Tukio gani uliwahi kufanya ukagundua kweli una stress?

Tukio gani uliwahi kufanya ukagundua kweli una stress?

Nyie stress ziacheni kabisa

Hadi naona aibu kusema kisa changu, nimeandika nikafuta
 
Nilipewa hela na mzee badala ya kusema asante nikasema shkamoo alicheka sana
 
Nilivurugwa sana na jambo fulani nikajikuta nakaa chini na mwanangu wa miaka 3 namuuliza maswali na namuomba ushauri kumbe na machozi wakati huo yananitoka dogo alikuwa ananiangalia tu ananishangaa badae akavua soksi yake mguuni akanifuta usoni ndo nikashtuka na akili ikanirudia, nilifumba macho nikasema Mungu nisaidie nitoke katika hili. Sitasahau
 
Nilivurugwa sana na jambo fulani nikajikuta nakaa chini na mwanangu wa miaka 3 namuuliza maswali na namuomba ushauri kumbe na machozi wakati huo yananitoka dogo alikuwa ananiangalia tu ananishangaa badae akavua soksi yake mguuni akanifuta usoni ndo nikashtuka na akili ikanirudia, nilifumba macho nikasema Mungu nisaidie nitoke katika hili. Sitasahau
Aisee 🤔
 
[emoji1787][emoji1787]Last week nilinuniwa kazini nimetafuta simu haionekani acha tuanze kutafuta pekua vitu kunamtu akapata wazo anipigie kupiga inaita mfukoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani smartphone na ukubwa wake sikuhis Kam Nina uzito mfukoni [emoji1787][emoji1787]watu waliondoka wamenuna
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
1. Niliigiza dushe kwenye kinyeo, na wala hakunambia. Nilikuja kushtuka naungua, mavi yanaunguza hatari

2. Mama alinikuta namshika beki tatu kiuno, kuhamaki mama huyu hapa. Nikajikuta naropoka shikamoo mama. Nimeshinda nae kutwa nzima. Ila mama alielewa nimeshtuka sana hakuwahi lizungumzia hili, na wala sikumla yule beki tano ever - Iliniathiri

3. Kuna paka alijibanza sehemu, sikumona. Wakati nageuka huyu hapa. Nilitoa kisauti chembamba. Nikarudi ndani chapu, wife akaniuliza kuna dada wanamkaba huko nje.
Nikavunga aaah hawa watakuwa panya Road tufunge milango

4. Kuna bodaboda nilimpa mkataba ni mwanangu kinyama. Alipanda tuta nikajikuta nimempakata.
Ile anayumba kukwepesha makalio yake na mapaja yangu. Nikajikuta nimeshikilia sterling huku bado nampakata
Dah ile kushtuka tuko hatua kama kumi mbele. Nikazunga akaendelea kuendesha huku anatetemeka sana. Kifupi hakuwa sawa kwa sababu nimempakata

Sijawahi kupanda tena pikipiki ile mpaka Leo na tunawasiliana ila sio kivile, nina wasiwasi anataka alipize.
Nina akili nyingi sana .....

Nina visa vingi ila nitatupia nikitulia
 
Hii thread ina visa vinachekesha sana.

Ila kiukweli stress ni mbaya. Kuna huyo mwingine alisahau kuzima gas asubuhi wakati anachemsha maharage. Aliporudi kutoka alikoenda mida ya mchana akakuta sufuria linajarubia kuungua.

Kilimchomsaidia ni aliwasha moto mdogo sana na maharage yalikuwa na maji mengi!
Stress ni hatari sana!
 
1. Niliigiza dushe kwenye kinyeo, na wala hakunambia. Nilikuja kushtuka naungua, mavi yanaunguza hatari

2. Mama alinikuta namshika beki tatu kiuno, kuhamaki mama huyu hapa. Nikajikuta naropoka shikamoo mama. Nimeshinda nae kutwa nzima. Ila mama alielewa nimeshtuka sana hakuwahi lizungumzia hili, na wala sikumla yule beki tano ever - Iliniathiri

3. Kuna paka alijibanza sehemu, sikumona. Wakati nageuka huyu hapa. Nilitoa kisauti chembamba. Nikarudi ndani chapu, wife akaniuliza kuna dada wanamkaba huko nje.
Nikavunga aaah hawa watakuwa panya Road tufunge milango

4. Kuna bodaboda nilimpa mkataba ni mwanangu kinyama. Alipanda tuta nikajikuta nimempakata.
Ile anayumba kukwepesha makalio yake na mapaja yangu. Nikajikuta nimeshikilia sterling huku bado nampakata
Dah ile kushtuka tuko hatua kama kumi mbele. Nikazunga akaendelea kuendesha huku anatetemeka sana. Kifupi hakuwa sawa kwa sababu nimempakata

Sijawahi kupanda tena pikipiki ile mpaka Leo na tunawasiliana ila sio kivile, nina wasiwasi anataka alipize.
Nina akili nyingi sana .....

Nina visa vingi ila nitatupia nikitulia
We jamaaa nimechekaaaa kinomaaa hasa kisa cha kwanza 😂😂😂😂😂😂😂
 
Daaaa!!Stress mbaya sana,Nilimuamkia Mchungaji Kijana Mdogo kwangu badala yakumpa salam tuyayo peana kila tukionana.
Aisee leo yamenikuta,kuna dogo ananidai pesa ya riba rejesho leo,sikutegemea simu asubuhi kwani nilikuwa sijapanga la kumset nimejikuta namsalimia shikamoo boss wakati namzidi miaka mingi,hajaniitikia nikavunga but naamin alijua nilivopanic
 
Back
Top Bottom