Tukio gani kutoka kwa mpenzi wako lililokufanya uone mapenzi mateso

Tukio gani kutoka kwa mpenzi wako lililokufanya uone mapenzi mateso

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
656
Kweli mapenzi saa ingine ni mateso tu.

Sitosahau siku ambayo tulitembea usiku zaidi ya migahawa 6 kisa kila mgahawa tunaoingia anasema hajaona chakula cha kula (na ni migahawa mizuri ya mjini) huku akidai ana njaa sana.

Baada ya kutoka mgahawa wa 6 akasema eti bora niende kumsongea mm mwenyewe ugali getoni. Kudadek nilikuwa nishamind ila nikavumilia tu tukaenda geto nikamsongea ugali tukala na nyama.

Usiku huo nilimnjunja kwa hasira sana😄
 
Kutafuta mpenz wakati yupo nawe na kukuonyesha mahaba yote mbele ya macho yako then ukitaka kumove on anakuambia usikate tamaa nawe unaendelea kuvumilia
 
1. Aliwahi mpigia ex wake mbele yangu na kumwambia ana njaa, ahana Ela ya kula.
Duh mkuu ipo siku utakaa uombe ushauri kwa wife juu ya mama J maana kwa visa unavyotuleteaga humu huyu pasua kichwa kweli....Pole man
 
Nilikuwa kiunoni mwa mchepuko wangu fulani mara simu yake ikaita hakupokea, ikapigwa tena ikanilazimu niache kumtomba nitulie bila kuchomoa mborlo nikamwambia pokea.... lahaulaaa kumbe ni mume wake anapiga, wakasalimiana kisha huyu mwanamke akampiga mzinga wa laki tano kwa command na maelekezo kwamba atumiwe hiyo hela kisha apigiwe simu baadaye yupo busy kwa wakati huo, akakata simu akanigeukia mimi akinitaka niendelee kumtomba.

Ikaingia sms kwa simu yake akaichukua simu yake na kunitumia 250,000/= pale pale. Nilijihisi vibaya sana ikanilazimu nikajimwagie maji nikavaa nguo zangu nikatembea. Ilichukua zaidi ya miezi sita kusuluhisha hilo na kukaa sawa. Wanawake mna roho ngumu sana wakati mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom