Tukibaki Hai, Tutasimulia

Meli inaenda kuzama[emoji3166]
 
Lah! Hallaullah! Namuonea huruma sana huyu Dr!
 
Kwasasa hapana, sijajua hapo mbele...
Mtu kama huyo unamlambisha sumu akafie mbele kimyakimya amenikera sana sana sana! Dah! Huyu lazima atachafua hali ya hewa huko mbele, lazima!
 
Nimependa sana taarifa ile ya kisayansi alivyo i present jamal! Ina data nyingi kuliko zilizo kua zimesha gundulika!! Huwezi kupata mahala data hizi popote zaidi ya kusoma
 
Jean mpumbavu sana! Kuna watu wanakuaga vipele makazini ajabu
 
Hahaha.. Mimi nitakumbuka tu kuwa Mitchelle yuko mikononi mwa Dr Lambert kwasasa Hana ujanja tena!! Afanye aje kuimalizia hii kwanza jamani !!
wewe si umeimaliza juzi tu hapa,wengine tulikuwa nae bampa tu bampa
 
Duuuh! Mambo ya mua bungala haya! Wanazamisha meli hawa[emoji527][emoji533] , juu napo man down[emoji61][emoji2760]
 
Lazima pawake!
 
Loooh! Nungwi hapo chombo cha zamaaa!
 
Astakafillullah raajun mashetani! Duh!
 
Binaadamu ni kiumbe hatari sana kuwahi kuishi kwenye uso wa dunia! Akikudhamiria hakukosi
 
Habari zenu wapendwa? Samahani kwa kuwa kimya kwa kitambo kidogo, sasa narejea na kama nilivyoapa, story hii nitaimalizia hapahapa.

Kuanzia kesho nitarejea kwenye ratiba yangu ya awali.
Daaah afadhali maana sio Kwa kuchungulia huku
 
Wamemponza meneja wao kwa kutaka kupekua yasiyo wahusu
 
Kama umenifuatilia vema, mimi huwa naandika filamu sio riwaya.
Filamu na riwaya zina utofauti gani mkuu! Hata riwaya inaweza tengenezewa muvi!!!? Na itakua na tofauti gani na filamu ukiwa unaziangalia
 
Huku ni kuwindana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…