Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Kwani wew hujawah kosea tupe kisa kimoja basHatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wew hujawah kosea tupe kisa kimoja basHatari
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Me nliwahi kupokea simu badala ya kusema "haloo" me nikasema "hodii" [emoji23]
Lets Go
Hiyo imenikuta mara nyingi saaaana!!! 😂😂😂kuna mtu niliwahi kumshuhudia anatafuta kitu ambacho amekishika mkononi.
Hiyo mimi juzi,,natoka room naongea na simu,nashuka kwenye ngazi najichek kwenye koti simu haipo,kumbuka bado naongea na simu,naingia room natafuta sioni,,mara pap nakumbuka si ndio hii hapa naongea na mtu,,huyo nikatasamu huku maongezi yanaendeleakuna mtu niliwahi kumshuhudia anatafuta kitu ambacho amekishika mkononi.
Pale ambapo unakuwa umetoka kutapeliwa kwa maneno mkuu,Stress zisikie tu! Sema acc ikituna unarelax sana
Imezidi tangawizi au sugar?Uzi una Chai huu.
Khaaa!!
Ukilewa Usichati....Nilikuwa na mgogoro na wife na baba mkwe ananikomalia sana. Siku moja usiku nikaamua nimsalimie badala ya kandika ujumbe HAMJAMBO HUKO? na MIMI niliandika HAMJAMBI Huko?
Baana wewe mgogoro ukawa mkubwa zaidi.
Mzee akakomaa akimwambia mkewe kuwa sina adabu na heshima. Akimuonyesha mkewe meseji niliyomuandiki
mkuu tupe kisa chako kimoja apoUkilewa Usichati....
Ahahaha nimecheka sasaMkuu ile ya kuongea huku ubongo wako unakudadisi the way unaongea kama ni sahihi ni lazima uchapie tu aiseee
Kuna mzee nilijikuta badala ya kumsalimia shikamoo nikasema ahsante kwa chakula!!!!😂😂😂😂
Oya sukari tumekopa hiyo usijisevie kiasi hiko kwenye chaiNilipanda kwenye daladala nikawahi siti ya dereva
Aisee sio poa mkuu 😂😂😂😂Hiyo mimi juzi,,natoka room naongea na simu,nashuka kwenye ngazi najichek kwenye koti simu haipo,kumbuka bado naongea na simu,naingia room natafuta sioni,,mara pap nakumbuka si ndio hii hapa naongea na mtu,,huyo nikatasamu huku maongezi yanaendelea
Nilijiona bonge la lofaAisee sio poa mkuu 😂😂😂😂
Kuna siku nimeingia tanzania kutokea dubai nilikuwa na matairi ya gari ndogo 4 na tv kubwa, wakati nashuka kwenye ndege nilianza kumuomba Mungu kwa dua ili nisisumbuliwe na TRA.mkuu tupe kisa chako kimoja apo