Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
The best kit ever produced by Brazilians🤣🤣🤣pole mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The best kit ever produced by Brazilians🤣🤣🤣pole mkuu
Enzi zile uefa inaoneshwa na Channel Ten nadhani, nikazima Tv na kwemda kulala baada ya half time. Asubuhi naambiwa Liver bingwa nikawa nabishaMiracle of Istanbul 2005
Umenikumbusha mbali sana Gatuso na Ronaldo, Gatuso alikua akimfuata Ronaldo Kila anakoenda hata kama hana Mpira 🤣🤣Hilo la Muani hata yeye mwenyewe kichwani mwake haliwezi kufutika.Pia matukio kama haya hayafutiki kichwani mwangu (1) Gatuso kumkaba Ronaldo, hiyo ilikuwa AC Milan Vs Man utd
(2) Suarez kudaka mpira uliokuwa unaelekea kuwa goli, Uruguay Vs Ghana (3) World cup 2010 German Vs England Lampard anasawazisha lakini refa anakataa goli.Nadhani hiyo ndio iliwafanya waingereza wagundue goal line technology maana mpira aliopiga Lampard ulivuka mstari WA goal na kurudi ndani.
Fika kituo chochote cha polisi kilichopo karibu na wewe😂😂Asamoah Gyan yuko wapi?
WC 2010. Alituliza bana
Kuna hii team msimu wa 2022/23 ilikataa kileleni zaidi ya siku 100 ila ikaja kulamba mchanga kizembe tu 😂😂
Sir Alex alitetemeka sana!! Guardiola na Messi walimtesa sana babu wetuUEFA Final 2011...Barca na Man United..
Ugomvi wangu na Barca ukianza Fainali ya 2009,Sir Alex alitetemeka sana!! Guardiola na Messi walimtesa sana babu wetu
Kocha Di Matteo hapo, uwanja wao na bado kombe tukabeba 😂😂UEFA 2012
BAYERN MUNICH vs CHELSEA
penalty shout-out
Master wao Bastian Shwaztaiger anakosa tuta afu drogba akamaliza kazi,
What a moment!
Babu alikua mwekundu, miwani ikawa mizito, Big G ikawa chunguFC BARCA vs MANJESTA YUNAITED
ilipigwa mbungi mpaka babu fergie pete ilitetemeka ikataka kutoka, after match babu alisema "tokea nianze kufundisha mpira sijawahi kutana na timu ya hatari kama barca hii"
Ile ilikuwa siyo timu Bali ni chinja chinjaKocha Di Matteo hapo, uwanja wao na bado kombe tukabeba 😂😂
Babu alikua mwekundu, miwani ikawa mizito, Big G ikawa chungu
Barcelona ya muda ule ilikua ya kuogopwa mno
Kolo muani alizingua sana hilo tukio litamtafuna sana,,, wenge lake lilituvunja mioyo sana tuliokuwa tunaisupport ufaransa,,, na sidhani kama kombe la dunia lijalo atakuwa kwenye timuNi mchezo wa Fainali ya kombe la dunia, takribani watu bilioni 1 duniani wanafatilia mtanange huo.
Dakika ya 3 ya nyongeza ndani ya dakika 120, ubao ukiwa unasomeka 3-3 kwa Ufaransa na Argentina.
Ndani ya dakika 3 za nyongeza, zikiwa zimebaki sekunde 16 mtanange uishe ili waende penati, huku Leo Messi akijaribu bahati yake ya mwisho ya kutwaa kombe la dunia, ghafla mpira mrefu wa kushtukiza unapigwa kuelekea lango la Argentina.
Kolo Muani, mshambuliaji wa Ufaransa anaupokea mpira ule huku akiwa amebaki yeye na kipa Emiliano Martinez na akijua kabisa akifanikiwa kuweka mpira ule nyavuni anaipa nchi yake goli la 4 na pengine la ushindi.
Kolo Muani anaucha ule mpira unadunda kisha akipiga shuti kati ambalo kipa Martinez anafanikiwa kuzuia na mguu wake na kuinyima Ufaransa nafasi ya ushindi.
Sekunde chache baadae refa anamaliza mpira. Wanaenda mikwaju ya penati na Argentina wanaenda kutwaa ndoo ya dunia mara baada ya kufanya hivyo mara ya mwisho pale Mexico mwaka 1986.
Hili tukio siwezi kulisahau maana lilibadilisha muelekeo mzima wa mechi, na tukio hili linatajwa kama moja ya save bora kuwahi kufanywa na kipa katika historia ya mashindano ya kombe la dunia.
Wewe ni tukio lipi huwezi kulisahau?
View attachment 2633541
Yule bwege laiti kama angempa pasi mbape....Kolo muani alizingua sana hilo tukio litamtafuna sana,,, wenge lake lilituvunja mioyo sana tuliokuwa tunaisupport ufaransa,,, na sidhani kama kombe la dunia lijalo atakuwa kwenye timu
Barca hilo kosi lake usiombe kukutana naloKocha Di Matteo hapo, uwanja wao na bado kombe tukabeba [emoji23][emoji23]
Babu alikua mwekundu, miwani ikawa mizito, Big G ikawa chungu
Barcelona ya muda ule ilikua ya kuogopwa mno
Heshima kwako mkongwe mwezangu.Mechi ya madrid na barcelona santiago benabeu....aise dinho alipiga mpira hatari siku hiyo balaa tupu mpaka mashabiki wa madrid wakampigia makofi. Jamaa alikuwa nyoko.
Fa cup semi finl arsenal vs man utd ryan giggs anawachambua mabeki wa arsenal hatari mno.
Mnchester vs real madrid hatari redondo anapiga backheel matata anampita sijui alikuwa henningburg u huku delima anapiga magoli tuu. Beckhama nae akakiwasha.
Trezequet anafunga golden goal dhidi ya toldo fina ya uero 2000. Hatari.
Aisee mpira bwana bonge la burudani.
Mlitukota siku ile, Super Mario alitoka kuunguza sehemu ya nyumba yake akaja akatuweka goli na ushangiliaji wa aina yakeSuper mario balloteli(WHY ALWAYS ME)...
Man City 6-1 Man Utd..
Mambo Gani hayo ya kukumbushana machunguSuper mario balloteli(WHY ALWAYS ME)...
Man City 6-1 Man Utd..
Hii kwangu ndio the best nakumbuka hadi matukio yaliyofanyika banda umiza siku hiyoConer taken quickly, Origiiiiii
Liverpool 4-0 Barcelona.
Comeback nzito kabisa.
Hii ni 2014 not 16 24 may 2014Kingine ni ile last second/minute goal ya Ramos
Sitasahau ile siku Barca amekandamizwa 4-0 pale Anfield kwenye usiku wa UEFA mwaka 2019. Ile ni come-back yangu bora ya muda wote ikifuatiwa na Ile fainali Uefa final match ya AC Milan vs Liverpool 2005.