Tukio gani hautolisahau mwaka 2021?

Tukio gani hautolisahau mwaka 2021?

Naam
Wakuu nadhani baadhi yetu tukiwa sehemu mbali mbali za dunia au nchini tulijaribu namna moja kuvuka kutoka 21 kwenda 22.
Kila mtu akifanya kwa namna yake

Kama lengo la kichwa hapo juu ni tukio gani lilikunyoosha mpaka kufikia hatua ya kutolisahau au ni tukio gani ulikutana nalo lilikuinua kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Ukafanikiwa
Na hautolisahau


Binafsi mwezi may pale 2021 nilipata kamchongo ka party time ambayo ningevuta mkwanja flani mrefu sana ambao nlishaupangia bajeti kabisa na ratiba.

Ilikuwa green city huko lahaulla nikaazima gari ya jamaa damu damu kabisaa na alinielewa maana si mara moja kuinuana kwenye shida sasa ile kufika maeneo ya igawa pale wakati naliendea jiji la mbeya
Asalaaale!! nikaangusha chuma wakati nakwepa boda boda iliyojichanganya

Matokeo yake nikawa kwenye matibabu na kibarua kikaota nyasi baadaya kuchelewa , kilichoibuka ni kufanya matengenezo ya gari na kula hasara maradufu

Allhamdulliah shukraani kwa Mola bado napumua na nina nafasi ya kundelea kuzisaka nyingine

VIPI KWAKO ULIKUTANA NA DHAHAMA AU TUKIO LENYE NEEMA IPI???
Kuachishwa kazi. Sina mwelekeo
 
Tukio la kuwekewa vyupa kwenye supu.

Ilikua hatari sana

Ila Mungu ni mshindi daima.
Mkuu funguka kidogo watu tujifinze wengine wanaona wao Wana MAGUMU zaidi kumbe ukifunguka hili lako yakwetu yanakuwa chamdoli
 
Naam
Wakuu nadhani baadhi yetu tukiwa sehemu mbali mbali za dunia au nchini tulijaribu namna moja kuvuka kutoka 21 kwenda 22.
Kila mtu akifanya kwa namna yake

Kama lengo la kichwa hapo juu ni tukio gani lilikunyoosha mpaka kufikia hatua ya kutolisahau au ni tukio gani ulikutana nalo lilikuinua kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Ukafanikiwa
Na hautolisahau


Binafsi mwezi may pale 2021 nilipata kamchongo ka party time ambayo ningevuta mkwanja flani mrefu sana ambao nlishaupangia bajeti kabisa na ratiba.

Ilikuwa green city huko lahaulla nikaazima gari ya jamaa damu damu kabisaa na alinielewa maana si mara moja kuinuana kwenye shida sasa ile kufika maeneo ya igawa pale wakati naliendea jiji la mbeya
Asalaaale!! nikaangusha chuma wakati nakwepa boda boda iliyojichanganya

Matokeo yake nikawa kwenye matibabu na kibarua kikaota nyasi baadaya kuchelewa , kilichoibuka ni kufanya matengenezo ya gari na kula hasara maradufu

Allhamdulliah shukraani kwa Mola bado napumua na nina nafasi ya kundelea kuzisaka nyingine

VIPI KWAKO ULIKUTANA NA DHAHAMA AU TUKIO LENYE NEEMA IPI???
Pole sana ndugu.
 
Mimi kubwa zaidi kwangu nilikuwa na mchepuko wangu ambaye alinipenda sana hata siwezi simulia. Huyu dada wako mapacha na mwenzeke Tena wale wa kufanana hasa. Mwenzake ameolewa Sasa Kuna siku watu wasiojulikana na hawawajui hawa pacha waliniona niko na mchepuko wangu si wakaenda kwa jamaa kumwambia mkeo anatoka na mhakiki. Bwana lilitokea timbwili la asha ngedele na halijaisha ninahama nalo kwenda 2022. Yaani hawa pacha hawa acha kabisa.
Ulishindwaje kulisalve kidiplomasia na huyo mwanaume mwenzako mpaka mgombane?
 
Demu kunidanganya Yuko seminar wiki nzima kumbe Yuko na mshikaji harafu nishapeleka mahari ,ndoa ilikuwa ifanyike January ,hivyo sioi Tena ,
Pole mkuu na umshukuru Mungu Kuna jambo kakuepusha dhidi ya huyo mwanamke
 
Nipale nilipo ugua gono nikalipeleka ndani ngoma ikawa ngumu pakuanzia niwapi ili my wife naye akatibiwe ila kwa baadaye tulitibiwa na sasa naibebena Bila shids
 
Back
Top Bottom