Tukiendekeza siasa na udini katika mashindano ya African Football League, hayatadumu

Tukiendekeza siasa na udini katika mashindano ya African Football League, hayatadumu

Kuna kosa gani hapa? Mbona hata La Liga mechi karibu zote zina "Free Palestine"?
Kwa mfano Kesho wachezaji wa Simba wawe na fulana ndani zenye benders ya Israel 🇮🇱 na Simba wakifunga Goli 1 watoe Jezi na kuonesha ile fulana kwa lengo la kuiunga mkono Israel itakuwaje uwanjani? Umeona Mantiki ya Mtoa Mada au mnaangalia upande mmoja tokana na mahaba yenu enyi dini ya mnyazi mungu?
 
Michezo huunganisha watu siku zote, sioni ajabu wachezaji wa al ahly kuwapa sapoti wapalestina umesahau msimu wa mwaka wakati urusi inaivamia ukraine klabu zote ulaya hadi na mashabiki walikuwa na mabango uwanjani kupiga kelele dhidi uvamizi ule iweje leo wewe uje na andiko lako eti udini, wewe ndo udini utakuwa unakusumbua mzee.
 
Kwa mfano Kesho wachezaji wa Simba wawe na fulana ndani zenye benders ya Israel 🇮🇱 na Simba wakifunga Goli 1 watoe Jezi na kuonesha ile fulana kwa lengo la kuiunga mkono Israel itakuwaje uwanjani? Umeona Mantiki ya Mtoa Mada au mnaangalia upande mmoja tokana na mahaba yenu enyi dini ya mnyazi mungu?
Kwanini mnapeleka kidini? Mbona EPL na La Liga kila mechi wanabeba mabango ya FreeUkraine? Mbona hamsemi wakitokea wanaovaa jezi za Russia itakuwaje? Ni hivi, haijawahi kuwa kosa kupiga kelele dhidi ya uonevu hata hao FIFA waliinyima South Africa uanachama wa FIFA kisa vikwazo vya uchumi walivyowekewa South Africa. Hapa hakuna udini wala nini ni kawaida duniani kote watu kupinga uonevu ndio maana Russia imefungiwa na FIFA au ile sio siasa?
 
hiyo kesho Boko akiingia uwanjani na fulana ya kuiunga mkono Israel na akifunga avue Jezi na abaki na hiyo fulana imeandikwa "Go on Israel Kill all foolish Palestinian" itakuwaje uwanjani?
Aingie nayo tu hajakatazwa, mbona Benzema kaunga mkono Palestina waziwazi kafungiwa??. Wala hakuna siasa hapo.
Lakini pia mleta uzi kaongelea suala la mchezo wa hovyo wa waarabu ikiwemo kujiangusha na kupoteza radha ya soka kama fainali ya Yanga na yale Mamumiani ya Algeria mbona mnalikwepa?
Umewahi ona mechi za America Kusini? Kule kuna shithousery kuliko Africa Kaskazini. Nadhani mtoa mada hana exposure ila hayo mambo ya kujiangusha, fitna n.k yapo ligi zote duniani
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kwa mfano Kesho wachezaji wa Simba wawe na fulana ndani zenye benders ya Israel 🇮🇱 na Simba wakifunga Goli 1 watoe Jezi na kuonesha ile fulana kwa lengo la kuiunga mkono Israel itakuwaje uwanjani? Umeona Mantiki ya Mtoa Mada au mnaangalia upande mmoja tokana na mahaba yenu enyi dini ya mnyazi mungu?
Tuwaache na mahaba yao likija kubumbuluka tutafute mchawi. Muafrika anashindwa kulinda maslahi yake anakimbilia kuyatetea ya Mrussia ambaye hajawahi kuwa na msaada kwake.
 
Michezo huunganisha watu siku zote, sioni ajabu wachezaji wa al ahly kuwapa sapoti wapalestina umesahau msimu wa mwaka wakati urusi inaivamia ukraine klabu zote ulaya hadi na mashabiki walikuwa na mabango uwanjani kupiga kelele dhidi uvamizi ule iweje leo wewe uje na andiko lako eti udini, wewe ndo udini utakuwa unakusumbua mzee.
Wakikujibu wavimba macho nitag.Hawana majibu bali udini tu.
 
Ondoa Hilo neno hatia maana katika mgogoro huu wao ndio wameanza uchokozi.
Wakili mzima unapotosha? Aliyeanzisha ugomvi ni Israel kwa kuvamia na kukalia kimabavu ardhi ya Palestina!! Ni sawa na kusema Zelensky ni mchokozi kisa kavamia vijiji vya Crimea (Ukraine) ambavyo vinakaliwa kimabavu na Russia!!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Wakili mzima unapotosha? Aliyeanzisha ugomvi ni Israel kwa kuvamia na kukalia kimabavu ardhi ya Palestina!! Ni sawa na kusema Zelensky ni mchokozi kisa kavamia vijiji vya Crimea (Ukraine) ambavyo vinakaliwa kimabavu na Russia!!
Hapa unaepotosha ni wewe.
 
Mpira siyo mahali pake. Nimeuliza maswali ya msingi hapa yote mnayakimbia na kwa kauli zenu inaonyesha hamko tayari kusikia au kuona mtu akiwa na maoni tofauti na nyie halafu cha kushangaza ndiyo mnatuhumu wengine kwa ubaguzi. Inashangaza sana.

Wakristo wengi wenu hapa nchini mnasapoti mayahudi, hilo liko wazi

Natamani sana kwenda palestina halafu nikutane na kichwa cha myahudi au kafiri wa kutoka huku nitamfanya ajutie
 
Hapa unaepotosha ni wewe.

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.
 
Hapa unaepotosha ni wewe.
Nimepotosha nini sasa kwani hao Settlers wa Israel wana kibali gani kujenga makazi kwenye ardhi ya palestina? Au ukiambiwa "walowezi wa Kiyahudi" unaelewa nini?
 
Baba wa taifa hakuitambua israel,cairo hawaitambui israel,hatujui mini kitakupata ukipeperusha bendera ya israel cairo,sisi so wapiga ramli
Unafahamu kwamba Misri na Israel wana uhusiano wa kibalozi wa zaidi ya miaka 40 au wewe unaongea tu.
 
Unafahamu kwamba Misri na Israel wana uhusiano wa kibalozi wa zaidi ya miaka 40 au wewe unaongea tu.
Nimesema cairo siyo misri,nililenga mashabiki na wachezaji kama alivyotolea mfano yeye
 
Uhusiano wa kibalozi kati ya Israel na Egypt ulianza mwaka 1980.Ilisababisha Rais Anwar Sadat akauwawa kwenye paredi la kijeshi.
Kwa mujibu ya kura ya maoni iliyofanyika mwaka 2019-2020 ni asilimia 13 tu walioulizwa waliunga mkono kuwa na uhusiano na Israel na asilimia 87 walipinga.Kura hiyo ya maoni ilisimamiwa na Arab Center for Research and Policy studies.
Wananchi wa kawaida wa Egypt hawakubali lakini wanalazimwishwa na utawala wa kijeshi wa Nchi hiyo.
 
Back
Top Bottom