Tukibaki Hai, Tutasimulia

Tayukwa hii ushaisoma??? Ni nzuri sana japo ina matukio mengi mengi na episodes zake ni ndefu sana!! Ila nzuri mnooo
 
Well done. Vipi umeipenda? Umejifunza nn?
Nimeipenda sana hadi natamani Hata saii Steve aimalizie!!
Humu bwana mafunzo ni mengiiii.... kwanza The power of 💰💰💰💰💰 pili usnitch aisee trust no one...watu wako wa karibu usiowadhania ndio wanaokumalizaa chini chini..tatu ishi kivyakoo watu wasikujue kabisa au uwe na changing behavior wasikusome . Nne point yako ya weakness watu ndio wanaitumia kama strength yaooo... na mengine mengi mengi
 
Huu ni upumbavu kabisa kwann ulete story alafu iishie njiani kama hukutaka kuleta uache hakuna mtu wa kuja kukutafuta ulete story ni kiherehere chako tu
 
yani jaman hadi siku Steve arudi itabidi na mimi nirudie post yake ya mwisho kujikumbusha tulipoishia
Hahaha.. Mimi nitakumbuka tu kuwa Mitchelle yuko mikononi mwa Dr Lambert kwasasa Hana ujanja tena!! Afanye aje kuimalizia hii kwanza jamani !!
 
Duh! Ishanilevya sasa
 
Duh! Kivumbi cha kufa mtu![emoji2962][emoji1782]
 
[emoji817] Hakika umeisoma na kuielewa.
 
Oh!hooow!! Jaribio la kujiua na kuua wenzie
 
Duh![emoji848][emoji53] Kafukua kaburi
 
Maana ya kidokezo cha mwisho ni nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…