Tukio gani kwenye soka huwezi kulisahau?

Goli la mapema baada ya Yanga kufunga hata hawajamaliza kushangilia ulipigwa mpira na chenga za maudhi likaingia goli.

Hii nayo ikae kwenye rekodi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aguerooo, siku yangu mbaya sana kisoka.
 
Uefa final chelsea vs man u 2008
John tery anakosa penati ya ushindi[emoji17]


Worl cup quarter final uruguay vs ghana 2010
Asamoh gyan anapaisha penati[emoji24]
 
Siwezi kuisahau fainali ya Uefa Champions league 1999 nikiwa darasa la 5, primary....Man U vs Bayern Munchen.....

Chama langu man U tukiwa nyuma kwa goli 1 hadi dk ya 90....(ENZI HIYO YAKIWA MASHETANI MEKUNDU KWELI)...Sio sasa...

Mnyamaaa! Teddy Sheringham ana-equlize! 1-1 kwenye sekunde ya 34 ya dk 3 za nyongeza!!!...

One guner solskjaer (sosha) anapigilia Msumari wa 2 na wa mwisho...kwenye Jeneza la Munchen!

What a Superb Game!....UNBELIEVABLE!
 
 
Fabio Grosso mwanaharamu yule,,alifanya binding mmoja wa kijerumani alie sana afu mtangazaji anatangazia sifa.
One of the saddest day in my life
 
Goli la dhahabu la Iniesta dhidi ya Chelsea nusu fainali UCL 2009.

Hilo goli siwezi kulisahau mpaka siku ntakayokufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…