Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kweny kuomba ushaur mwanao wa darasa la pili nimecheka sana mkuu😂😂😂😂😂😂Kuna siku nimeingia tanzania kutokea dubai nilikuwa na matairi ya gari ndogo 4 na tv kubwa, wakati nashuka kwenye ndege nilianza kumuomba Mungu kwa dua ili nisisumbuliwe na TRA.
Cha ajabu nikajikuta naomba msaada wa kupita bila kukaguliwa kwa afisa ambaye nae ni miongoni mwa hao wakaguzi..
Alinionea huruma tu sijui maana nilifanikisha
Kisa kingine
Kipindi hiko nilikua nina kiwanja huko Bagamoyo nikahitaji kujenga nyumba yangu ili nitoke kwenye nyumba za kupanga
Hapo niliikuwa na bajeti ya Milioni 20 tu, nikajikuta namuomba ushauri mwanangu wa darasa la pili
Aisee hii kaliNilifungua mlango wangu kwa funguo alafu nikaanza kubisha hodi. Stress mbaya sana
Aiseeee sio poa hii kadi ya mpiga kura 😂😂😂😂Nilipoteza ATM card, nikaenda atm kujaribu kutumia kitambulisho cha kupigia kura kutoa pesa, iliposhindikana ndio nikagundua nina stress
Ikawaje mkuu malizia apo basi Satirical Yet AwesomeNilikuwa naongea na mama tunabishana kitu flani, sasa sunajua mazoea kubishana na washkaji nikajisahau kwamba naongea na mama, sasa kuna muda akaongea kitu mi nikaropoka "aaah sio kweli kumamke"
Hujawahi kuwa na stress weweAiseeee sio poa hii kadi ya mpiga kura 😂😂😂😂
hapo nilivoona sijibiwi nikaamua kwenda choo cha public, ndo nikashtuka nimeshika funguoAisee hii kali
Mimi nilienda kutoa hela kwa wakala wa benk flani aksema nitajie namba ako ya simu nikamjibu mbona sijajiunga sim bankingNilijiona bonge la lofa
Stress mbaya sana Sema nimeinjoii sana kisa chakHujawahi kuwa na stress wewe
🤣🤣Last week nilinuniwa kazini nimetafuta simu haionekani acha tuanze kutafuta pekua vitu kunamtu akapata wazo anipigie kupiga inaita mfukoni🤣🤣🤣Yani smartphone na ukubwa wake sikuhis Kam Nina uzito mfukoni 🤣🤣watu waliondoka wamenunaHiyo mimi juzi,,natoka room naongea na simu,nashuka kwenye ngazi najichek kwenye koti simu haipo,kumbuka bado naongea na simu,naingia room natafuta sioni,,mara pap nakumbuka si ndio hii hapa naongea na mtu,,huyo nikatasamu huku maongezi yanaendelea
We acha tu haya mambo huwa yanatokea🤣🤣Last week nilinuniwa kazini nimetafuta simu haionekani acha tuanze kutafuta pekua vitu kunamtu akapata wazo anipigie kupiga inaita mfukoni🤣🤣🤣Yani smartphone na ukubwa wake sikuhis Kam Nina uzito mfukoni 🤣🤣watu waliondoka wamenuna
Kumbe ilikua weweKwenye traffic lights za kijani nilisimama kwa dakika kadhaa badala ya kuendesha gari. Nilishtuka baada ya kuona watu wananipita na kushangaa.
Kwani ulimshuhudia mkuu?Kumbe ilikua wewe
Hatar sanaWe acha tu haya mambo huwa yanatokea
😂😂😂😂😂😂😂Me nliwahi kupokea simu badala ya kusema "haloo" me nikasema "hodii" 😂
Lets Go
Ndio ile daladala iliyokua nyuma yake nilikuwepoKwani ulimshuhudia mkuu?
Noted 😂😂😂😂Nakumbuka kipindi cha nyuma kidogo nlikuwa kanisani sasa mchungaji aliona kama nmezubaa akataja Fulani naomba nisomee kitabu cha mambo ya walawi fungu dash. Daah nilisimama nikasema "mambo ya malawi" badala ya "mambo ya walawi"😅😅
Daaah watu walicheka sana
Ooh kumbe hayuko peke yake😂😂Hiyo imenikuta mara nyingi saaaana!!! 😂😂😂
😂😂😂😂Hiyo mimi juzi,,natoka room naongea na simu,nashuka kwenye ngazi najichek kwenye koti simu haipo,kumbuka bado naongea na simu,naingia room natafuta sioni,,mara pap nakumbuka si ndio hii hapa naongea na mtu,,huyo nikatasamu huku maongezi yanaendelea