Tukio kwenye mataa ya Mwenge: Tofauti ya Wazungu na Waafrika

Mkuu hta ukitoa Mia umethamini lakini.
 
Hahaha chai kakosea viungo dk za mwisho
 
Niwe mkweli tu akimwagia maji huwa nawasha wipers haraka na kufuta mwenyewe huku nikimsisitiza aache. I guess I'm a typical Tanzanian.
[emoji3][emoji3][emoji3] hapana. Unapaswa ku support wanachokifanya, ikiwa ni kwaajili ya kipato cha familia hakuna jinsi ni wajibu wetu kuwaunga mkono.
 
Aisee...! Mleta mada una umri gani?
 
[emoji3][emoji3][emoji3] unafanya vema. Siku nyingine kabla hajafanya hiyo kazi yake, ikiwa unayo basi mpayie hiyo buku na umuambie kuwa kioo cha gari yako ni kisafi.
 
Kumbe unajipenda sana eh!? 😜😜

 
Shida huyu dogo uwa anavamia tu bila makubaliano. Dogo unajua unazingua sana
 
Dah ulivyowasifia wazungu, hawa ambao waliwafanyisha kazi mababu zetu kama punda na kuwalipa kwa mijeledi...kwa kufanya generalisation ya tukio moja huwezi ukawamiminia sifa zote hizo.

Wengi wao ni mabahili na wala hawatuthamini watu wenye rangi nyeusi, kwenye nchi zao kupata nusu ya walichonacho inabidi ufanye kazi na uwe vizuri katika unachokifanya mara mbili yao.
 
Niwe mkweli tu akimwagia maji huwa nawasha wipers haraka na kufuta mwenyewe huku nikimsisitiza aache. I guess I'm a typical Tanzanian.
Mzee hutaki kutoa riziki hata kwa watoto wanao hustle kupata chochote kitu? Najua sio lazima ila atleast they are trying to make ends meet bruh!

Mie ikitokea hivyo huwa nawapa coins zozote zilizopo mfukoni. Its not that i’m that rich but atleast i provide a little support kiungwana!
 
Niwe mkweli tu akimwagia maji huwa nawasha wipers haraka na kufuta mwenyewe huku nikimsisitiza aache. I guess I'm a typical Tanzanian.
Sio mbaya ukifanya kama sadaka hata 500 tu mkuu, ni wadogo zetu na hapo ndipo mwisho wao wa kufikiri
 
Ukizungumzia hilo nakataa sababu kibongo bongo you will never be as fortunate as ukifanya kazi na mzungu!

Fanya kazi na wadosi,wabongo,wachina non of them care..Hawa watu hawana utu kabisa yani. Anakufanya kama punda wake tu. Fanya kazi masaa 12 akuhenyeshe na lugha mbovu ila by the end of the day akupe buku 5!
 
Kuthamini kazi kama hizo ni kuendeleza kudumaza akili za wahusika
 
Watu wa Asia kamwe siwezi fanya kazi naye isipokuwa Mwisrael kidogo ana tofauti kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…