Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
- Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
- Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi pia ni NONDO za uso na nina uhakika mtoa mada amezisoma kwa makini sana!!!!!Kaka yangu Paskali, naelewa uchungu wako. Lakini jiulize kama hiki unachokiona leo (and you have absolutely rightly spoken against it) kingetokea wakati wa miaka 5 ya mwanzo ya utawala wa Kikwete (let alone waliotangulia)?
Who are the culprits? Ilianzishwa wakati wa Kikwete wakati kina Mwigulu wanalipua mabomu na kuua watu wasio na hatia viwanja vya Soweto kwa ajili tu ya kuzuia CHADEMA wasishinde uchaguzi wa marudio wa udiwani. Magufuli alichokifanya ni kuongezea intensity ya tatizo ambalo ni mkakati wa kishetani wa ccm kubaki madarakani (na kumbuka kuwa Kikwete alituambia hadharani kuwa hata ccm kukubaliana na mbinyo wa kuruhusu vyama vingi "ulikuwa ni mkakati wa kuzuia watu wengi zaidi kuichukia ccm kwa kigezo cha kudai vyama vingi maana angalau kipindi hicho ccm ilikuwa inaungwa mkono na 80% ya Watanzania").
Unfortunately kwa ccm, muda huu Watanzania wengi ni waelewa na ccm wanajua kuwa kwenye uchaguzi huru na wa haki ccm LAZIMA itashindwa TU. Ndio maana bingwa wa kuogopa ushindani (Magufuli) anaogopa na kufanya ayafanyayo.
Paskali, naomba nenda ukawaambie watoto wa Azory, ndugu zake Ben Saanane, mke na watoto wa Tundu Lissu (na wengine wote walioumizwa) haya maneno uliyoyaandika leo halafu urudi kutupa feedback.
Sikubaliani na mtu anaemtakia mwenzake kifo, kiwe cha corona au ugonjwa wowote ule, ajali, kurogwa, kupigwa ngumi au risasi. Ila pamoja na hayo, anza kuwaambia watawala watubu kwanza. You can't keep on killing people and expect the victims' relatives to wish you well. Namuomba BWANA YESU WA NAZARETH ANISAMEHE na kutupa wote moyo wa kusamehe.
Nikifikilia hilo ,roho ya utu inanitoka kabisa na wafe tuHao hawana tofauti na waliogiza Kamanda apiwe risasi na bado wakaona haitoshi wakamvua na ubunge.
PolepoleUnetutajia member mmoja tu aliyemtakia mwanasiasa kifo cha Corona ingependeza zaidi!
Huku hata wakifa wote ni sawa tu,hiyo tv imekaa kusifia tu huwezi wafe tu wote ni heriVyama Pinzani ndo wana tabia hiyo.
Kuna kile kipindi TBC ilisemekana wamepata Corona yaaani watu walikuwa wanashabikia kabisa oooh wakome, wajifunze maneno kibao, tena wakasema bora wapate maana ake Lissu alivyopigwa risasi TBC hawakuripoti.
Kinachoshangaza zaidi mtu anayesema hivyo nae anaenda kwa nyumba ya ibada au kabla ya kuingia kitandani anasali. Pathetic.
Thank you. Likewise.I love 💔 you
Vipi dadangu, mbona unakuja kasi?! Una stress za kuachwa na kwahiyo unatafuta bwana kwa nguvu, au tatizo ni nini hasa?! Kama unatafuta bwana kwa nguvu, then you've a wrong guy cuz you're not my type, and you will never be no matter what.Utakufa wewe kwanza mjaa lana
Tumwombe Mungu lakini kuna watu wanatesa wenzaoTumefikia mahali tumeruhusu chuki ndo itawale hisia zetu!
Hii ni mbaya sana!