Tukio hili linaonyesha ni jinsi gani wenzetu wako civilised na kwamba watawala Ulaya sio miungu watu kama huku kwetu na hii Tulia Ackson inamhusu

Tukio hili linaonyesha ni jinsi gani wenzetu wako civilised na kwamba watawala Ulaya sio miungu watu kama huku kwetu na hii Tulia Ackson inamhusu

Ngoja nikusaidie Salary Slip, video yenyewe hii hapa...

View attachment 2082881

Wabunge wanamjadili Mkuu wao wa Serikali alivyo mjinga naye yupo anasikiliza! Kwa hapa kwetu siku hiyo hata FFU wangetinga ndani ya hilo bunge!

(Bahati mbaya, kwa sababu ya lugha, chawa hawataambulia kitu hapa!)

Na hapa wananchi wameamua kukusanyika nje ya jumba anakoishi na kumvurumishia kejeli na dharau bila bughdha yoyote ile...hiyo ndiyo siasa! Hebu angalieni...


View attachment 2082928

Ingekuwa hapa siku hiyo sijui wananchi wangapi wangepoteza maisha mikononi mwa polisi hawa wetu wenye kiu ya damu za Watanzania wanaoonesha tu hisia zao za kutokubaliana na hawa miunguwatu wetu!
Kwa hapa kwetu, kati ya taasisi zinazoongozwa na watu wajinga kabisa, watu katili, wasio na weledi, watu primitive, wasioelewa thamani ya utu na uhai wa binadamu, ni Polisi.
 
Stupid and non sensical post.
Uthibitisho wa mtu kuwa stupid ni kama wewe ulivyo. Mtu asiyeweza kufanya analysis, akajibu hoja. Ni mtu asiyelewa wala kufundishika au kujifunza kama ulivyo wewe.

Watu werevu hujadili hoja, wana uwezo wa kujifunza kutokana na matendo mazuri au mabaya.
 
Kwa nini sisi tunakubali wao watufitinishe na kwa nini sisi tunashindwa kuwafitinisha wao?
Uwezo wetu wa akili ni mdogo kuliko wao?!
Hao hao wazungu wametujengea tuwe na roho za namna hii ili waendelee kututawala.

Kamwe hawawezi kukupa njia ya kusadikishana ambapo wanajua mnapokosana wao wanatumia advantage ya mmojawapo kumpa msaada ili akumalize wewe.

Hiyo ndiyo inaApply mpaka kwa viongozi wa kisiasa, dini, ndugu mpaka marafiki.
 
Ngoja nikusaidie Salary Slip, video yenyewe hii hapa...

View attachment 2082881

Wabunge wanamjadili Mkuu wao wa Serikali alivyo mjinga naye yupo anasikiliza! Kwa hapa kwetu siku hiyo hata FFU wangetinga ndani ya hilo bunge!

(Bahati mbaya, kwa sababu ya lugha, chawa hawataambulia kitu hapa!)

Na hapa wananchi wameamua kukusanyika nje ya jumba anakoishi na kumvurumishia kejeli na dharau bila bughdha yoyote ile...hiyo ndiyo siasa! Hebu angalieni...


View attachment 2082928

Ingekuwa hapa siku hiyo sijui wananchi wangapi wangepoteza maisha mikononi mwa polisi hawa wetu wenye kiu ya damu za Watanzania wanaoonesha tu hisia zao za kutokubaliana na hawa miunguwatu wetu!
Kwanini kusiwe na kipindi maalum cha kuchambuwa ku translate mamba kama haya ili yawafikie wengi? Kama vile wafanyavo kwenye film za kituruki??
 
SWALI ZURI.
Kwa nini sisi tunakubali wao watufitinishe na kwa nini sisi tunashindwa kuwafitinisha wao?
Uwezo wetu wa akili ni mdogo kuliko wao?!
Hebu jifunze kupitia issue za covid kabla sijavuka milima na mabonde.
 
Kuns uhusiano kati ya umasikini uchawi na roho mbaya
 
Very poor excuse
Yani mpaka mzungu anakuwa na uwezo wa kutushawishi mabaya sisi wenyewe akili tunakuwa tumeweka wapi? Kwani hatuna uwezo wa kutambua baya na zuri?

Blacks hatujitambui ndo maana hata matatizo yetu ya msingi bado tunaamini tumesababishiwa .
Dust reason!.
Unajijibu mwenyewe alafu unasema hujitambui.

Vile upo duniani and hujui yaliyopo duniani, hafadhali uendee kubaki hivyo ili kuepuka kuongeza machizi in earth.
 
Back
Top Bottom