Tukio gani la football liliwahi kukutoa machozi

Tukio gani la football liliwahi kukutoa machozi

Nilisikitka sana kwa matukio mawili, italy kuwashinda france WC, na ghana kubaniwa na Suarez.
 
Nakumbuka goli la the blues lilifungwa na Essien na Barca walikuwa hawajapiga shuti lolote kwenye lango la Chelsea, ila hilo la Iniesta ambalo lilizaa goli. England Chelsea ndo anamweza Barca
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] weka head to head
 
Aaron Ramsey suffers 'Eduardo-injury': Captain Cesc Fabregas ...
www.dailymail.co.uk/.../Aaron-Ramsey- ...
27 Feb 2010 ... Tears: Ryan Shawcross of Stoke City is consoled by team mate ... Share or
comment on this article ...
 
Iliniuma sana ile mechi ya Yanga na Simba pale mchezaji wa kulipwa Pape Ndew alipokutwa na booster/hirizi kiunoni.
 
Qualifier match Tanzania Vs Mozambique... Itukagongwa goli dk ya kwanza,... Nilivua Tshirt ya serengeti nikatoka uwanjani nikarudi zangu pugu.
Ndio mara ya kwanza na ya mwisho kuwa mshabiki mnazi wa mpira, nimebaki kuwa mwangaliaji tu tangu siku hiyo sina tena mhemko


Kudondoka na kufariki uwanjani katikati ya mechi kwa nyota wa Cameroon hayati Marc Vivien Foe mwaka 2003
 
Fainali ya uefa champions league jijini Istanbul mei 2005 kati ya Liverpool fc na AC Milan, hadi half time lLiverpool kashafungwa 3 kwa 0. Lakini kilichotokea baadaye ni kwamba Liverpool ilisawazisha na kupata ushindi kwa mikwaju ya penati. lile tukio lilinitoa machozi kwa kweli. Lakini tofauti ni kwamba machozi yenyewe yalikuwa ya furaha.
That was the greatest come back of all time...ukizingatia it was a FINAL!
 
Aseee! Siku ambayo FIFA iliikatalia timu ya SHAOLIN SOCCER isishirikia mashindano yoyote ya kimataifa wala kuruhusu wachezaji wao kusajiliwa na timu yeyote duniani...niliumia saana!

Hatimaye! Wakaishia kucheza filamu yao ya shaolini soccer tu. Mpira unapigwa angani watu wanapika wanakula wanaosha mpaka vyombo ngozi haijatua down.

Shaolino soccer walikuwa hawataki ujinga, aswa wakisikia Barcelona!
 
Starz wanakufa goli 5 kichapo kikali toka kwa Misri dah
 
Ni tukio gani au mechi ipi ilishawahi kukuliza au kukutoa machozi.
Brazil vs holland worldcup 98,holland anakufa kwa penati baada ya mechi ngumu sana,pira mwingi,ufundi mwingi,striker wakali,beki kali,viungo wakali,makipa makini.


Tukio la Pili

Asamoah Gyan anapokosa kutupeleka wa Afrika kwenda nusu fainali ya kombe la dunia kwa mara ya kwanza tena kwenye ardhi ya Afrika..na hapo chuki yangu na Suarez na washirika wake ndipo ilipozaliwa na haitokoma.
Tukio la pili[emoji23][emoji23]..hilo ndo nlichoka kabsa
 
Barca anateseka sana akikutana na blues hata messi anajua hajawai kufunga hata penalty japokuwa alipata nafasi ya kupiga
NB:Siku Messi akiifunga Chelsea kwenye uefa ntauzunika sana
 

Attachments

  • 1476145552691.png
    1476145552691.png
    58.8 KB · Views: 22
Back
Top Bottom