Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Red are common niletee white jmni🥲[emoji1787]if you were a flower, I'd pick you first
your favs ni white roses ama red
Our first date will be on 14?!au[emoji3] nice choice, that means first date accepted
Njoo pm huku watasoma hawa washamba🤣if possible 🙂
hahaha hii ndo fedheha sasa.Kutokana na kuwa mshabiki wa soka na mpondaji wa marefa wa ligi kuu Tanzania bara niliteuliwa kuwa refa katika mashindano ya Mpira wa miguu yaliyoandaliwa na mbunge wetu.
Siku ya Kwanza nikapangiwa kuwa referee wa pembeni yani linesman shida ilikuja pale nilipokuwa nakimbia kuanzia kona hadi kona yaani kutoka kwenye kibendera hadi kibendera na nilikuwa namshangaa mwenzangu wa upande wa pili anaishia katikati ya uwanja nakumwona mvivu wa kukimbia.
Nilipogundua kuwa nilikuwa nimefanya makosa nilijifanya mnyonge na nilihama mkoa.
Nilitamani ningejuana na realMamy na Nifah wangenipa ABC zihusuzo maswala uamuzi.
Kwa kweli hata mimi kanisaidiabora umesimulia ningeenda kuaibika mimi na empty tea bags [emoji1787]
SanaaaaNao ni ushamba 🤣
Mkuuu mtawafukuza makocha ila mlikosea kwenye usajiliUnaweka chumvi na magadi kwenye kidonda kibichi ujue mkuu🤣
Hahaha wakunong'onezana jau sana.Hii yako inafanana na yangu, me hadi leo sina interested na mpira, sio kucheza wala kushabikia.
Nilikuwa shule ya msingi, mtaani kwetu panaanzishwa timu mpira wa gozi, sasa wanacheza kinamba, me nikaulizwa nacheza namba ngapi, wakati natafakari(maana nilikuwa sijui) kuna jamaa akaninong'oneza namba 13, halafu na mimi nikaropoka namba 13 .
Asee nilichekwa mpaka nikapewa jina namba 13
hahaha kwa hiyo alikustua huyo mwanakijiji kwamba unataka kuzingua?Siku ya kwanza kwenda kijijini mkoa wa Kagera nilipanga nyumba nzima. Njee ya nyumba kulikuwa kumepandwa migomba na maharage sasa Mimi maharage nilikuwa sijui jinsi yanavyo kuwa shambani nilijua majani tu yamezunguka migomba. Nika mwita mwana kijiji nikampakazi yaku fyeka Yale maharage. Aisee nilionekana mshamba mpaka niliona Aibu
Huo ulikuwa udaku spesheli mkuu😂 afu mwenye udakuzi kumbe yupoKuna siku nilienda ugenini na rafiki yangu kwa ndugu zake. Hapo tulipokwenda wenyeji wetu ni familia fulani hivi ya kishua. Sasa katika story tulizokuwa tunapiga tukawa tunaongelea ile skendo ya Mengi na Jackline Ntuyabaliwe.
Mzee nikaanza kutoa madesa yangu ya udaku nafunguka najikuta nina za ndani zenyewe konki.
Kuna sista pale alikuwa amekaa kimya alipoanza kuongea ndio nikaja kujua ni family friend wa akina Jackline Ntuyabaliwe kabisa na alisoma na dada yake so anajua story kwa uhakika yaani bila kusikia kwa watu ni kwamba anajua kash kash zote na alitunyooshea habari vizuri kabisa.
Aiseee nilijiona bonge la fala ikabidi kikae kimya na hakuna story nyingine nilichangia. Nikaja kujua kuwa yule dada ana ukaribu na watu mashuhuri wengi sana na anajua habari zao bila kuhadithiwa au kusikia mitandaoni yaani ni anapata zile fresh info.
Akikwambia waziri fulani kimada wake ni fulani basi sio nyepesi nyepesi ni ana ile pure information from primary source na sio cooked data.
Dah nikajifunza kukaa kimya ninapokuwa na company ya watu nisiowajua. Maana unaweza tukana kiongozi kumbe upo na mwanafamilia wake hapo kikaoni.