Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Me nliwahi kupokea simu badala ya kusema "haloo" me nikasema "hodii" 😂
Lets Go
Lets Go
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitisha sana mkuu 😂😂😂😂Me nliwahi kupokea cm badala ya kusema "haloo" me nikasema "hodii" 😂
Lets Go
Vp ulifanya jitihada zozote za kumuona daktar au muuguzi wa akiliMe nliwahi kupokea simu badala ya kusema "haloo" me nikasema "hodii" 😂
Lets Go
Hivi mwamposa hajaanza kuombea matatizo kama hayo?Kwenye traffic lights za kijani nilisimama kwa dakika kadhaa badala ya kuendesha gari. Nilishtuka baada ya kuona watu wananipita na kushangaa.
Hiyo ishanikuta mara nyingi 🤣🤣🤣Me nliwahi kupokea simu badala ya kusema "haloo" me nikasema "hodii" 😂
Lets Go
🤣🤣🤣Siku moja naendesha gari usikumwaka huu huu, asa nikaangalia side mirror nikaona taa ya nyuma ya gari ninaloendesha, sijui akili iliwaza nini nikajisemea huyu jamaa mbona kanisogelea sana, nikakanyaga wese.
Lahaula naangalia bado naona mbona tunafuatana hivi, nikaongeza wese aisee nilikimbizana na taa za nyuma hadi nafika home najisemea leo hawa vibaka ni ama zangu ama zao.
Kushuka tunimalizane nao, lahaulaa!!, ni taa za nyuma nilijicheka kinoma.
Leo asubuhi Kuna abiria kwenye daladala kakuna kichwa changu akizani ni chake.... Stress zisikie tuuMe nliwahi kupokea simu badala ya kusema "haloo" me nikasema "hodii" 😂
Lets Go
Mkuu ile ya kuongea huku ubongo wako unakudadisi the way unaongea kama ni sahihi ni lazima uchapie tu aiseeeMe nliwahi kupokea simu badala ya kusema "haloo" me nikasema "hodii" 😂
Lets Go
Chai hiiNilikuwa na mgogoro na wife na baba mkwe ananikomalia sana. Siku moja usiku nikaamua nimsalimie badala ya kandika ujumbe HAMJAMBO HUKO? na MIMI niliandika HAMJAMBI Huko?
Baada ya hapo mgogoro ukawa mkubwa zaidi.
Mzee akakomaa akimwambia mkewe kuwa sina adabu na heshima. Akimuonyesha mkewe meseji niliyomuandikia