Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

Watu wasioheshimu hata maiti za raia wanaowakata kodi. Wanawazika usiku kwa vitisho na bila heshima yoyote.

Wakifa ni faida kwa nchi na ulimwengu. Huwezi ukafanya ukatili halafu utegemee watu wakupende. Nature does not work that way.
Tena wakifa wao ji sherehe. Najua Pasco amechikoza tu lakini ujumbe wake umefika wanaoelewa tumemwelewa.
 
Paschal, nilikuwa nakuheshimu sana lakini kwa uzi wako wa leo! Bora ufe kwa corona. Chakubanga aliwafananisha wapinzani na corona, Bashite alimshukuru Mungu mtoto wa Mbowe kupatwa na corona lakini haukupanua mdomo wako kama pasi ya mkaa kukemea huu ushetani.
 
Wanabodi,

Mtu unachokiandika, ndicho unacho kiwaza!, kuna watu, tunaishi nao, tunakula nao, tunalala nao, tukidhani ni binaadamu wenzetu, kumbe ni machoni tuu ndio kama watu, lakini mioyoni ni mashetani wakubwa!. Mtu unaombeaje binaadamu mwenzako afe kwa Corona?!. Can't believe this wickedness imewakuta Watanzania wenzetu!. Huu sio utu, sio ubinaadamu, ni ushetani!

Unaweza usiamini hili ninaloandika hapa lakini ni kweli kabisa, wakati dunia ikihangaika na janga la ugonjwa wa Corona linaliitesa dunia nzima tukiwepo sisi Tanzania, kuna baadhi ya wenzetu humu mitandaoni utu na ubinaadamu umewatoka wamekuwa sio watu tena, sio binaadam bali ni mashetani kwa kuombea wenzao sio tuu wapate Corona, bali wapate Corona na wafe kwa vifo vya Corona!.

Hili nimelishuhudia humu jf na mitandao mingine baadhi ya wenzetu waki andika ku wish wenzao wapate Corona na wafe kwa Corona kwa wengine kuwataja kabisa kwa majina mimi nikiwa ni mmoja wao na wengine kuwataja kwa majina ya utani au hata bila kutaji jina ula unajua ni nani!.

Lengo la bandiko hili sio mimi kulalamika kuwa kuna watu wananitaka nipate Corona, kwasababu mimi ni nobody, hata nikichomoka na Corona, it's only my wife, my kids na my family ndio wata suffer, bali kuna watu very wicked wana wish viongozi wetu fulani fulani wafe kwa Corona, kutokana na positions za hao viongozi, ikitokea kweli wakachomoka kwa Corona, taifa tuta suffer kwa kupigwa na double tragedy!.

Mimi ni miongoni mwa Watanzania wenye uwezo wa kitu kinachoitwa graphology ni uwezo wa kusoma maandishi ya watu, kisha ukabaini mwandishi alimdhamiria nini, hata akiandika neno "bora tuu afe kwa Corona ", bila kumtaja ni nani, kupitia graphology unajua ni nani alidhamiriwa afe!, japo huyo mwandishi anaweza kuwa hakuandika kwa kumtaja jina expressly kuwa nataka fulani afe kwa Corona, lakini kupitia uwezo huo wa graphology, then unatambua impliedly aliyedhamiriwa ni nani!.

To wish someone specific afe kwa Corona ni highest stages of wickedness, Watanzania siku zote ni watu wenye upendo, tunapendana na tunawapenda viongozi wetu, na hata chama chetu japo tunakilalamikia sana humu mitandaoni kuwa ndicho chanzo cha umasikini na madhila yote yanayolikuta taifa letu, lakini in reality, tunakipenda sana na kila mwaka huwa tunakichagua tena na tena mwaka hadi mwaka, na kama janga la Corona halitadumu muda mrefu na kuleta madhara makubwa, then mwezi October, 2020, tunakichagua tena, sasa iweje binadamu wenzetu, Watanzania wenzetu kuingiwa na roho ya ushetani wa ajabu kwa kuwa na wishful thinking ya kuombea viongozi wetu fulani fulani tegemewa, wafe kwa Corona?!.

Ajabu kubwa zaidi ni idadi ya members watakao toa likes kwa huyo mtu, inaonyesha jinsi tulivyo na kundi kubwa Watanzania wenzetu ambao ni wicked kwa kusupport hizo wicked ideas!, na kipimo rahisi kwa mashetani hawa, utakiona kwenye uchangiaji kwenye hili bandiko.

Swali la kujiuliza hivi ni kweli Watanzania watu tuliiokuwa na upendo wa ajabu zaidi hata ya upendo wa mshumaa, wa kumulikia wengine huku kwako unateketea, sasa tumefika hapa kuombeana vifo vya Corona?. Huu ni utu, ni Ubinaadamu au ni ushetani wa ajabu?.

Hivi kweli sisi Watanzania tumefikia stage ya kuishi na binadamu wenzetu wenye mawazo ya kishetani kama haya halafu tunaishi nao tukiendelea kula nao, kunywa nao na kulala nao na wengine hadi tunawapongeza!, hivi ushetani huu unatofauti yoyote na ule ushetani wa Sodoma na Gomorrah?!.

Ingekuwa kila kitu mtu anachokiwaza kinaandikwa kwenye paji la uso wake, hivyo nikikuambia ufunge macho na kuwish ulitaka mtu gani afe kwa Corona, amini usiamini, watu tungekuwa surprised kukuta mke ana wish mume ndio afe, mume ana wish mke ndio afe na nikiuliza ungewish kiongozi gani afe kwa Corona, majibu yangekuwa yanaandikwa usoni!, watu mngeshanga na ungeweza usiamini!.

Tiba Nambari One Duniani ni Imani, yaani faith, kwa janga kama la Corona ili liishe na lisilete madhara makubwa na maafa kwa Tanzania na duniani kwa ujumla, ni kama Watanzania na watu wote, ikiwa wote tuta wish kwa dhati ya mioyo yetu kumuomba Mungu kwa dhati, alipishie mbali, hili janga la Corona, lakini kitendo cha wengine tunasali, na kumuomba Mungu atuepushe na janga la Corona, huku kuna wenzetu wengine wao waki wish fulani apate Corona afe, kunapunguza nguvu ya sala zetu, huu sio Ubinaadamu, sio utu, ni ushetani!.

Hala hala kwa mashetani hawa, ingekuwa dua ls kuku linampata mwewe, saa hizi siku nyingi kuna watu tungekuwa ni historia, lakini Mungu sio Athumani, kila mtu atakufa siku yake Mungu aliyompangia tena kwa kifo kile kile mtu ulichopangiwa, kama mtu umepangiwa kufa kwa Corona, utakufa tuu kwa Corona and no one can do anything kuzuia, ili kitendo cha mtu kumwish mtu fulani afe kwa Corona, sheria ya karma my act kwa kanuni ya what goes around, comes around, wakati uki wish fulani afe kwa Corona, karma may act upon you na ku reverse your wishes on opposite directions, hiyo wish ikakurudia wewe na familia yako!.
Tupendane wandugu, na tuwishiane mema!.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wasamehe Watanzania wenzetu waliomkaribisha shetani ndani yao na umtume Roho Mtakatifu wako, awasafishe na kuwatakasa with their evil thoughts and wickedness na kuliepusha taifa letu na janga la Corona.

Amen.

Paskali
Ungewaombea kwanza wale waliopoteza watanzania wenzetu kama Ben sanane na eg nk. Pia usisahau wale.waliouawa na kutupwa ufukweni na waliopanga kumuu Lissu
 
Na bado tukutane kwenye sanduku la kura tutawaonesha kwa uwazi kuwa tumewakataa, mjiandae kuiba na kupika data lakini ukweli mtakuwa mmeufahamu kuwa hamtakiwi!

Chuki mmeipanda wenyewe haiwezekani mtu mzima na akili zake aweke kwenye uzani mmoja maisha ya watu na uchumi wa nchi, kwa akili ndogo za mtu yeyote mwema angeelewa kuwa uhai wa watu ulitakiwa ulindwe kwa gharama zozote sababu ukipotea haurudi.

Haiwezekani yanachangwa mabilioni badala ya kutumika kwa namna ilivyokusudiwa mpaka sasa hayajulikani yalipo na yanafanya kazi gani wahudumu wa afya wanafanya kazi katika mazingira hatarishi, practically yeye amewaombea wahudumu wetu wa afya kifo, mnataka tuwachekee?
 
Wanabodi,

Mtu unachokiandika, ndicho unacho kiwaza!, kuna watu, tunaishi nao, tunakula nao, tunalala nao, tukidhani ni binaadamu wenzetu, kumbe ni machoni tuu ndio kama watu, lakini mioyoni ni mashetani wakubwa!. Mtu unaombeaje binaadamu mwenzako afe kwa Corona?!. Can't believe this wickedness imewakuta Watanzania wenzetu!. Huu sio utu, sio ubinaadamu, ni ushetani!

Unaweza usiamini hili ninaloandika hapa lakini ni kweli kabisa, wakati dunia ikihangaika na janga la ugonjwa wa Corona linaliitesa dunia nzima tukiwepo sisi Tanzania, kuna baadhi ya wenzetu humu mitandaoni utu na ubinaadamu umewatoka wamekuwa sio watu tena, sio binaadam bali ni mashetani kwa kuombea wenzao sio tuu wapate Corona, bali wapate Corona na wafe kwa vifo vya Corona!.

Hili nimelishuhudia humu jf na mitandao mingine baadhi ya wenzetu waki andika ku wish wenzao wapate Corona na wafe kwa Corona kwa wengine kuwataja kabisa kwa majina mimi nikiwa ni mmoja wao na wengine kuwataja kwa majina ya utani au hata bila kutaji jina ula unajua ni nani!.

Lengo la bandiko hili sio mimi kulalamika kuwa kuna watu wananitaka nipate Corona, kwasababu mimi ni nobody, hata nikichomoka na Corona, it's only my wife, my kids na my family ndio wata suffer, bali kuna watu very wicked wana wish viongozi wetu fulani fulani wafe kwa Corona, kutokana na positions za hao viongozi, ikitokea kweli wakachomoka kwa Corona, taifa tuta suffer kwa kupigwa na double tragedy!.

Mimi ni miongoni mwa Watanzania wenye uwezo wa kitu kinachoitwa graphology ni uwezo wa kusoma maandishi ya watu, kisha ukabaini mwandishi alimdhamiria nini, hata akiandika neno "bora tuu afe kwa Corona ", bila kumtaja ni nani, kupitia graphology unajua ni nani alidhamiriwa afe!, japo huyo mwandishi anaweza kuwa hakuandika kwa kumtaja jina expressly kuwa nataka fulani afe kwa Corona, lakini kupitia uwezo huo wa graphology, then unatambua impliedly aliyedhamiriwa ni nani!.

To wish someone specific afe kwa Corona ni highest stages of wickedness, Watanzania siku zote ni watu wenye upendo, tunapendana na tunawapenda viongozi wetu, na hata chama chetu japo tunakilalamikia sana humu mitandaoni kuwa ndicho chanzo cha umasikini na madhila yote yanayolikuta taifa letu, lakini in reality, tunakipenda sana na kila mwaka huwa tunakichagua tena na tena mwaka hadi mwaka, na kama janga la Corona halitadumu muda mrefu na kuleta madhara makubwa, then mwezi October, 2020, tunakichagua tena, sasa iweje binadamu wenzetu, Watanzania wenzetu kuingiwa na roho ya ushetani wa ajabu kwa kuwa na wishful thinking ya kuombea viongozi wetu fulani fulani tegemewa, wafe kwa Corona?!.

Ajabu kubwa zaidi ni idadi ya members watakao toa likes kwa huyo mtu, inaonyesha jinsi tulivyo na kundi kubwa Watanzania wenzetu ambao ni wicked kwa kusupport hizo wicked ideas!, na kipimo rahisi kwa mashetani hawa, utakiona kwenye uchangiaji kwenye hili bandiko.

Swali la kujiuliza hivi ni kweli Watanzania watu tuliiokuwa na upendo wa ajabu zaidi hata ya upendo wa mshumaa, wa kumulikia wengine huku kwako unateketea, sasa tumefika hapa kuombeana vifo vya Corona?. Huu ni utu, ni Ubinaadamu au ni ushetani wa ajabu?.

Hivi kweli sisi Watanzania tumefikia stage ya kuishi na binadamu wenzetu wenye mawazo ya kishetani kama haya halafu tunaishi nao tukiendelea kula nao, kunywa nao na kulala nao na wengine hadi tunawapongeza!, hivi ushetani huu unatofauti yoyote na ule ushetani wa Sodoma na Gomorrah?!.

Ingekuwa kila kitu mtu anachokiwaza kinaandikwa kwenye paji la uso wake, hivyo nikikuambia ufunge macho na kuwish ulitaka mtu gani afe kwa Corona, amini usiamini, watu tungekuwa surprised kukuta mke ana wish mume ndio afe, mume ana wish mke ndio afe na nikiuliza ungewish kiongozi gani afe kwa Corona, majibu yangekuwa yanaandikwa usoni!, watu mngeshanga na ungeweza usiamini!.

Tiba Nambari One Duniani ni Imani, yaani faith, kwa janga kama la Corona ili liishe na lisilete madhara makubwa na maafa kwa Tanzania na duniani kwa ujumla, ni kama Watanzania na watu wote, ikiwa wote tuta wish kwa dhati ya mioyo yetu kumuomba Mungu kwa dhati, alipishie mbali, hili janga la Corona, lakini kitendo cha wengine tunasali, na kumuomba Mungu atuepushe na janga la Corona, huku kuna wenzetu wengine wao waki wish fulani apate Corona afe, kunapunguza nguvu ya sala zetu, huu sio Ubinaadamu, sio utu, ni ushetani!.

Hala hala kwa mashetani hawa, ingekuwa dua ls kuku linampata mwewe, saa hizi siku nyingi kuna watu tungekuwa ni historia, lakini Mungu sio Athumani, kila mtu atakufa siku yake Mungu aliyompangia tena kwa kifo kile kile mtu ulichopangiwa, kama mtu umepangiwa kufa kwa Corona, utakufa tuu kwa Corona and no one can do anything kuzuia, ili kitendo cha mtu kumwish mtu fulani afe kwa Corona, sheria ya karma my act kwa kanuni ya what goes around, comes around, wakati uki wish fulani afe kwa Corona, karma may act upon you na ku reverse your wishes on opposite directions, hiyo wish ikakurudia wewe na familia yako!.
Tupendane wandugu, na tuwishiane mema!.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu wasamehe Watanzania wenzetu waliomkaribisha shetani ndani yao na umtume Roho Mtakatifu wako, awasafishe na kuwatakasa with their evil thoughts and wickedness na kuliepusha taifa letu na janga la Corona.

Amen.

Paskali
Ndg paskali hongera kwa kuliona hili. Mitandaoni kumejaa watanzania waodhani kuwa wao ni zaidi ya binadamu wasiokuwa na Damu wala mwili wa nyama. Cha ajabu zaidi wanadhani huo ndio uzalendo, wenye akili zaidi kuliko watanzania wote, waamini kila wazi lao ndio sahihi.

Furaha yao ni matusi na kejeli kwa wanzao.
Wasomi wasomi kweli wajuzi wa kila fani.
Sijui tatizo ni vielimu vyetu hivi!!!!.

Wakati wa majanga tulipaswa ongea lugha moja. Mungu tusaheme waja wako tunusuru na janga hilo.
 
Ndg paskali hongera kwa kuliona hili. Mitandaoni kumejaa watanzania waodhani kuwa wao ni zaidi ya binadamu wasiokuwa na Damu wala mwili wa nyama. Cha ajabu zaidi wanadhani huo ndio uzalendo, wenye akili zaidi kuliko watanzania wote, waamini kila wazi lao ndio sahihi.
Furaha yao ni matusi na kejeli kwa wanzao.
Wasomi wasomi kweli wajuzi wa kila fani.
Sijui tatizo ni vielimu vyetu hivi!!!!.
Wakati wa majanga tulipaswa ongea lugha moja. Mungu tusaheme waja wako tunusuru na janga hilo.
Waliomchangia Tundu Lissu ni wasamaria wema.
Ccm ni mashetani.
 
Pascal hivi ikitokea lile dude lililoagiza Lissu akatolewe uhai likabinuliwa na COVID-19 na kisha likazikwa kimyakimya utajisikiaje?
 
Bila Shaka PPaskal Leo umejifunza kitu,huu ndio mtazamo wa Watumiaji Jf...kukuongezea nunua Nakala ya Raia Mwemaya Tarehe 29.4.2020 umsome Prof Shivji utafikiri amesummarize maoni ya wadau kwenye bandiko lako
 
Krikichino,
Polepole alipowafanisha wapinza na corona kuna mchango gani uliutoa humu ndani? Hebu kamsalimie mwanasheria nguli Albert Msando aliyemwandikia barua Pompeo kwamba tz Freedom of expression imetamalaki na sasa yeye ananyea debe baada tu ya kutamka.

Hali ni tete juu ya COVID-19, msidhani shetani anachagua atakula nyama ya mwili wako huku ukimshangilia ukidhani atakuachia.

Wapinzani lazima tufurahi kwani tumefundishwa ukatili na watesi wetu na upinzani ndio 'SI unit' ya mateso katika taifa hili.
 
Ndg paskali hongera kwa kuliona hili. Mitandaoni kumejaa watanzania waodhani kuwa wao ni zaidi ya binadamu wasiokuwa na Damu wala mwili wa nyama. Cha ajabu zaidi wanadhani huo ndio uzalendo, wenye akili zaidi kuliko watanzania wote, waamini kila wazi lao ndio sahihi.
Furaha yao ni matusi na kejeli kwa wanzao.
Wasomi wasomi kweli wajuzi wa kila fani.
Sijui tatizo ni vielimu vyetu hivi!!!!.
Wakati wa majanga tulipaswa ongea lugha moja. Mungu tusaheme waja wako tunusuru na janga hilo.
Akuanzae mmalize tatizo ni roho mbaya walioanzisha wakubwa ... Hivi mejaribu kuangalia kwa jicho la upande wa pili hivi unaanzaje kutuma watu wampige risasi mwenzio ili afe???

Unaanzaje kumdhulumu mafao yake achalia mbali kumnyang'anya tonge lake kwa hila hivi unategemea mtu Kama huyo Mimi ntamuombea mema???

Wallahi naomba korona iwasombe woote hasa yule wa kule ndio ianze nae hapo jee

Umesikia huko au tuongeze sauti !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pascal mimi natamani yafuatayo; kwakuwa sina uwezo na madaraka natamani lile jopo lililokaa na kuona suluhisho la kumdhibiti Tundu Antiphas Mughwai Lissu ni kumtwanga Risasi COVID-19 iwapitie, wale waliotafuta upenyo wa kibabe wa kukwepa kumlipia Lissu gharama za matibabu na akati anastahili hadi mimi na umasikini wangu nikakopa na kutuma Tsh1,000,000/= kama mchango wa dhati ya moyo wangu ili Lissu apatiwe matibabu ya kuokoa uhai wake nasema COVID-19 ikiwa na jina la Yesu ndani yeke pamoja na moto wa maserafi na makerubi ikawapige hao wauaji kama upepo wa kisulisuli.

Wale waliohusika kuua na kufunga miili ya watz kwenye sandarusi na kwenda kuitupa mto Ruvu na wengine kwenye fukwe za bahari nasema COVID-19 popote ulipo kawapitie hawa wasaidizi wa Lucifer watangulie kabisa kule kwenye ziwa la moto.

Haiwezekani ktk nchi hii kuwe na watu wenye mamlaka ya kutoa uhai wa watu halafu tusio na uwezo wa kuwafanya chochote tushindwe hata kumuomba Mungu au shetani kuwasulubisha.

Pamoja na kwamba kisulisuli kilishindwa kuwabeba wanaume wa kuwaoa wale mabinti wa kanisa la mlima wa moto pendine ni kwa sababu ya uzito wao lakini bado nakiamini kisulisuli hakiwezi kushindwa kuwabeba COVID-19 na kwenda kuwafanyia INOCULATION hao niliowataja hapo juu.
Haiwezekani watu watekeleze mauaji ya watz wenzetu halafu bado tuendelee kuwasifia kisa teuzi, wapitie huu uzi hapa ili wajue kuwa hatuwapendi kwa matendo yao.

Kuna hawa wadudu wengine wanaitwa wasiojulikana ikitokea COVID-19 ikawasafisha pamoja na vizazi vyao Pascal huoni kama hii itakuwa ni baraka kutoka kwa Mnyazi Mungu kwa kutupunguzia watu wenye roho mbaya za Black Mamba a.k.a Koboko (Dendroaspis polylepis) au Anaconda a.k.a Water boa or Bull killer kama wataalam wanavyomfaham kwa jina la Eunectes murinus.

Nikipata bahati ya kuipata AK47 ikiwa loaded halafu nikaonyeshwa kwamba huyu ndiye aliyemfyatulia risasi Lissu Pascal otea nini kitatokea? Kama niliyoyasema hapo juu ni uongo na kwamba hao hawahusiki na madhila husika basi namkaribisha ZRAIL nyumbani aje anisalimie na si vinginevyo.
 
Pascal katazo lako hili lingeanzia kwa Akina Kubenea kuvamiwa na kumwagiwa tindikali, kutekwa na kuteswa kwa Dr. Ulimboka kulikoongozwa na bwana Ramadhani Ighondu, kuuawa kwa Daudi Mwangosi.

Kupotea kwa Mwandishi mwenzio Azory Gwanda, kupotea kwa Ben Saanane, Kupigwa Risasi Tundu Lissu, Miili kwenye sandarusi etc, etc, etc nadhani WABAYA WETU WANGEPUNGUZA MAUAJI YA KISHAMBA
 
Ile video inayomuonyesha Bulembo akiropoka Bungeni kwamba Mh Zitto apigwe risasi maana ni msaliti huku mama Rwakatare akigonga meza kuunga mkono hoja...nani mwenye akili timamu atawaonea huruma wafe tu kwanza ndio sababu ya umasikini wa nchi hii...
 
Swelana, Kampuni zilizotoa fedha ni uzembe tu wa kufikiri.

Wanashindwa kupeleka vifaa kwa nini?

Ukikuta kwenye corporate social responsibility policy hawana hizo mambo.

Lakini leo kujipendekeza wanapeleka fedha.



Sent using iphone pro max
 
Mkuu upo sahihi kabisa kumwombea binadamu mwenzako mabaya, ila jiulize pia watu hao wamefikaje huko? Huenda wameteswa na hao na wasiwe na kufanya, hivyo kwao corona wanaona ndo siraha maana haibagui.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kuombea tu wengine kulitamka wazi kwenye chombo kitakatifu cha kutunga "Amri Kuu za Nchi" kusababishia mama yetu RlP Rwaka kushikwa na bumbuwazi hadi kushangilia bila kujielewa naimani MAMA alifanya misa ya Toba

Hapo Pasco una wekaje kwanini Taifa halikulaani sehemu yetu takatifu (Bunge) kunajisiwa na mshika fimbo Mussa wetu kukaa kimya hatuoni ni laana Bunge asubuhi linaanza kwa sala katikati Bulembo analeta ushetani tunacheka as if ni sawa tu
 
Back
Top Bottom