Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka ya 2000 mkuu.Mwaka gani huo?
Kweli mkuuu tulikua darasa mojaMiaka ya 2000 mkuu.
mkuu nitoe ushamba kidogo, hii inatibu niniHaijakamilika bwashee ongeza hivi
View attachment 3225807
[emoji1787] 😀 😀 😀 ushamba ni noma!Me mara ya kwanza kupanda ndege kwenda nje ya nchi(nilikuwa ndo nimemaliza advance)
Jamaa mmoja kati ya waliokuwa wananisindikiza akanambia kama nina maker pen, basi niandike majina kwenye mizigo yangu ili isipotee.
Baade ndio nilikuja kugundua kuwa ule ulikuwa ushamba, lakini sikuelewa yule jamaa, alinifanya mimi mshamba au na yeye alikuwa mshamba pia, maana sina hakika kama aliwahi kupanda ndege
MIaka hiyo kulikuwa na sista mpangaji wetu alikuwa mfamasia akapata kazi JD Pharmacy.ahahahaha me perfume nilikua hata sijui majina yake nilivoanza kupuliza napuliza mpaka kwenye viatu mpaka mdomoni alooh [emoji1787]
Yap aliniambiq hii mboga ya maharage sio kichakahahaha kwa hiyo alikustua huyo mwanakijiji kwamba unataka kuzingua?
Kwenye historia niliskia kuna watu walikuwa wanatumia tanzanite kucheza bao, wasijue wanacheza na utajiri, haha dah hii yako kali hapo hio laki6 ni kwa thamani ya hela ya kitambo saivi si inafika hata 1M 😀 hatareMIaka hiyo kulikuwa na sista mpangaji wetu alikuwa mfamasia akapata kazi JD Pharmacy.
Sasa kule JD pharmacy walikuwa wanauza na unyunyu wakishua. Ila hua wakileta mzigo mpya kuna perfume za sample kwa ajili ya kutest watu wamezipokeaje?
Nilivyomaliza chuo siku ya graduu, akamwomba dogo kuwa anitafutie nguo chakavu zangu kama mbili amabzo sizivai,
Akapewa akachukua box zuri sana.kafunga zile nguo pamoja na ile perfume za sample wanazopewaga
Inaongeza ngungamkuu nitoe ushamba kidogo, hii inatibu nini
daah 😀 😀 😀 mambo ya michapioDaahhh me nakumbuka siku moja nilikuwaga darasa la saba tena mwalimu alikuwa darasani anafundisha sasa bwana pembeni yangu kukawa kuna wanafunzi wawili wanatukanana mwishowe wakagombana mimi huyu na kihelehele nikanyanyuka kuwashitaki nikasema mwalimu aroni na aziziz wanagombana akaniuliza Chanzo nini me nikasema walikuwa WANATUKAMANA BADALA ya wanatukanana daaahhh aki hiyo siku siwezi kuisahau nilichekwa kila siku na darasa Zima daahhh
😀 😳 noma sana hata me nilikuwa nasweat sana namwaga maunga mara niungushe 😀Mara ya kwanza kujifunza kupika ugari nilikua sijui ni muda gani Natakiwa kuweka unga na muda gani Natakiwa kusonga daaaa niliumia sana ilikuwa mwaka 1999nikiwa na miaka 8
Hapana huu sio ushamba, Binafsi siwezi kukata gogo nikiwa nimekaa, kwanza hata wife nilishamwambia sitaki choo cha kukaaNilipanda na kuchuchumaa kwenye Choo cha kukaa
I'm right here 😌Qashy Lilith hebu njoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Boss wangu enzi za 2009 akaniambia kijana twenzetu waache hao wengine, nakumbuka siku nzima sikula sababu wateja wengi weekend.
Huku na huku gari prrrrr mpaka bar, imeletwa nyama choma plus njaa tena nikajifanya nna haraka, kumeza kipande cha nyama hakipandi wala hakishuki jicho limenitoka balaa na chozi limeanza ile mbaali, ilibidi niact kama natafakari kwa kuweka 'ngumi ya kutafakari' mdomoni kumbe nabembeleza finyango ishuke [emoji23][emoji23][emoji23].
Funny enough nilienda kwa Dr nikamweleza since ilinitokea twice, nikajua Dada Dr though tunajuana atanibembeleza kwa majibu soft, alinipa jibu moja tu nilijiona mbugila "R ukiwa unakula hizo nyama choma zako uwe unalainisha koo kwanza n nilipata aibu asee, utakuja pigwa ngumi za mgongo sasa hapo kuna dawa ya kukupa kweli" [emoji23][emoji23][emoji23]