Tukiachana na ugumu wa Maisha, Tanzania ni moja ya nchi zenye vijana wasiojitambua kwa kiwango kikubwa

Tukiachana na ugumu wa Maisha, Tanzania ni moja ya nchi zenye vijana wasiojitambua kwa kiwango kikubwa

Kiasi fulani unasema kweli ukisikiliza maoni vijana wa kenya na Tz ni tofauti kabisa...
Hata kwenye page za social media vijana wa Tz wana shida mpaka unajiuliza huyu mtu kweli ni baba au mama katikati familia fulani
Hata ukiangalia page za Nigeria unaona watu wanajielewa sio kama Tanzania
 
Hata ukiangalia page za Nigeria unaona watu wanajielewa sio kama Tanzania
Na huu ni ukweli ambao vijana wa kitanzania hawataki kuusikia. Ila ukweli tuna kizazi kichovu sana sijui kama tutakua kwa haraka. Kenyans na Nigerians unaweza kuwasoma hata kwa namna wanavyozungumza kwenye social media.

Vijana wa kibongo nawafananisha na vijana wa ZA wanawaza ngono,pombe na pesa za dezo kila wakati. Kama una kijana wako mdogo chunga sana ktk malezi yake asiangukie kundi hili la vijana wa sasa. Tatizo Lao limeanzia kwa wazazi wao na walezi.
 
Nipo Sehemu X

Katika Mafunzo ya Sensa ya watu na makazi itakayofanyika Usiku wa kuamkia tarh 23.

In short vijana 80% Ni brainwashed
Sana

Hiki kiazazi cha 20+ na 30+ nikizazi kilicho oza Kuanzia maadili na Akili kichwani.

Watu 24/7 wanawaza ngono na Pombe hapa wadada wanavaa uchi huku wakufunzi wakivaa uchi, ni aibu kwa Taifa kuwa na watu wapumbavu kama hawa.

Pathetic
Wengi waliochaguliwa NI watoto wao maadili yatoke wapi?
 
yaani nakushangaa wewe unaye waona wenzio hawana akili wakati wewe huna akili zaid yao! tena wewe ndiye mjinga wa kwanza kwa sababu moja ya kanuni ya sensa ni utunzaji wa SIRI, na utunzaji huo wa siri unaanzia ndani ya mafunzo lakini wewe umeshindwa kuwa msiri matokeo yake umeanza kuleta mambo ya sensa mitandaoni hivi unajionaje una akili hapo.
Siri, mnaficha nini?
 
Siri, mnaficha nini?
Pia nashangaa hapa, kwani kuna cha kufichana hapa. Hili zoezi ni la Kitaifa na kila jambo kuanzia mafunzo mpaka utendaji viko wazi ndio maana wamechukua mpaka form 4 ili kuweza kutimiza hii suala.
 
Nipo Sehemu X

Katika Mafunzo ya Sensa ya watu na makazi itakayofanyika Usiku wa kuamkia tarh 23.

In short vijana 80% Ni brainwashed
Sana

Hiki kiazazi cha 20+ na 30+ nikizazi kilicho oza Kuanzia maadili na Akili kichwani.

Watu 24/7 wanawaza ngono na Pombe hapa wadada wanavaa uchi huku wakufunzi wakivaa uchi, ni aibu kwa Taifa kuwa na watu wapumbavu kama hawa.

Pathetic
Picha mkuu...😂😂
 
Familia Wana asilimia 75 za kutengeneza kijana wa kike na wakiume wanaojitambua. Familia ni taasisi kubwa sana

Alafu kuna CHIZI moja linakuambia ndoa haina maana, bila ndoa Bora kuna familia Bora hapo.

Yaani kuna watu wamevurugwa kweli
 
Nipo Sehemu X

Katika Mafunzo ya Sensa ya watu na makazi itakayofanyika Usiku wa kuamkia tarh 23.

In short vijana 80% Ni brainwashed
Sana

Hiki kiazazi cha 20+ na 30+ nikizazi kilicho oza Kuanzia maadili na Akili kichwani.

Watu 24/7 wanawaza ngono na Pombe hapa wadada wanavaa uchi huku wakufunzi wakivaa uchi, ni aibu kwa Taifa kuwa na watu wapumbavu kama hawa.

Pathetic
Kwa vijana kuwa wa hovyo ina onyesha kuwa ata wazazi nao walikuwa wa hovyo maana mtoto ujifunza toka kwa wazazi na sio vice versa
 
Nipo Sehemu X

Katika Mafunzo ya Sensa ya watu na makazi itakayofanyika Usiku wa kuamkia tarh 23.

In short vijana 80% Ni brainwashed
Sana

Hiki kiazazi cha 20+ na 30+ nikizazi kilicho oza Kuanzia maadili na Akili kichwani.

Watu 24/7 wanawaza ngono na Pombe hapa wadada wanavaa uchi huku wakufunzi wakivaa uchi, ni aibu kwa Taifa kuwa na watu wapumbavu kama hawa.

Pathetic
wewe unaona ajabu katita hilo wakati Ex wangu ametoa rushwa ya ngono kwa kizee kiongozi ilimradi achaguliwe kwenye ukarani wa sensa ukiangalia huyo binti bado mdogo miaka 19 anaelekea 20 hawalingali nahicho kizee, hii Dunia ni ngumu sana , tupo kwenye mfano wa sodoma na gomora
 
Utapigwa mawe lakini kazi yako umeimaliza, asante kwa kuwa mkweli na muwazi.
 
Back
Top Bottom