Tukio kwenye mataa ya Mwenge: Tofauti ya Wazungu na Waafrika

Tukio kwenye mataa ya Mwenge: Tofauti ya Wazungu na Waafrika

Sijui hata niseme vipi?!.

Kwa lugha nyepesi tu naweza kusema wenzetu WAZUNGU wameumbwa tofauti kabisa na sisi (ngozi nyeusi) WAAFRIKA. Sitaki kutumia maneno yanayoweza kufanya nikufuru, lakini ninachoweza kusema ni kwamba Mwenyezi Mungu aliwaumba wazungu kwa namna ya pekee sana. Kusema hivi wala sio utumwa kama wengine mnavyoweza kudhani, bali ni ile hali ya kukubali (appreciating) jamii ya watu fulani pasi na kujali dini zao, rangi zao, wala asili zao. Kukubali katika jambo jema na zuri ni busara zaidi kuliko kukataa tu hata kama ni jambo jema na lina manufaa.

Ninapozungumzia wazungu simaanishi ngozi nyeupe, hapana. Sizungumzii waraabu, sizungumzii wachina, wala sizungumzii wahindi. Nazungumzia WAZUNGU, watu wenye asili ya kutoka bara la Ulaya wenye rangi nyeupe (the white people).

Kuna Kijana anafanya kazi ya kufuta vioo vya magari katika makutano ya barabara ya kutoka Tegeta kuja Mwenge. Ni pale kwenye taa za barabarani (trafic light). Gari zinapo simama tu kwenye foleni kijana huyu humwaga povu la sabuni kwenye kioo cha mbele, kisha hutumia kifaa chake maalumu kufuta lile povu ili kuondoa vumbi. Kazi hii huifanya kwa uharaka sana na kwa ustadi wa hali ya juu. Ndani ya dakika moja na sekunde kadhaa atamwaga povu, atasafisha kioo, kisha atafuta povu na kuacha kioo cha gari yako kikiwa kisafi.

Kazi hii imekuwa ikifanywa na vijana wengi katika miji mbali mbali hapa barani Afrika.

Akishafanya hiyo kazi, wewe dereva unampatia kipande kidogo cha pesa. Kiasi cha pesa cha kumpa unapanga wewe mwenyewe. Wengi waliopata huduma ya kijana huyu walikausha kimya bila kulipia chochote na wala haikuwa kesi. Na wapo baadhi yao (wachache) walilipia shilingi 100 hadi 200 hivi.

Kuna gari aina ya CROWN iliyokuwa ikiendeshwa na Mzungu. Alionekana kama sio raia wa Uingereza basi atakuwa anatokea Wiles au maeneo ya jamii hiyo.

Kijana ni kama alijua vile. Na inaonyesha ana uzoefu wa kutosha wa malipo ya wateja anao wahudumia. Alisafisha kioo cha ile gari chap chap, kisha akasogea dirishani kwa dereva ili apate ujira wake. Yule dereva Mzungu akatoa noti ya shilingi 10,000 na kumpatia yule dogo. Daaah! Dogo alimshukuru sana kana kwamba yule Mzungu alikuwa amemfanyia kitu kikubwa sana kwenye maisha yake.

Taa ziliporuhusu ile gari ilipokuwa ikiondoka bado dogo aliendelea kumshukuru tena kwa kumpigia "saluti" yule Mzungu kuonyesha ame-appreciate kile alichofanya. Kama ilivyo utaratibu, yule Mzungu nae alijibu ile saluti ya dogo nae kwa kupiga Saluti.

Lilikuwa tukio la kipekee sana lililo onyesha namna sisi watu weusi (waafrika) na wenzetu wazungu tulivyo tofauti. Ni tukio lililompa yule kijana FARAJA NDANI YA MOYO. Mbali na kiasi cha pesa alicholipwa na yule Mzungu lakini kwa kijana aliona thamani ya kile anachofanya (kazi yake). Thamani ya kazi ya halali inayofanywa na mikono yake. Pengine kijana yule angekuwa mwizi au kibaka akikwapua mali za watu kwenye yale makutano ya ile barabara, leo hii thamani ya kazi yake asingeiona. Na zaidi ya yote angekuwa adui mkubwa mbele ya jamii na hasa watumiaji wa ile barabara.

Ni kawaida kwa wenzetu wazungu ku-appreciate kazi ya mtu pasi na kujali ni kazi ya aina gani. Ikiwa ni kazi ya halali na unaifanya kwa ustadi basi ataiheshimu kazi yako katika kiwango kinacho stahili. Hii ni tofauti kabisa na sisi Wafrika.

Sisi waafrika ni watu ajabu sana. Mtu unafanya kazi ngumu, nzito tena inayo "RISK" maisha yako, inapofika wakati wa kukulipa anakulipa isivyostahili. Na pengine asikulipe kabisa, au akakudhulumu kwa kukulipa kidogo tofauti na ilivyopaswa. Kama huamini, mtazame Meneja au Muhasibu hapo ofisini kwako. Amepewa mamlaka ya kuwalipa mishahara yenu. Lakini swali ni Je, anawalipa kwa wakati?!. Na je, ikifika wakati wa malipo anawalipa tu, au anasubiri hadi usingizie mtoto au mke/mume kuugua ndio aidhinishe malipo yako?!.

Kwakuwa yupo kwenye mamlaka ya kukulipa basi atakulipa atakavyo yeye.

Nadhani hapo utakuwa umenielewa vizuri kile ninacho maanisha. Akiwa Muhasibu au Bosi anaye idhinisha malipo yenu kuna wakati atasubiri hadi ifike tarehe 38 ndio awalipe malipo yenu. Hatari sana.

Naomba leo niwakumbushe kitu muhimu. Ni dhambi kubwa sana mbele ya dunia na mbele ya Mungu kudhulumu jasho la anaye pigana kwa haki. Jasho la mpiganaji daima huwa halipotei bure. Mungu wetu mlezi anasema "walipeni watumishi ujira wao kama vile inavyo stahili". Tambua kuwa athari za kuchelewesha mshahara wa mfanyakazi wako zinaumiza watu wengi sana. Kuchelewa kumlipa mfanyakazi wako kunaumiza watoto wake, mke/mume wake, wazazi wake, ndugu zake na hata jamaa zake. Anapochelewa kupata malipo yake hata Mangi dukani anakosa pesa, kwani pengine huyo ni mmoja katika wateja muhimu sana pale dukani.

Ndugu yangu, ikiwa umepewa dhamana ya kulipa ujira wa mtu anayemwaga jasho lake, basi mlipe katika wakati sahihi. Na ikiwa unadaiwa, basi lipa deni lako katika wakati mliokubalina.

Mwenyezi Mungu awabariki sana.

Na Hilal Kanal
0718022322
Dar es Salaam
View attachment 1858654
Story yako imewezaje kuGeneralize wazungu wote!?

apa ungeongelea appreciation ya mtu yes ni mweupe lakini hii haijumlishi wote.

ukarimu ni wa mtu binafsi.
Utofauti wa tamaduni sio ulemavu.

wazungu wanalala na mbwa ndani, apa utasema wao ni wachafu Au vichaa!?
Just because Africa hatuna hii tamaduni!?

wazungu (america as example) wamepitisha sheria kutete ushoga.
Hapa vipi!?
Wapo sawa Au la!?
Ukilinganisha na kwenu!?

story yako tayari imempa udhaifu mtu mweusi.

Lakini kwa namna ulivoiweka.
But You sound racist to me!

na hii itakupa ulemavu.
 
Sijui hata niseme vipi?!.

Kwa lugha nyepesi tu naweza kusema wenzetu WAZUNGU wameumbwa tofauti kabisa na sisi (ngozi nyeusi) WAAFRIKA. Sitaki kutumia maneno yanayoweza kufanya nikufuru, lakini ninachoweza kusema ni kwamba Mwenyezi Mungu aliwaumba wazungu kwa namna ya pekee sana. Kusema hivi wala sio utumwa kama wengine mnavyoweza kudhani, bali ni ile hali ya kukubali (appreciating) jamii ya watu fulani pasi na kujali dini zao, rangi zao, wala asili zao. Kukubali katika jambo jema na zuri ni busara zaidi kuliko kukataa tu hata kama ni jambo jema na lina manufaa.

Ninapozungumzia wazungu simaanishi ngozi nyeupe, hapana. Sizungumzii waraabu, sizungumzii wachina, wala sizungumzii wahindi. Nazungumzia WAZUNGU, watu wenye asili ya kutoka bara la Ulaya wenye rangi nyeupe (the white people).

Kuna Kijana anafanya kazi ya kufuta vioo vya magari katika makutano ya barabara ya kutoka Tegeta kuja Mwenge. Ni pale kwenye taa za barabarani (trafic light). Gari zinapo simama tu kwenye foleni kijana huyu humwaga povu la sabuni kwenye kioo cha mbele, kisha hutumia kifaa chake maalumu kufuta lile povu ili kuondoa vumbi. Kazi hii huifanya kwa uharaka sana na kwa ustadi wa hali ya juu. Ndani ya dakika moja na sekunde kadhaa atamwaga povu, atasafisha kioo, kisha atafuta povu na kuacha kioo cha gari yako kikiwa kisafi.

Kazi hii imekuwa ikifanywa na vijana wengi katika miji mbali mbali hapa barani Afrika.

Akishafanya hiyo kazi, wewe dereva unampatia kipande kidogo cha pesa. Kiasi cha pesa cha kumpa unapanga wewe mwenyewe. Wengi waliopata huduma ya kijana huyu walikausha kimya bila kulipia chochote na wala haikuwa kesi. Na wapo baadhi yao (wachache) walilipia shilingi 100 hadi 200 hivi.

Kuna gari aina ya CROWN iliyokuwa ikiendeshwa na Mzungu. Alionekana kama sio raia wa Uingereza basi atakuwa anatokea Wiles au maeneo ya jamii hiyo.

Kijana ni kama alijua vile. Na inaonyesha ana uzoefu wa kutosha wa malipo ya wateja anao wahudumia. Alisafisha kioo cha ile gari chap chap, kisha akasogea dirishani kwa dereva ili apate ujira wake. Yule dereva Mzungu akatoa noti ya shilingi 10,000 na kumpatia yule dogo. Daaah! Dogo alimshukuru sana kana kwamba yule Mzungu alikuwa amemfanyia kitu kikubwa sana kwenye maisha yake.

Taa ziliporuhusu ile gari ilipokuwa ikiondoka bado dogo aliendelea kumshukuru tena kwa kumpigia "saluti" yule Mzungu kuonyesha ame-appreciate kile alichofanya. Kama ilivyo utaratibu, yule Mzungu nae alijibu ile saluti ya dogo nae kwa kupiga Saluti.

Lilikuwa tukio la kipekee sana lililo onyesha namna sisi watu weusi (waafrika) na wenzetu wazungu tulivyo tofauti. Ni tukio lililompa yule kijana FARAJA NDANI YA MOYO. Mbali na kiasi cha pesa alicholipwa na yule Mzungu lakini kwa kijana aliona thamani ya kile anachofanya (kazi yake). Thamani ya kazi ya halali inayofanywa na mikono yake. Pengine kijana yule angekuwa mwizi au kibaka akikwapua mali za watu kwenye yale makutano ya ile barabara, leo hii thamani ya kazi yake asingeiona. Na zaidi ya yote angekuwa adui mkubwa mbele ya jamii na hasa watumiaji wa ile barabara.

Ni kawaida kwa wenzetu wazungu ku-appreciate kazi ya mtu pasi na kujali ni kazi ya aina gani. Ikiwa ni kazi ya halali na unaifanya kwa ustadi basi ataiheshimu kazi yako katika kiwango kinacho stahili. Hii ni tofauti kabisa na sisi Wafrika.

Sisi waafrika ni watu ajabu sana. Mtu unafanya kazi ngumu, nzito tena inayo "RISK" maisha yako, inapofika wakati wa kukulipa anakulipa isivyostahili. Na pengine asikulipe kabisa, au akakudhulumu kwa kukulipa kidogo tofauti na ilivyopaswa. Kama huamini, mtazame Meneja au Muhasibu hapo ofisini kwako. Amepewa mamlaka ya kuwalipa mishahara yenu. Lakini swali ni Je, anawalipa kwa wakati?!. Na je, ikifika wakati wa malipo anawalipa tu, au anasubiri hadi usingizie mtoto au mke/mume kuugua ndio aidhinishe malipo yako?!.

Kwakuwa yupo kwenye mamlaka ya kukulipa basi atakulipa atakavyo yeye.

Nadhani hapo utakuwa umenielewa vizuri kile ninacho maanisha. Akiwa Muhasibu au Bosi anaye idhinisha malipo yenu kuna wakati atasubiri hadi ifike tarehe 38 ndio awalipe malipo yenu. Hatari sana.

Naomba leo niwakumbushe kitu muhimu. Ni dhambi kubwa sana mbele ya dunia na mbele ya Mungu kudhulumu jasho la anaye pigana kwa haki. Jasho la mpiganaji daima huwa halipotei bure. Mungu wetu mlezi anasema "walipeni watumishi ujira wao kama vile inavyo stahili". Tambua kuwa athari za kuchelewesha mshahara wa mfanyakazi wako zinaumiza watu wengi sana. Kuchelewa kumlipa mfanyakazi wako kunaumiza watoto wake, mke/mume wake, wazazi wake, ndugu zake na hata jamaa zake. Anapochelewa kupata malipo yake hata Mangi dukani anakosa pesa, kwani pengine huyo ni mmoja katika wateja muhimu sana pale dukani.

Ndugu yangu, ikiwa umepewa dhamana ya kulipa ujira wa mtu anayemwaga jasho lake, basi mlipe katika wakati sahihi. Na ikiwa unadaiwa, basi lipa deni lako katika wakati mliokubalina.

Mwenyezi Mungu awabariki sana.

Na Hilal Kanal
0718022322
Dar es Salaam
View attachment 1858654
😆😆😆
 
Story yako imewezaje kuGeneralize wazungu wote!?

apa ungeongelea appreciation ya mtu yes ni mweupe lakini hii haijumlishi wote.

ukarimu ni wa mtu binafsi.
Utofauti wa tamaduni sio ulemavu.

wazungu wanalala na mbwa ndani, apa utasema wao ni wachafu Au vichaa!?
Just because Africa hatuna hii tamaduni!?

wazungu (america as example) wamepitisha sheria kutete ushoga.
Hapa vipi!?
Wapo sawa Au la!?
Ukilinganisha na kwenu!?

story yako tayari imempa udhaifu mtu mweusi.

landa kwa namna ulivoiweka.
But You sound racist to me!

na hii itakupa ulemavu.
Nakubaliana na mawazo yako, lakini tujiulize kati yetu watu weusi na wazunhu ni kina nani wanasaidia sana wengine?! Achilia mbali swala la umasikini maana najua hicho ndio kichaka chetu, lkn ni ukweli usiopingika sisi waafrika haguna upendo. Ndio maana haga mafaifa yetu hayakaliki, kila siku tunauwana kwasababu ya mali na madaraka. Wazungu wana ile hali ya kujali, kuthamini na kutambua utu wa mtu. Nadhani inaweza kuwa sio wazungu wote ila asilimia kubwa wapo hivyo tofauti kabisa na sisi watu weusi. Nimesema hapo siwatukuzi, ila ni hali ya kukubali ukweli. Ni kama vile navyoweza kukubali kuwa Diamond ni mwanamuziki mzuri sana, hata kama nifakuwa sipendi but I can't resist reality.
 
Nilitaka kuamini storry yako Ila nilipoona CROWN Nimesita kukuamini kwa kuwa Mzungu Kama Mzungu uliyemuongelea ni vigumu kuwa na hiyo Gari. Kwanza ni Saloon/Sedan, Mzungu hutumia SUV/WAGON.

Unless ungefunguka kuwa kuwa Kuna kamzunguko kapesa kameanza kuonekana mtaani ningekuelewa.

Mengine yote umefagilia wazungu kwa mtizamo wako, na hayaendani na Story yako ya Mwenge.

Nahisi hujawahi kuishi na wazungu na kuyajua maisha yao halisi kuhusiana na fedha unawaona tu barabarani. Sasa Kama hujui hakuna mtu mchumi kama Mzungu.
Seriously?

Kwanini wasitumie hizo gari?
 
Nadhani kuna mahali hukunielewa, ishu sio kiasi cha pesa alicholipa Mzungu. Ishu ni thamani, yaani Mzungu alionyesha kuthamini kazi ya dogo tofauti na sisi wabongo. Si unaona hata wewe hapo, tayari umeshaona kazi ya dogo ya kufuta vioo vya magari ni kupoteza muda. Lakini swali ni je, ulaya watu na nchi zilizoendelea hakuna watu wanaofanya kazi za aina hiho??!!

Nchi za wenzetu kuna wafu wanafanya hadi kazi za kulea wazee na zina mishahara mikubwa sana.
Pengine mzungu ndio Mara ya kwanza kuona kitu kama hicho kwake ni kigeni, na sababu a najua watu ni masikini pengine akaona kwamba huyo ni mtu anafaa kusaidiwa

Ila wazungu ni kama sisi tu.

Bulgaria ni Matapeli Nigeria wakasome, scam kubwa kubwa duniani wanafanya wao, hizi pyramid schemes na coins za kitapeli.

Hii ni video ya juzi fainali Euro watu wameforce getini Waka ingia bure, bila ticket



Leo hii chukulia Mfano PM majaliwa ama Diamond ama na watu wengine ambao wapo vizuri Tz, aende Italy akutane na kijana masikini mtaani, ampe hela, local people wanaweza kusema Watanzania wapo civilized sana, hawawezi jua weakness zetu kirahisi.
 
Unawaongelea hawa wazungu walioua wanawake na watoto kwa miaka 20 huko Afghanistan?

Au unawaongelea wazungu wanaoua watoto na wanawake huko Libya,Iraq,Palestina,Somalia...?
 
Africans bana.

Mzungu ni neno ambalo sipendi kulitumia.
Lakini hii mada kila mtu anajadili kuhusu mzungu kama miungu au aina fulani hivi ya demigods.

Ni akili tu ya kibinadamu pia wapo africans wengi wanaofanya hivyo ila kwakua ni mtu mwenye asili ya nje afrika basi ikawa sababu ya sifa zote hizi.
Na nina uhakika kama muafrika angefanya hivyo usingeandika hii thread.

Sina uhakika lakini ni vizuri ukasoma history ili kujua ni nani aliyefanywa mtumwa na nani aliyemfanya mwenzake mtumwa.
Kwa kuwaua,kuwatumia kama punda pia kuwafunga minyororo kama mbwa, kuwatesa na kuwadharirisha.
Bila kusahau yule jamaa mweusi aliyepigwa kabali ya goti mpaka kifo na polisi mweupe.
Pia bila kusahau ubaguzi juu ya mtu mweusi huko nje.

Alafu unasema wamweumba tofauti really?
Huyo aliyewaumba labda alikuwa high at the time.


Ni ajabu Africans mpaka leo bado wana ile low self esteem na inferiority mbele ya mzungu iliyotokana na history ya nyuma na kusahau kwamba wote ni binadamu waliotofautiana utashi na rangi iliyotokana na mazingira.

Mimi sioni cha ajabu hapo zaidi ya sign za low self esteem na inferiority complex.
Mkuu nakuelewa sana, lakini tujiulize kati yetu watu weusi na wazungu ni kina nani wanasaidia sana wengine?! Achilia mbali swala la umasikini maana najua hicho ndio kichaka chetu, lkn ni ukweli usiopingika sisi waafrika hatuna upendo. Ndio maana hata mafaifa yetu hayakaliki. Kila siku tunauwana kwasababu ya mali na madaraka. Hatupendani na hiyo ndio asili yetu. Wenzetu wazungu wana ile hali ya kujali, kuthamini na kutambua utu wa mtu. Nadhani inaweza kuwa sio wazungu wote ila asilimia kubwa wapo hivyo tofauti kabisa na sisi wagu weusi. Na kusema hivyo hakuna maana kuwa nawatukuza, hapana. Ni hali ya kukubalina na ukweli. I can't resist reality. Na kuhusu maswala ya utumwa hizo ni historical moment. Hivi unadhani katika dunia ya leo ukiwaambia waingereza watutawale tena watakubali?! Jibu ni kuwa hawatokubali. Usisahau pia kuna wazungu waliwahi kutawaliwa na wazungu wenzao, vipi na hao wachukiane eti kwakuwa walitawaliwa?!
 
Pengine mzungu ndio Mara ya kwanza kuona kitu kama hicho kwake ni kigeni, na sababu a najua watu ni masikini pengine akaona kwamba huyo ni mtu anafaa kusaidiwa

Ila wazungu ni kama sisi tu.

Bulgaria ni Matapeli Nigeria wakasome, scam kubwa kubwa duniani wanafanya wao, hizi pyramid schemes na coins za kitapeli.

Hii ni video ya juzi fainali Euro watu wameforce getini Waka ingia bure, bila ticket

View attachment 1859114

Leo hii chukulia Mfano PM majaliwa ama Diamond ama na watu wengine ambao wapo vizuri Tz, aende Italy akutane na kijana masikini mtaani, ampe hela, local people wanaweza kusema Watanzania wapo civilized sana, hawawezi jua weakness zetu kirahisi.
Rejea tena andiko langu mkuu. Thamani ya pesa sio logic ya andiko langu, thamani ya utu ndio kitu nilichotaka kukiwasilisha. Shilingi 10,000 haikuwa pesa kubwa sana, lkn tujiulize ni wangapi walipita kwa yule kijana na wakata huduma kisha hawakumlipa hata shilingi ilihali mfukpni walikuwa na zaidi ya milioni moja??!!!

Huyo Diamond anaweza kwenda Ulaya kama ulivyosema lakini asisaidie wasiojiweza.

Wazungu tena watu wa kawaida tu wana kariba ya kuja Afrika na kusaidia watu wasiojiweza. Sasa jiulize umewahi kusikia waafrika wanakwenda ulaya kusaidia wasiojiweza?! Hapo ndio utajua sisi waafrika tukoje.
 
Nakubaliana na mawazo yako, lakini tujiulize kati yetu watu weusi na wazunhu ni kina nani wanasaidia sana wengine?! Achilia mbali swala la umasikini maana najua hicho ndio kichaka chetu, lkn ni ukweli usiopingika sisi waafrika haguna upendo. Ndio maana haga mafaifa yetu hayakaliki, kila siku tunauwana kwasababu ya mali na madaraka. Wazungu wana ile hali ya kujali, kuthamini na kutambua utu wa mtu. Nadhani inaweza kuwa sio wazungu wote ila asilimia kubwa wapo hivyo tofauti kabisa na sisi watu weusi. Nimesema hapo siwatukuzi, ila ni hali ya kukubali ukweli. Ni kama vile navyoweza kukubali kuwa Diamond ni mwanamuziki mzuri sana, hata kama nifakuwa sipendi but I can't resist reality.
Unazidi kudidimiza uafrica wako.

mbona unasemea waafrica wote?
Mzungu mmoja amekupa imani wengi wapo ivo.

mwafrica yupi amefanya uone wote tuko ivo!?

bado unachanganya utu na utaifa!
 
Kumlipa mtu pesa nyingi kwa kazi ndogo inategemea na kipato chako. Huyo mdosi unaweza kukuta hiyo 10k aliyotoa ni kama 100 kwake. Lakini mwingine hata hela ya mafuta inamsumbua aje akulipe shs 10 elfu kwa kufuta kioo vumbi!

Kwanza hao watu wanaofanya kazi za hivyo ni kupoteza muda. Waje huku mikoani kuna mashamba kibao waje walime. Waache uvivu, na kupenda kukaa mijini.
Wewe sio tu Mwafrika bali ni mtu mweusi kama mkaa.
 
Wazungu wapo hapa wanafanya mambo mengi sana ndugu,hawapo hapa nchini kufanya kazi au biashara zenye faida laki sita au milioni kwa mwezi,wapo hapa aidha vocationa au wana ma deal ya mamilioni kwa siku au kwa wiki

Huyo mzungu huenda anakaa oysterbay au masaki analipa rent 3000usd elfu 10000 kitu gani kwake na hayo ndo maeneo yao ya kukaa na hizo ndo rent zao wanazolipa
Lkn sisi waswahili ndio tuna vigari vyetu huko mabarabarani ila vipato vyetu vinatutosha wenyewe na familia zetu au pengine pia hata havitutoshi ndo maana utoaji wetu kwa wenye shida pia umekuwa duni.

Na si kila mwenye gari ana hela,pia si kila mswahili hulipa hao madogo sh 100 au 200 wapo wanaotoa zaidi isipokuwa wewe umegumia hilo tukio la mzungu...
 
Sijui hata niseme vipi?!.

Kwa lugha nyepesi tu naweza kusema wenzetu WAZUNGU wameumbwa tofauti kabisa na sisi (ngozi nyeusi) WAAFRIKA. Sitaki kutumia maneno yanayoweza kufanya nikufuru, lakini ninachoweza kusema ni kwamba Mwenyezi Mungu aliwaumba wazungu kwa namna ya pekee sana. Kusema hivi wala sio utumwa kama wengine mnavyoweza kudhani, bali ni ile hali ya kukubali (appreciating) jamii ya watu fulani pasi na kujali dini zao, rangi zao, wala asili zao. Kukubali katika jambo jema na zuri ni busara zaidi kuliko kukataa tu hata kama ni jambo jema na lina manufaa.

Ninapozungumzia wazungu simaanishi ngozi nyeupe, hapana. Sizungumzii waraabu, sizungumzii wachina, wala sizungumzii wahindi. Nazungumzia WAZUNGU, watu wenye asili ya kutoka bara la Ulaya wenye rangi nyeupe (the white people).

Kuna Kijana anafanya kazi ya kufuta vioo vya magari katika makutano ya barabara ya kutoka Tegeta kuja Mwenge. Ni pale kwenye taa za barabarani (trafic light). Gari zinapo simama tu kwenye foleni kijana huyu humwaga povu la sabuni kwenye kioo cha mbele, kisha hutumia kifaa chake maalumu kufuta lile povu ili kuondoa vumbi. Kazi hii huifanya kwa uharaka sana na kwa ustadi wa hali ya juu. Ndani ya dakika moja na sekunde kadhaa atamwaga povu, atasafisha kioo, kisha atafuta povu na kuacha kioo cha gari yako kikiwa kisafi.

Kazi hii imekuwa ikifanywa na vijana wengi katika miji mbali mbali hapa barani Afrika.

Akishafanya hiyo kazi, wewe dereva unampatia kipande kidogo cha pesa. Kiasi cha pesa cha kumpa unapanga wewe mwenyewe. Wengi waliopata huduma ya kijana huyu walikausha kimya bila kulipia chochote na wala haikuwa kesi. Na wapo baadhi yao (wachache) walilipia shilingi 100 hadi 200 hivi.

Kuna gari aina ya CROWN iliyokuwa ikiendeshwa na Mzungu. Alionekana kama sio raia wa Uingereza basi atakuwa anatokea Wiles au maeneo ya jamii hiyo.

Kijana ni kama alijua vile. Na inaonyesha ana uzoefu wa kutosha wa malipo ya wateja anao wahudumia. Alisafisha kioo cha ile gari chap chap, kisha akasogea dirishani kwa dereva ili apate ujira wake. Yule dereva Mzungu akatoa noti ya shilingi 10,000 na kumpatia yule dogo. Daaah! Dogo alimshukuru sana kana kwamba yule Mzungu alikuwa amemfanyia kitu kikubwa sana kwenye maisha yake.

Taa ziliporuhusu ile gari ilipokuwa ikiondoka bado dogo aliendelea kumshukuru tena kwa kumpigia "saluti" yule Mzungu kuonyesha ame-appreciate kile alichofanya. Kama ilivyo utaratibu, yule Mzungu nae alijibu ile saluti ya dogo nae kwa kupiga Saluti.

Lilikuwa tukio la kipekee sana lililo onyesha namna sisi watu weusi (waafrika) na wenzetu wazungu tulivyo tofauti. Ni tukio lililompa yule kijana FARAJA NDANI YA MOYO. Mbali na kiasi cha pesa alicholipwa na yule Mzungu lakini kwa kijana aliona thamani ya kile anachofanya (kazi yake). Thamani ya kazi ya halali inayofanywa na mikono yake. Pengine kijana yule angekuwa mwizi au kibaka akikwapua mali za watu kwenye yale makutano ya ile barabara, leo hii thamani ya kazi yake asingeiona. Na zaidi ya yote angekuwa adui mkubwa mbele ya jamii na hasa watumiaji wa ile barabara.

Ni kawaida kwa wenzetu wazungu ku-appreciate kazi ya mtu pasi na kujali ni kazi ya aina gani. Ikiwa ni kazi ya halali na unaifanya kwa ustadi basi ataiheshimu kazi yako katika kiwango kinacho stahili. Hii ni tofauti kabisa na sisi Wafrika.

Sisi waafrika ni watu ajabu sana. Mtu unafanya kazi ngumu, nzito tena inayo "RISK" maisha yako, inapofika wakati wa kukulipa anakulipa isivyostahili. Na pengine asikulipe kabisa, au akakudhulumu kwa kukulipa kidogo tofauti na ilivyopaswa. Kama huamini, mtazame Meneja au Muhasibu hapo ofisini kwako. Amepewa mamlaka ya kuwalipa mishahara yenu. Lakini swali ni Je, anawalipa kwa wakati?!. Na je, ikifika wakati wa malipo anawalipa tu, au anasubiri hadi usingizie mtoto au mke/mume kuugua ndio aidhinishe malipo yako?!.

Kwakuwa yupo kwenye mamlaka ya kukulipa basi atakulipa atakavyo yeye.

Nadhani hapo utakuwa umenielewa vizuri kile ninacho maanisha. Akiwa Muhasibu au Bosi anaye idhinisha malipo yenu kuna wakati atasubiri hadi ifike tarehe 38 ndio awalipe malipo yenu. Hatari sana.

Naomba leo niwakumbushe kitu muhimu. Ni dhambi kubwa sana mbele ya dunia na mbele ya Mungu kudhulumu jasho la anaye pigana kwa haki. Jasho la mpiganaji daima huwa halipotei bure. Mungu wetu mlezi anasema "walipeni watumishi ujira wao kama vile inavyo stahili". Tambua kuwa athari za kuchelewesha mshahara wa mfanyakazi wako zinaumiza watu wengi sana. Kuchelewa kumlipa mfanyakazi wako kunaumiza watoto wake, mke/mume wake, wazazi wake, ndugu zake na hata jamaa zake. Anapochelewa kupata malipo yake hata Mangi dukani anakosa pesa, kwani pengine huyo ni mmoja katika wateja muhimu sana pale dukani.

Ndugu yangu, ikiwa umepewa dhamana ya kulipa ujira wa mtu anayemwaga jasho lake, basi mlipe katika wakati sahihi. Na ikiwa unadaiwa, basi lipa deni lako katika wakati mliokubalina.

Mwenyezi Mungu awabariki sana.

Na Hilal Kanal
0718022322
Dar es Salaam
View attachment 1858654

Ngoja nimalizie kupinga nyungu kwanza.

Achana na mabeberu hao. Kwanza sisi ni nchi tajiri sana. Mitumba sasa hivi inatoka kwetu kwenda kwao.

😂😂😂😂😂😂

Hii nchi ilikuwa imechezewa sana!
 
Niwe mkweli tu akimwagia maji huwa nawasha wipers haraka na kufuta mwenyewe huku nikimsisitiza aache. I guess I'm a typical Tanzanian.
Tena nakasirika sana. Ki ukweli maisha wala hayatuchukulii kirahisirahisi hivyo, kwamba maji kwenye kioo kitu ten daahh mbona wote tungefanya hio kazi.

Maisha ni magumu ni mapambano haswa
 
Back
Top Bottom