Tukiachana na wachezaji Kapombe na Mwenda kupigana na kupangua vipapai, ni wachezaji gani wengine waliowahi kuhusika katika mazingira haya ?

Tukiachana na wachezaji Kapombe na Mwenda kupigana na kupangua vipapai, ni wachezaji gani wengine waliowahi kuhusika katika mazingira haya ?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Ni uzi maalum kwa kumbukumbu

Kwa vile sayansi haithibitishi kila kitu ikiwemo uchawi inakuwa ngumu kupata ushahidi ila wataalam wa mambo wanakwambia kwamba haya mambo ya kupigana vipapai yapo katika soka la bongo.

Hadi sasa tumeweza shuhudia wachezaji hawa wawili Mwenda na Kapombe wakihusishwa na matukio ya kupanchi na kupangua vipapai, flani akipanchi mwenzake asipotia guard inakula kwake, nae akienda kukipangua na kikiweza kupanguka kinarudi kwa alietuma, na mwendelezo huendelea.

Ni wachezaji wapi wengine waliwahi kuhusika kwenye hizi mambo >
 
Kumbe humu kuna watu wana akili ndogo kiasi hiki.

Kusema ukweli hata kama ni kukosa akili lakini kuna mambo ambayo kama mtu mzima hutakiwi kuropoka mana hakuna anayejua impact yake huko baadae,

Unadhani kwa maneno haya huko klabuni wachezaji watakuwa wanajisikiaje, mbona naona huu ni ugombanishi!, Umethibitisha wapi kwamba wanarogana mpaka upate nguvu ya kuleta hapa.

Ukifanyiwa vitu kama hivi utafurahi?.. ndugu zangu tuwe na busara sio kila kitu ni cha kuongea.
 
Kumbe humu kuna watu wana akili ndogo kiasi hiki.

Kusema ukweli hata kama ni kukosa akili lakini kuna mambo ambayo kama mtu mzima hutakiwi kuropoka mana hakuna anayejua impact yake huko baadae,

Unadhani kwa maneno haya huko klabuni wachezaji watakuwa wanajisikiaje, mbona naona huu ni ugombanishi!, Umethibitisha wapi kwamba wanarogana mpaka upate nguvu ya kuleta hapa.

Ukifanyiwa vitu kama hivi utafurahi?.. ndugu zangu tuwe na busara sio kila kitu ni cha kuongea.
Mbona alithibitisha kapombe mwenyewe?
 
Kama huwezi kuthibitisha basi kaa kimya
Kapombe Alisha thibitisha Hadharani Kwaiyo isi kuumize kichwa,wenye Simba Yao wanaifahamu ilo na mpaka Sasa linawapa shida kwenye maamuzi kwakua linahitaji hekima iliyo tukuka.
 
Kapombe Alisha thibitisha Hadharani Kwaiyo isi kuumize kichwa,wenye Simba Yao wanaifahamu ilo na mpaka Sasa linawapa shida kwenye maamuzi kwakua linahitaji hekima iliyo tukuka.
Lete ushahidi wa kapombe kuthibitisha
 
Wapumbafu Sana wachawi ,usimuache mchawi aishi ,kwa mwanamke imetajwa Hadi kwenye bibilia
 
Kuna mkaguzi wa viwanja kabla ya mechi. Anaitwa Gadiel Michael. Huyo dogo na utaalam wake wote, ameshindwa kutia mguu kwa mpinzani wake; Zimbwe Jr.
😂😂😂 Zimbwe kiboko. Kuna kipindi Fulani walianza kumvalisha kapombe beji ya unahodha na yeye yupo uwanjani. Kilichofata ni majereha makubwa
 
Asante kwasi na Mohammed Hussein
Paul godfrey na abdul mnyamani.
Rashid juma
Miraji athumani
Balama mapinduzi
Waziri junior
Ila wachezaji wa kibongo wanapigana misumari balaa bila misumari hawatoboi.
 
Back
Top Bottom