Tukifanya Hivi, Kina Mwamposa na Manabii kuwa Walipa Kodi Wakubwa

Tukifanya Hivi, Kina Mwamposa na Manabii kuwa Walipa Kodi Wakubwa

Unaweza kusema hapa posho wanazolipana wafanyakazi wa serikali even hao TRA kuna wakati hufanya vikao vyao wakajilipa posho huwa zinakatwa kodi?

Una chuki kubwa sana na RC bro kuwachukia hakukuongezei chochote kwenye maisha yako ya kiroho zaidi ya kupoteza muda sasa nakushauri kaa chini kunywa maji kidogo(sijui yatakuwa ni ya mwamposa au vipi utajua mwenyewe) kisha tafakari je ni sahihi kwa mwamposa kuwauzia watu Hill Water 1litre ya Tsh 500/= mtaani kwa gharama ya 5,000/= hapo Kawe na popote kwenye matamasha yake?
Kama TRA hawakatwi hizo posho wanatakiwa kukatwa na wabunge pia
Posho ni income TRA kama kweli usemacho hawako sahihi wakatwe kodi za vikao wao na wabunge

Posho ni income kwa receiver iwe ya kikao cha TRA au mbunge au posho ya padre au mchungaji au Askofu au nabii au mtume ni taxable income

Kama haiko taxable iwe taxable
 
Kama TRA hawakatwi hizo posho wanatakiwa kukatwa na wabunge pia
Posho ni income TRA kama kweli usemacho hawako sahihi wakatwe kodi za vikao wao na wabunge

Posho ni income kwa receiver iwe ya kikao cha TRA ya mbunge au posho ya padre au mchungaji au Askofu au nabii au mtume ni taxable income

Kama haiko taxable iwe taxable
TRA na Bunge kama posho zao hawakatwi kodi it is wrong same kwa mapadre ,masista na mabruda wa kanisa katoliki kama hawakatwi kodi posho zao it is wrong
 
Timu ni ileile ila viwanja ni tofauti![emoji1787][emoji1787]

Ndiyo ukweli huo.

Catholic wao wapo kwa miaka mingi na namna yao ya upigaji/business imeshaundwa kitaasisi kwahiyo kila mmoja anaona ni sawa tu.

Mwamposa yeye yupo kwenye kipindi cha mwanzo sasa lazima tumuone yeye ni kibaka. Bado hatujazoea upigaji wake kwahiyo tunalalamika.

Jamaa akikomaa muda mrefu watu watasahau wataona kawaida tu.

Kumbuka wajinga hawaishi kwahiyo huduma za mwamposa and co hazitakoma.
 
Ndiyo ukweli huo.

Catholic wao wapo kwa miaka mingi na namna yao ya upigaji/business imeshaundwa kitaasisi kwahiyo kila mmoja anaona ni sawa tu.

Mwamposa yeye yupo kwenye kipindi cha mwanzo sasa lazima tumuone yeye ni kibaka. Bado hatujazoea upigaji wake kwahiyo tunalalamika.

Jamaa akikomaa muda mrefu watu watasahau wataona kawaida tu.

Kumbuka wajinga hawaishi kwahiyo huduma za mwamposa and co hazitakoma.
OK issue kodi wanalipa kwa miaka yote toka waje Tanzania kama missionaries posho zao za mqpadre,masista na Mabruda,
Income zao toka Wakanyage Tanzania as the so called Catholic missionaries zillishakuwa taxable? Toka waje nchini?

Mwamposa kaanza juzi juzl tu what about those missionaries from Europe or Italy the catholics !! walikuwa taxable income zao? What about mapadre na masista na Mabruda before Mwamposa hajaibuka je income zao zilikuwa taxable na ziko taxable sasa? Kama haziko taxable why ? why, TRA wajibu
 
Taja Kanisa tujue tufanye uchunguzi na sisi tuamini maneno yako.

Nataka uniambie wewe hiyo wine inauzwa ktk mazingira gani?ndani ya Kanisa au ktk ofisi ya Kanisa?hao wengine wanaonunua hapo obviously walitangaziwa so ni biashara yao waliyoitangaza nitakachofanya nitaitafuta hata mtandaoni niwaulize kama mteja lengo nijue.
Sio lengo la uzi huu,kuna mdau hapo juu pia amesema kwamba kuna masista huwa wanatengeneza wanauza,kwahio sio kitu kipya
 
Kwani hayo maji watu wote wananunua?Sauala la maji ya upako,pia siyo lazima ununue Huwa anaombea ata ya kwako uliyokuja nayo.Kuna kipindi saa tatu usiku kinaitwa "OPERESHENI KOMBOA FAMILIA"mwishoni Huwa anaombea maji na Mafuta yoyote uliyonayo.Kwaiyo tuache uzushi !
Sijawahi kujishughulisha kutazama hicho kipindi,kinarushwa na TV station gani Mkuu? Japokuwa pia huwa sina hata interest na haya Makanisa ya Manabii na mitume
 
Kwani Kuna Kanisa ambalo siyo la mtu au taasisi iliyoanzishwa na mtu?.Ata sadaka ya KATOLIKI inaenda Vatican na wewe unabaki na ulofa wako.Bora wakina Mwamposa wanazungusha pesa humuhumu ndani ya nchi!
Huna ujualo kuhusu ukatoliki. Pesa ya Roma imeacha kuja tangu mwaka 2001. Kuanzia kipindi hicho kanisa linajitegemea kupitia sadaka na mavuno yanayofanyika mara moja kwa mwaka.
 
Wakatoliki pesa zinajulikana zinaenda wapi na zinafanya nini!
Matokeo na tunayaona,ila hawa matapeli wakina mwaposa na wengineo pesa zao wanafanyia mambo yao binafsi tu kama kujenga majumba yao kuishi na mahoteli na kununua magari ya kifahari

Ova
Mapadre wa katoliki hawafungi ndoa, maisha yao ni huduma na sisi waumini ndio tunaowatunza kwa kila kitu.

Hao maaskofu wanaoa na hivyo kuingiza ubinadamu katika huduma inayotakiwa iwe ni ya kiroho kwa asilimia mia moja, hivyo wizi na ufisadi unakuwa mwingi.
 
Hoja iko hivi?
Kodi hutozwa kwenye mambo matatu tu yaan, business, investment, employment. Chochote nje ya hapo hakitozeki Kodi (out of scope)
Sasa unatakiwa uje na sheria itakayosema na iwe strictly construed ili inmase mwamposa.
No intendment in tax laws, words must clearly be stated.
SASA EBU NISAIDIE HIYO SHERIA ITAKAAKAJE KIASI KWAMBA SADAKA AU MICHANGO kanisan itofautishe na mambo ya mwamposa?
Utaishia kutunga sheria mfu kwan haitaweza kufanya kazi.

Inatakiwa hivi unapowashtaki mwamposas useme ni kivipi arrangement ya transactions zake za maji na mafuta namna ambavyo fall within tax laws na sio kihisia.

Sasa mwamposa si atasena toeni sadaka nitawagawia maji MUNGU alioniruhusu niwagawie...
Wale wa 5,000 watapewa maji , chin ya hapo hatawapo ...hajairuka sheria yeyote
Business
 
Mapadre wa katoliki hawafungi ndoa, maisha yao ni huduma na sisi waumini ndio tunaowatunza kwa kila kitu.

Hao maaskofu wanaoa na hivyo kuingiza ubinadamu katika huduma inayotakiwa iwe ni ya kiroho kwa asilimia mia moja, hivyo wizi na ufisadi unakuwa mwingi.
Hujui mengi ya ukatoliki
 
Mwamposa ana kiwanda cha maji na duka la kuuzia ayo maji unayoyasema?
Usiende mbali kwenye kiwanda.Kinachojadiliwa ni yeye (wao) kuuza bidhaa.Wanapata kipato.Je,wanalipa kodi?Sijajua kama ni maji ya kisima au ya bahari.Hoja ni ulipaji wa kodi kwa kufanya biashara ya kuuza bidhaa.
 
Asilimia kubwa ya maji anayotumia Mwamposa kwenye mambo yake kiimani ni ya Hill Water, na hicho kiwanda kipo Mapinga, Bagamoyo..

Wewe kama unajua hicho kiwanda chake, weka hapa jina lake, maji anayotengeneza yanaitwaje, na wapi hicho kiwanda kilipo?
Katoliki pia wanayo maji ya kawaida wanachota bombani au kisimani,au mtoni au kwenye dimbwi na kuweka chumvi kidogo ambayo hayana hata viwango vya TBs ukiingia kanisani unachovya mkono na kupiga ishara ya msalaba wakatoliki wanaamini ni maji matakatifu sembuse Kwa Mwamposya ya Hill water au ya Uhai yenye nembo ya TBS yupi bora hapo?

Wote wanaita maji matakatifu
 
Huna ujualo kuhusu ukatoliki. Pesa ya Roma imeacha kuja tangu mwaka 2001. Kuanzia kipindi hicho kanisa linajitegemea kupitia sadaka na mavuno yanayofanyika mara moja kwa mwaka.
Mkuu hongera sana kuwaelewesha hawa.Sijui wanadhani Vatican wana uhitaji wa sadaka za Parokia ya Vingunguti?
 
Upo sahihi sana. Catholic Church imetengeneza mfumo wake wakupata pesa na Mwamposa naye anatengeneza mfumo wake. Wote ni walewale tu.

Kuna dada mmoja alifika hapa kwangu (Arusha) anaomba nimsaidie mchango anadaiwa kanisani (catholic). Nilimuuliza how much? Akaniambia kiasi alichopangiwa ni karibu laki tatu hivi, na document ya church alinionyesha. Nikasema well nimpatie kiasi, lakini nikajiuliza hii si biashara hii? Huyu dada masikini atapata wapi hii pesa? Si atakuwa anasumbua watu wamchangie?

Jambo lakushangaza yeye mwenyewe anatetea kiasi alichopangiwa nakanisa, ambacho hana.

Mwisho tunarudi palepale Catholics na mwamposa wote macho yao ni kwenye fedha. Kila mtu anatumi mbinu zake.
Be blessed!
Yaan kila mtu kashikilia kisawasawa mrija wake ananyonya...
Wengine wanaona kwa nin mwenzao mrija wake uko chini kwenye basements anavyonyonya huku kwetu yanapungua
 
Back
Top Bottom