Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Ndoo ya Zidane kwa Materazzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] haya Mambo ya mfecane war
Hii ndio mechi iliyonifanya nikaanza kushabikia LiverpoolMatukio ya mpira ni mengi
Ila mechi ya liver ac milan zile goli tatu zote kurudi tena milan ya kina kaka seedorf ndio ukawa mwanzo wakuamini mpira ni dk 90
Goli la aguero if I'm not mistakenTimu zote zina point 86, huku City akiwa na tofauti ya Mabao 63 Man United akiwa na GD ya 55.
City akikipiga na QPR, Man United akigongana na Sunderland.
United alimaliza kwa ushindi wa goli moja, bao la Waza hivyo kufanya kuwa na point 89. City kang'ang'aniwa na QPR, mpaka dakika ya 90, City 1-2 QPR.
Kumbuka hii mechi ni muhimu kwa timu zote mbili. City anapaswa kushinda ili achukue ubingwa na QPR ashinde ili asishuke Daraja.
Sisi Mashabiki wa Manchester United, tupo tunashangalia kombe letu. Mechi imeshaisha tayari.
Zikaongezwa dakika 5 kufidia dakika zilizopotea. Asalaleeeh, dakika ya 92, Dzeko anasawazisha ubao. Sasa ni 2-2.
Bado matumaini kwetu ni makubwa mno. Droo hiyo isingesaidia. Ubingwa ni wetu sisi.
Dakika ya 93, La haula!. Aguero anafunga goli na kufanya kuwa 3-2.
Nilihuzunika mno. Hakika nilipata huzuni iliyo kuu. Mpaka na leo sitosahau. City anatawazwa kuwa bingwa kwa mara ya kwanza.
Hata hivyo QPR aliponea kushuka baada ya Bolton kutoka sare.
Mungu naomba hili jambo lifutike kwenye kumbukumbu zangu.
Gattuso akavua bukta yake mara baada ya dakika 90.Hilo la Muani hata yeye mwenyewe kichwani mwake haliwezi kufutika.Pia matukio kama haya hayafutiki kichwani mwangu (1) Gatuso kumkaba Ronaldo, hiyo ilikuwa AC Milan Vs Man utd
(2) Suarez kudaka mpira uliokuwa unaelekea kuwa goli, Uruguay Vs Ghana (3) World cup 2010 German Vs England Lampard anasawazisha lakini refa anakataa goli.Nadhani hiyo ndio iliwafanya waingereza wagundue goal line technology maana mpira aliopiga Lampard ulivuka mstari WA goal na kurudi ndani.
Kila nikisikia AguerooooooooooooooooooooooooooooooppTimu zote zina point 86, huku City akiwa na tofauti ya Mabao 63 Man United akiwa na GD ya 55.
City akikipiga na QPR, Man United akigongana na Sunderland.
United alimaliza kwa ushindi wa goli moja, bao la Waza hivyo kufanya kuwa na point 89. City kang'ang'aniwa na QPR, mpaka dakika ya 90, City 1-2 QPR.
Kumbuka hii mechi ni muhimu kwa timu zote mbili. City anapaswa kushinda ili achukue ubingwa na QPR ashinde ili asishuke Daraja.
Sisi Mashabiki wa Manchester United, tupo tunashangalia kombe letu. Mechi imeshaisha tayari.
Zikaongezwa dakika 5 kufidia dakika zilizopotea. Asalaleeeh, dakika ya 92, Dzeko anasawazisha ubao. Sasa ni 2-2.
Bado matumaini kwetu ni makubwa mno. Droo hiyo isingesaidia. Ubingwa ni wetu sisi.
Dakika ya 93, La haula!. Aguero anafunga goli na kufanya kuwa 3-2.
Nilihuzunika mno. Hakika nilipata huzuni iliyo kuu. Mpaka na leo sitosahau. City anatawazwa kuwa bingwa kwa mara ya kwanza.
Hata hivyo QPR aliponea kushuka baada ya Bolton kutoka sare.
Mungu naomba hili jambo lifutike kwenye kumbukumbu zangu.
Chelsea mko wapi?Asamoah Gyan yuko wapi?
WC 2010. Alituliza bana
Kuna hii team msimu wa 2022/23 ilikataa kileleni zaidi ya siku 100 ila ikaja kulamba mchanga kizembe tu 😂😂
Huyo mjinga ule mpira angempa Mbappe historia isingekuwa hivi ilivyo leoNi mchezo wa Fainali ya kombe la dunia, takribani watu bilioni 1 duniani wanafatilia mtanange huo.
Dakika ya 3 ya nyongeza ndani ya dakika 120, ubao ukiwa unasomeka 3-3 kwa Ufaransa na Argentina.
Ndani ya dakika 3 za nyongeza, zikiwa zimebaki sekunde 16 mtanange uishe ili waende penati, huku Leo Messi akijaribu bahati yake ya mwisho ya kutwaa kombe la dunia, ghafla mpira mrefu wa kushtukiza unapigwa kuelekea lango la Argentina.
Kolo Muani, mshambuliaji wa Ufaransa anaupokea mpira ule huku akiwa amebaki yeye na kipa Emiliano Martinez na akijua kabisa akifanikiwa kuweka mpira ule nyavuni anaipa nchi yake goli la 4 na pengine la ushindi.
Kolo Muani anaucha ule mpira unadunda kisha akipiga shuti kati ambalo kipa Martinez anafanikiwa kuzuia na mguu wake na kuinyima Ufaransa nafasi ya ushindi.
Sekunde chache baadae refa anamaliza mpira. Wanaenda mikwaju ya penati na Argentina wanaenda kutwaa ndoo ya dunia mara baada ya kufanya hivyo mara ya mwisho pale Mexico mwaka 1986.
Hili tukio siwezi kulisahau maana lilibadilisha muelekeo mzima wa mechi, na tukio hili linatajwa kama moja ya save bora kuwahi kufanywa na kipa katika historia ya mashindano ya kombe la dunia.
Wewe ni tukio lipi huwezi kulisahau?
View attachment 2633541
Nilikuwa mwanza hii, kama mshabiki wa Man Utd iliniuma pia!!Timu zote zina point 86, huku City akiwa na tofauti ya Mabao 63 Man United akiwa na GD ya 55.
City akikipiga na QPR, Man United akigongana na Sunderland.
United alimaliza kwa ushindi wa goli moja, bao la Waza hivyo kufanya kuwa na point 89. City kang'ang'aniwa na QPR, mpaka dakika ya 90, City 1-2 QPR.
Kumbuka hii mechi ni muhimu kwa timu zote mbili. City anapaswa kushinda ili achukue ubingwa na QPR ashinde ili asishuke Daraja.
Sisi Mashabiki wa Manchester United, tupo tunashangalia kombe letu. Mechi imeshaisha tayari.
Zikaongezwa dakika 5 kufidia dakika zilizopotea. Asalaleeeh, dakika ya 92, Dzeko anasawazisha ubao. Sasa ni 2-2.
Bado matumaini kwetu ni makubwa mno. Droo hiyo isingesaidia. Ubingwa ni wetu sisi.
Dakika ya 93, La haula!. Aguero anafunga goli na kufanya kuwa 3-2.
Nilihuzunika mno. Hakika nilipata huzuni iliyo kuu. Mpaka na leo sitosahau. City anatawazwa kuwa bingwa kwa mara ya kwanza.
Hata hivyo QPR aliponea kushuka baada ya Bolton kutoka sare.
Mungu naomba hili jambo lifutike kwenye kumbukumbu zangu.
Nilifurahi sana halafu nikajawa na huzuni kwa kuwaza hivi angefunga ingekuwaje?Huyo mjinga ule mpira angempa Mbappe historia isingekuwa hivi ilivyo leo
Miye nilikuwa Kagera,na ndiyo hapo uhamiaji wa kimakundi wa Mashariki wa Arsenal kwenda Mancity ulipoanza Kwa kasiNilikuwa mwanza hii, kama mshabiki wa Man Utd iliniuma pia!!
Mbaya zaidi mashabiki wa City wakawa wanajisifu kuwa wameshinda ubingwa katika fergie time🤔
Ferguson nae akaanza kuwaita "the noise neighbours"
Ila bongo😂😂Mbeya city vs yanga
Mbeya city walikuwa na wachezaji 12 uwanjani
Tangu hapo bifu yangu na ufaransa ilipokoleaNilikuwa na 9 years old kabisa wakati wamefungwaa hao majamaa nililia Brazil walifungwa na France kero kabisa nililia