Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,282
- 4,316
[emoji1787]1. Aliwahi mpigia ex wake mbele yangu na kumwambia ana njaa, ahana Ela ya kula.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]1. Aliwahi mpigia ex wake mbele yangu na kumwambia ana njaa, ahana Ela ya kula.
[emoji1787]Zaidi ya tozo za hapa na pale za wanawake hakuna mateso mapya!,kuna mwanamke aliniomba laki 3 nikahisi anataka kutoka na roho yangu [emoji276]eti baby nitumie laki tatu nibadilishe kioo cha simu!,na mapenzi yaliisha siku hiyo hiyo
HahahaNaumia sana nikiona Bajaji iliyomchukuwa mpenzi wangu kupelekwa Logde akaliwe na msela mnunua vyuma chakavu sitasahau.
SimpHehehe..Sasa mbona raha hiyo kukusumbua hivyo😂😂..Kuna mwamba nilikua namsumbua aisee hata nikimwambia saa sita ya usiku nataka kumuona au njaa inauma sijisikii kula ugali anakuja chap kutoka upanga to kijichi😂😂😂😂dah.kama yalikua mateso atajijua mwenyewe..J ..ndiyo Basi Tena.