akili?
Wazungu hutembea na chupi nao ni viazi?
Wakebya wanaa nusu uchi nao ni vilaza?
Hebu tetea hoja yako vizuri
 
Nimedoma kwa umakini mkubwa nione hoja zako, nikagundua wewe ndiye kiazi sana.
Kuvaa nguo fupi au unazoita uchi ndio kutokuwa na akili?
Wazungu hutembea na chupi nao ni viazi?
Wakebya wanaa nusu uchi nao ni vilaza?
Hebu tetea hoja yako vizuri
Pathetic
 
Pole Mkuu, kwa kweli Dada zetu wameliwa hasaaaa!
Wewe hulagi?
Wanaliwa na akina nani kama sio sisi?
Wewe unakula dadangu nami namkula dadako.
Mnalaumu dada zetu wakati walaji ni sisi?
 
Watakufa sana maana mapenzi yapo kichwani akili hamna tamaduni tumeacha kutwa kujipost kweny mitandao
 
Ni kweli ndyo maana mm mtoto wangu akikua namchana kabisa ukipata mimba kwangu utafute pa kwenda akili kichwani mwake
Utaletewa mimba zaidi ya moja kaa kijanja kizazi cha laana iki hatujui izi tabia zinatokea wapi maana kuna mpaka viongozi wa umma Tena wawakilishi wa rais katika mikoa na wilay wanafanya mambo ya ajabu kupeana mimba kihasara hasara tu
 
Nipo Sehemu X

Katika Mafunzo ya Sensa ya watu na makazi itakayofanyika Usiku wa kuamkia tarh 23.

In short vijana 80% Ni brainwashed
Sana

Hiki kiazazi cha 20+ na 30+ nikizazi kilicho oza Kuanzia maadili na Akili kichwani.

Watu 24/7 wanawaza ngono na Pombe hapa wadada wanavaa uchi huku wakufunzi wakivaa uchi, ni aibu kwa Taifa kuwa na watu wapumbavu kama hawa.

Pathetic
Vijana wa Tanzania huwaza mgegedo zaidi kuliko ufumbuzi wa matatizo yao, au nasema uongo jamani?
 
Wako kazini; ukiona binti anatembelea benzi ujue amepambana; na wewe ukishawishika honga tu
 
Taasisi za kijasusi Ulaya na USA zinajua nini zinafanya ili miaka ijayo Tanzania iwe the next DRC. Manipulation inafanywa kwenye bongo la watu kuwa domant na kuwaza maisha ya kidunia zaidi kuliko utaifa na maendeleo ya Taifa lao.

Wale waliopata elimu na kujitambua, priority wameweka kwenye hela na maisha yanayofanana na wazungu na kuamini Mzungu au Muarabu ndio bora kwao.
 
And yet in bongo ndio taasisi ilikuwa compromised vibaya sana Nowadays.
Familia Wana asilimia 75 za kutengeneza kijana wa kike na wakiume wanaojitambua. Familia ni taasisi kubwa sana
 
FS-l9_iXoAEQJ5U.jpg
 
Back
Top Bottom