Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

Kwani unafikiri wasiojulikana,wanaoteka watu,waliompiga Lissu risasi nk hawaendi kwenye Nyumba za ibada?Tuwe wakweli,hali hii ni Matunda ya mti uliopandwa 2015

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi sijaongelea watu wasiojulikana. Siwajui. Wewe ndo Umewaleta.

Haijalishi waende wasiende haiondoi the fact that wote mnaowaombea wenzenu wapate Corona nyie ni wanafiki tu.

Wewe kuleta hiyo hoja ya watu wasiojulikana ni kujaribu kuprove right mnachofanya which is not.
 
Dua la Kuku halimpati mwewe.., kwahio wana kila haki ya chuki zao na unyama wao (so long as they don't act on their wishes) tatizo ni wale wanaotimiza madhambi yao..., hata kama hawaombei mtu mabaya ila wanafanya mabaya...
 
Teteeni tu matumbo yenu ila mkiumwa corona watu lazima washangilie...

Mlishawaita watu majina ya ajabuajabu halafu eti saiv mnataka tuwe wamoja. Big no.
 
Mimi siombei mtu kifo, ila namkumbusha tu huyo bwana kuwa kuna watu walisimama mstari wa mbele kuitetea Tanzania walirudi wakiwa vipofu wengine,
Kama ambavyo unaona Tundu Lissu alistahiri kufa the same way nasi tunaona Meko anastahiri kuwa connected na covid19 ili atangulie the hell
 
Katika uzi Ngosha uliandika pumba ni huuu na unatakiwa ujutie kwa unafiki wako ulioujaza humu. Kobe wew.[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]

Ko kufa tufe sie
Mkifa nyie ni habari

Na mtatafutana tuu subirini.

Time will tell[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bashite mwenyewe alikaa anafurahi mtoto wa mbowe kupata corona hahaha. Ungeanza kumtaja kwanza maana hadi video zipo.

Huu ni unafiki wa grade A kabisa, we naye una double standards unajifanya mwema huku upande mwingine unajua kabisa unatetea ujinga sometimes.

Watanzania wenye upendo hahaha upendo gani ambao watz wamekua nao? Tz has been a shitty country miaka nenda rudi, I don’t wish mtu afe ila kuna watu wakifa hata sitokaa nishangae kabisa and I wouldn’t care at all sababu they think they are immortal. What goes around comes around. Watu wengi ni wicked hata jiwe mwenyewe ni master wao, au huoni watu wanavyokufa na tatizo la upumuaji daily wanazikwa usiku kimya kimya alafu unaambiwa idadi ni watu 10 hahaha 10 people my ass.

Umeexaggerate sana hili jambo as if ni kitu kikubwa mno when its really nothing. What a waste of time kuandika maneno mengi hayo, sina muda kusoma yote unless ungekua umemuandika Bashite live sababu ndiye muhusika namba moja
 
Paskali, hujambo? Hizo shutuma zako ungezielekeza kwa wanaochinja raia wema na kutupa kwenye viroba ingeleta maana sana.
 
Ukweli ni kwamba taarifa zilizokuwa zinztolewa hazikuwa sahihi, (Ummy Mwalimu anajua), kwa hiyo kusema eti kuna award tunataraji ni uzwazwa wako tu, ilibashiriwa kwamba walikuwa wanajaribu kuficha ukweli ili kujidanganya kwamba maambukizi yako chini tanzania, ni ujinga kuficha jambo ambalo liko wazi, tunapima kizembe, tunaficha taarifa halafu watu wakisema wana hofu na taarifa hizo za kupikwa wanakamatwa na jeshi la polisi, endelea kuwapumbaza hao viongozi wenu uchwara muone mwisho wake
 
Kwa kweli Wacha wafe tu kwa Corona, Kwani sh. ngapi bana
 
Wacha wafe tu kwa Corona
 
Ngoja niandike kwa msisitizo.

NA MIMI NASEMA HIVI KAMA KUNA MTU ALIHUSIKA KATIKA JARIBIO LA MAUAJI YA LISSU, ALIFURAHIA LISSU KUPIGWA RISASI NA MENGINE MENGI YANAYOFANANA NA HAYO BASI AKIPATA CORONA R.I.P KWAKE. AND I WILL BE HAPPY HIYO CORONA IKIONDOKA NA YEYE.

NA WOTE TUSEME AMENI.
 
Ukweki nikwamba Watz 90% wanataka Meko apate corona na kupoteza uhai wake ..... Then 10% niwale viongozi kama wakuu wa wilaya nk. Mfano Daudi Makonda.

Hii nikwasababu 2 tu .
Nachojua ni kwamba huu " Uchawi" wakutakiana mabaya unatokana tu na ushabiki wa vyama vya kisiasa. Chakushangaza ni kwamba hata hao tunaotamani waishike dola wakishaingia madarakani hatujui ya mbeleni wanaweza wakatutenda vibaya mpaka tena tujute nakutamani bora wale viongozi wa zamani. That will be too late Wahenga wanasema Majuto ni Mjukuu!!!
 
Kwa hiyo wakifanya sisiem hamuoni ila wakifanya upinzani mnafungua midomo yenu? .
 
Wewe Paskali acha kutafuta huruma hapa, hivi wewe ulipomchongea Kabendera akawekwa lupango na kupelekea kifo cha Mama yake mzazi unadhani nani alifurahi na wewe ?, nyie tulieni tu dawa iwangie vizuri, waliouawa na serikali hii wao hawakuwa watu ?, mkuki kwa ngiuruwe eeh ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…