Tukio gani kwenye soka huwezi kulisahau?

Comeback ya Liverpool vs Barcelona 2019
 
Euro ya 2012 England walikaa kimya kuhusu goal line technology baada ya wao kupigwa goli afu Johnny Terry kutoa nyavuni na referee hakuona goli mpira ukaendelea
 
Point of correction goli la kusawazisha alifunga Eden Dzeko kupitia mpira wa kona iliyopigwa na david silva. Game ikaenda 2-2. Then baada ya hapo Aguero ndio akafunga goli la tatu Assist kutoka kwa Baloteli. Kama kumbukumbu zangu ziko sawa goli la kwanza la city pia lilifungwa na Zabaleta nafikiri ndio lilikua goli la kwanza ndani ya huu mchezo kabla ya Qpr kusawazisha na kuongeza.
 
Sitasahau jinsi manyumbu walivyokung'utwa goli 7-0 dhidi ya Liverpool, kama wamesimama.
 
Hakika Mkuu. Ni Dzeko.... Hivi si huwa wanafanana hao na KDB?
 
Hii mechi mlibebwa mkabebeka
 
Mkuu
Goal alisawazisha Eden Dzeko sio haji manara (kdb)
 
Kwa gharama yoyote ilibidi Argentina awe bingwa.

Hili wala halikuhitaji mjadala.

Ingawa niliona kabisa ufaransa alistahili. Sijui tu ni uzembe gani.....???
 
UEFA 2012
BAYERN MUNICH vs CHELSEA
penalty shout-out
Master wao Bastian Shwaztaiger anakosa tuta afu drogba akamaliza kazi,
What a moment!

WORLD CUP 2006
ITALY vs FRANCE
penalty shout-out
Mtaalamu wao france trezeguet anakosa tuta na Grosso anapiga penati kawe_mbagala, imoooo
What a coincidence!!

UEFA FINAL 2011
FC BARCA vs MANJESTA YUNAITED
ilipigwa mbungi mpaka babu fergie pete ilitetemeka ikataka kutoka, after match babu alisema "tokea nianze kufundisha mpira sijawahi kutana na timu ya hatari kama barca hii"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…