[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Goli la mapema baada ya Yanga kufunga hata hawajamaliza kushangilia ulipigwa mpira na chenga za maudhi likaingia goli.
Hii nayo ikae kwenye rekodi
Aguerooo, siku yangu mbaya sana kisoka.Ni mchezo wa Fainali ya kombe la dunia, takribani watu bilioni 1 duniani wanafatilia mtanange huo.
Dakika ya 3 ya nyongeza ndani ya dakika 120, ubao ukiwa unasomeka 3-3 kwa Ufaransa na Argentina.
Ndani ya dakika 3 za nyongeza, zikiwa zimebaki sekunde 16 mtanange uishe ili waende penati, huku Leo Messi akijaribu bahati yake ya mwisho ya kutwaa kombe la dunia, ghafla mpira mrefu wa kushtukiza unapigwa kuelekea lango la Argentina.
Kolo Muani, mshambuliaji wa Ufaransa anaupokea mpira ule huku akiwa amebaki yeye na kipa Emiliano Martinez na akijua kabisa akifanikiwa kuweka mpira ule nyavuni anaipa nchi yake goli la 4 na pengine la ushindi.
Kolo Muani anaucha ule mpira unadunda kisha akipiga shuti kati ambalo kipa Martinez anafanikiwa kuzuia na mguu wake na kuinyima Ufaransa nafasi ya ushindi.
Sekunde chache baadae refa anamaliza mpira. Wanaenda mikwaju ya penati na Argentina wanaenda kutwaa ndoo ya dunia mara baada ya kufanya hivyo mara ya mwisho pale Mexico mwaka 1986.
Hili tukio siwezi kulisahau maana lilibadilisha muelekeo mzima wa mechi, na tukio hili linatajwa kama moja ya save bora kuwahi kufanywa na kipa katika historia ya mashindano ya kombe la dunia.
Wewe ni tukio lipi huwezi kulisahau?
View attachment 2633541
Hii ni babkubwa. wanayanga hatutoisahau. Kmmmmk kama nikijua vile, Mayele alipofunga sikushangilia. Wale waarabu wanaroho mbaya sana.Waarabu kuwaziba mdomo gongowazi kabla hawajamaliza kushangilia goli la Mayele jana hapo mjini Lupaso.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu bado kwaooooHii ni babkubwa. wanayanga hatutoisahau. Kmmmmk kama nikijua vile, Mayele alipofunga sikushangilia. Wale waarabu wanaroho mbaya sana.
Noma sana...Penati ya zizou
Italy vs France 2006 hiyo
Ile penalty haijawahi kujirudia mpaka leo hii, wakuu kuna watu wanapiga penati bana 😂😂🤠
Waarabu konyo sanaHii ni babkubwa. wanayanga hatutoisahau. Kmmmmk kama nikijua vile, Mayele alipofunga sikushangilia. Wale waarabu wanaroho mbaya sana.
Penalty yangu bora muda wote..!!Penati ya zizou
Italy vs France 2006 hiyo
Ile penalty haijawahi kujirudia mpaka leo hii, wakuu kuna watu wanapiga penati bana [emoji23][emoji23][emoji1783]
Kuna match ujerumani na Italy World Cup 2006......kocha wa ujerumani alikuwa anaandika wapiga penalties dk ya 118 asee nilichokiona kilikuwa ni ukatili wa kibinadamu asee match ilikuwa 0-0
Nimeenda toilet narudi dah nakuta Italy 2-0Germany
Kocha akatafuta kikaratasi🤣🤣
Fabio Grosso mwanaharamu yule,,alifanya binding mmoja wa kijerumani alie sana afu mtangazaji anatangazia sifa.Kuna match ujerumani na Italy World Cup 2006......kocha wa ujerumani alikuwa anaandika wapiga penalties dk ya 118 asee nilichokiona kilikuwa ni ukatili wa kibinadamu asee match ilikuwa 0-0
Nimeenda toilet narudi dah nakuta Italy 2-0Germany
Kocha akatafuta kikaratasi🤣🤣
Hii siku nilifurahi sanaBrazil kufungwa goal 7
Nzito kuliko ile ya uturuki? Vs AC MilanCorner taken quickly, Origiiiiii
Liverpool 4-0 Barcelona.
Comeback nzito kabisa.
Zote nzito ila hii ya Barcelona ipo karibu zaidi kwenye kumbukumbu kwakuwa sio ya miaka mingi sana nyumaNzito kuliko ile ya uturuki? Vs AC Milan