Tukio kwenye mataa ya Mwenge: Tofauti ya Wazungu na Waafrika

Tukio kwenye mataa ya Mwenge: Tofauti ya Wazungu na Waafrika

Ananifanyiaje kazi bila makubaliani? Aulize kwanza
Hujawahi kwenda kwenye sherehe, mpiga picha akakupiga picha bila kukuuliza sala kubageni na wewe. Kisha baadae akakuonyesha ili ukivutika nayo uilipie. Je kuna tatizo katika hilo??!! Na katika kazi ya hao madogo si lazima ulipe, hata usipplipa sio kesi. Na hata ukisema asiifanye pia kwake wala sio kesi.
 
Hujawahi kwenda kwenye sherehe, mpiga picha akakupiga picha bila kukuuliza sala kubageni na wewe. Kisha baadae akakuonyesha ili ukivutika nayo uilipie. Je kuna tatizo katika hilo??!! Na katika kazi ya hao madogo si lazima ulipe, hata usipplipa sio kesi. Na hata ukisema asiifanye pia kwake wala sio kesi.
Ofcourse kuna tatizo, unanipigaje picha bila ruhusa? What if nipo na mchepuko?
 
Hujawahi kwenda kwenye sherehe, mpiga picha akakupiga picha bila kukuuliza sala kubageni na wewe. Kisha baadae akakuonyesha ili ukivutika nayo uilipie. Je kuna tatizo katika hilo??!! Na katika kazi ya hao madogo si lazima ulipe, hata usipplipa sio kesi. Na hata ukisema asiifanye pia kwake wala sio kesi.
Tatizo lipo, nikitaka picha namwambia la sivyo picha huwa naziacha. Anajuaje hali ya mfuko wangu kwa wakati huo?
Na yeye hana ustaarabu. Imagine nivamie nyumba yako nifanye usafi halafu nilazimishe unilipe pesa.
 
Sijui hata niseme vipi?!.

Kwa lugha nyepesi tu naweza kusema wenzetu WAZUNGU wameumbwa tofauti kabisa na sisi (ngozi nyeusi) WAAFRIKA. Sitaki kutumia maneno yanayoweza kufanya nikufuru, lakini ninachoweza kusema ni kwamba Mwenyezi Mungu aliwaumba wazungu kwa namna ya pekee sana. Kusema hivi wala sio utumwa kama wengine mnavyoweza kudhani, bali ni ile hali ya kukubali (appreciating) jamii ya watu fulani pasi na kujali dini zao, rangi zao, wala asili zao. Kukubali katika jambo jema na zuri ni busara zaidi kuliko kukataa tu hata kama ni jambo jema na lina manufaa.

Ninapozungumzia wazungu simaanishi ngozi nyeupe, hapana. Sizungumzii waraabu, sizungumzii wachina, wala sizungumzii wahindi. Nazungumzia WAZUNGU, watu wenye asili ya kutoka bara la Ulaya wenye rangi nyeupe (the white people).

Kuna Kijana anafanya kazi ya kufuta vioo vya magari katika makutano ya barabara ya kutoka Tegeta kuja Mwenge. Ni pale kwenye taa za barabarani (trafic light). Gari zinapo simama tu kwenye foleni kijana huyu humwaga povu la sabuni kwenye kioo cha mbele, kisha hutumia kifaa chake maalumu kufuta lile povu ili kuondoa vumbi. Kazi hii huifanya kwa uharaka sana na kwa ustadi wa hali ya juu. Ndani ya dakika moja na sekunde kadhaa atamwaga povu, atasafisha kioo, kisha atafuta povu na kuacha kioo cha gari yako kikiwa kisafi.

Kazi hii imekuwa ikifanywa na vijana wengi katika miji mbali mbali hapa barani Afrika.

Akishafanya hiyo kazi, wewe dereva unampatia kipande kidogo cha pesa. Kiasi cha pesa cha kumpa unapanga wewe mwenyewe. Wengi waliopata huduma ya kijana huyu walikausha kimya bila kulipia chochote na wala haikuwa kesi. Na wapo baadhi yao (wachache) walilipia shilingi 100 hadi 200 hivi.

Kuna gari aina ya CROWN iliyokuwa ikiendeshwa na Mzungu. Alionekana kama sio raia wa Uingereza basi atakuwa anatokea Wiles au maeneo ya jamii hiyo.

Kijana ni kama alijua vile. Na inaonyesha ana uzoefu wa kutosha wa malipo ya wateja anao wahudumia. Alisafisha kioo cha ile gari chap chap, kisha akasogea dirishani kwa dereva ili apate ujira wake. Yule dereva Mzungu akatoa noti ya shilingi 10,000 na kumpatia yule dogo. Daaah! Dogo alimshukuru sana kana kwamba yule Mzungu alikuwa amemfanyia kitu kikubwa sana kwenye maisha yake.

Taa ziliporuhusu ile gari ilipokuwa ikiondoka bado dogo aliendelea kumshukuru tena kwa kumpigia "saluti" yule Mzungu kuonyesha ame-appreciate kile alichofanya. Kama ilivyo utaratibu, yule Mzungu nae alijibu ile saluti ya dogo nae kwa kupiga Saluti.

Lilikuwa tukio la kipekee sana lililo onyesha namna sisi watu weusi (waafrika) na wenzetu wazungu tulivyo tofauti. Ni tukio lililompa yule kijana FARAJA NDANI YA MOYO. Mbali na kiasi cha pesa alicholipwa na yule Mzungu lakini kwa kijana aliona thamani ya kile anachofanya (kazi yake). Thamani ya kazi ya halali inayofanywa na mikono yake. Pengine kijana yule angekuwa mwizi au kibaka akikwapua mali za watu kwenye yale makutano ya ile barabara, leo hii thamani ya kazi yake asingeiona. Na zaidi ya yote angekuwa adui mkubwa mbele ya jamii na hasa watumiaji wa ile barabara.

Ni kawaida kwa wenzetu wazungu ku-appreciate kazi ya mtu pasi na kujali ni kazi ya aina gani. Ikiwa ni kazi ya halali na unaifanya kwa ustadi basi ataiheshimu kazi yako katika kiwango kinacho stahili. Hii ni tofauti kabisa na sisi Wafrika.

Sisi waafrika ni watu ajabu sana. Mtu unafanya kazi ngumu, nzito tena inayo "RISK" maisha yako, inapofika wakati wa kukulipa anakulipa isivyostahili. Na pengine asikulipe kabisa, au akakudhulumu kwa kukulipa kidogo tofauti na ilivyopaswa. Kama huamini, mtazame Meneja au Muhasibu hapo ofisini kwako. Amepewa mamlaka ya kuwalipa mishahara yenu. Lakini swali ni Je, anawalipa kwa wakati?!. Na je, ikifika wakati wa malipo anawalipa tu, au anasubiri hadi usingizie mtoto au mke/mume kuugua ndio aidhinishe malipo yako?!.

Kwakuwa yupo kwenye mamlaka ya kukulipa basi atakulipa atakavyo yeye.

Nadhani hapo utakuwa umenielewa vizuri kile ninacho maanisha. Akiwa Muhasibu au Bosi anaye idhinisha malipo yenu kuna wakati atasubiri hadi ifike tarehe 38 ndio awalipe malipo yenu. Hatari sana.

Naomba leo niwakumbushe kitu muhimu. Ni dhambi kubwa sana mbele ya dunia na mbele ya Mungu kudhulumu jasho la anaye pigana kwa haki. Jasho la mpiganaji daima huwa halipotei bure. Mungu wetu mlezi anasema "walipeni watumishi ujira wao kama vile inavyo stahili". Tambua kuwa athari za kuchelewesha mshahara wa mfanyakazi wako zinaumiza watu wengi sana. Kuchelewa kumlipa mfanyakazi wako kunaumiza watoto wake, mke/mume wake, wazazi wake, ndugu zake na hata jamaa zake. Anapochelewa kupata malipo yake hata Mangi dukani anakosa pesa, kwani pengine huyo ni mmoja katika wateja muhimu sana pale dukani.

Ndugu yangu, ikiwa umepewa dhamana ya kulipa ujira wa mtu anayemwaga jasho lake, basi mlipe katika wakati sahihi. Na ikiwa unadaiwa, basi lipa deni lako katika wakati mliokubalina.

Mwenyezi Mungu awabariki sana.

Na Hilal Kanal
0718022322
Dar es Salaam
View attachment 1858654
una halalisha biashara HARAM ya kuoshsa magari kwenye makutano? Majambazi nao wakianza stail hiyo na kuwapiga risasi huku sisi tukidhsan ni muosha magar mtasemaje?
acha usha mba gari osha kituo cha mafuta, nyumbani ama sehemu rasmi/GOSHENI.
 
Nilitaka kuamini storry yako Ila nilipoona CROWN Nimesita kukuamini kwa kuwa Mzungu Kama Mzungu uliyemuongelea ni vigumu kuwa na hiyo Gari. Kwanza ni Saloon/Sedan, Mzungu hutumia SUV/WAGON.
Correct mi mwenyewe hapa pamenishangaza kidogo...

Twende kwenye mada husika huyo mzungu hayupo kwenye mazingira yake mfano hata wewe uende kijijini mtu anaweza akakufanyia kazi ndogo ukampa kiasi kikubwa cha pesa na watu hapo kijijini wakashangaa ujira uliotoa kwa kazi aliyofanya kwahiyo unakuta huyo mzungu hicho kiasi cha pesa ni kidogo sana kwake na kingine unaweza kuta hakua na Pesa ndogo ndogo km Buku Buku mbili akaona atoe tu hiyo
 
Yaani ni usheitwani kabisa, dogo anaosha kioo chako unamlipa mia 2 then unapitia supermarket kubeba mikuku ya elfu 50 kwa hela za ufisadi wakale watoto nyumbani na wewe mwenyewe.
Mwisho wa siku unakufa kwa b.p
 
Sijui hata niseme vipi?!.

Kwa lugha nyepesi tu naweza kusema wenzetu WAZUNGU wameumbwa tofauti kabisa na sisi (ngozi nyeusi) WAAFRIKA. Sitaki kutumia maneno yanayoweza kufanya nikufuru, lakini ninachoweza kusema ni kwamba Mwenyezi Mungu aliwaumba wazungu kwa namna ya pekee sana. Kusema hivi wala sio utumwa kama wengine mnavyoweza kudhani, bali ni ile hali ya kukubali (appreciating) jamii ya watu fulani pasi na kujali dini zao, rangi zao, wala asili zao. Kukubali katika jambo jema na zuri ni busara zaidi kuliko kukataa tu hata kama ni jambo jema na lina manufaa.

Ninapozungumzia wazungu simaanishi ngozi nyeupe, hapana. Sizungumzii waraabu, sizungumzii wachina, wala sizungumzii wahindi. Nazungumzia WAZUNGU, watu wenye asili ya kutoka bara la Ulaya wenye rangi nyeupe (the white people).

Kuna Kijana anafanya kazi ya kufuta vioo vya magari katika makutano ya barabara ya kutoka Tegeta kuja Mwenge. Ni pale kwenye taa za barabarani (trafic light). Gari zinapo simama tu kwenye foleni kijana huyu humwaga povu la sabuni kwenye kioo cha mbele, kisha hutumia kifaa chake maalumu kufuta lile povu ili kuondoa vumbi. Kazi hii huifanya kwa uharaka sana na kwa ustadi wa hali ya juu. Ndani ya dakika moja na sekunde kadhaa atamwaga povu, atasafisha kioo, kisha atafuta povu na kuacha kioo cha gari yako kikiwa kisafi.

Kazi hii imekuwa ikifanywa na vijana wengi katika miji mbali mbali hapa barani Afrika.

Akishafanya hiyo kazi, wewe dereva unampatia kipande kidogo cha pesa. Kiasi cha pesa cha kumpa unapanga wewe mwenyewe. Wengi waliopata huduma ya kijana huyu walikausha kimya bila kulipia chochote na wala haikuwa kesi. Na wapo baadhi yao (wachache) walilipia shilingi 100 hadi 200 hivi.

Kuna gari aina ya CROWN iliyokuwa ikiendeshwa na Mzungu. Alionekana kama sio raia wa Uingereza basi atakuwa anatokea Wiles au maeneo ya jamii hiyo.

Kijana ni kama alijua vile. Na inaonyesha ana uzoefu wa kutosha wa malipo ya wateja anao wahudumia. Alisafisha kioo cha ile gari chap chap, kisha akasogea dirishani kwa dereva ili apate ujira wake. Yule dereva Mzungu akatoa noti ya shilingi 10,000 na kumpatia yule dogo. Daaah! Dogo alimshukuru sana kana kwamba yule Mzungu alikuwa amemfanyia kitu kikubwa sana kwenye maisha yake.

Taa ziliporuhusu ile gari ilipokuwa ikiondoka bado dogo aliendelea kumshukuru tena kwa kumpigia "saluti" yule Mzungu kuonyesha ame-appreciate kile alichofanya. Kama ilivyo utaratibu, yule Mzungu nae alijibu ile saluti ya dogo nae kwa kupiga Saluti.

Lilikuwa tukio la kipekee sana lililo onyesha namna sisi watu weusi (waafrika) na wenzetu wazungu tulivyo tofauti. Ni tukio lililompa yule kijana FARAJA NDANI YA MOYO. Mbali na kiasi cha pesa alicholipwa na yule Mzungu lakini kwa kijana aliona thamani ya kile anachofanya (kazi yake). Thamani ya kazi ya halali inayofanywa na mikono yake. Pengine kijana yule angekuwa mwizi au kibaka akikwapua mali za watu kwenye yale makutano ya ile barabara, leo hii thamani ya kazi yake asingeiona. Na zaidi ya yote angekuwa adui mkubwa mbele ya jamii na hasa watumiaji wa ile barabara.

Ni kawaida kwa wenzetu wazungu ku-appreciate kazi ya mtu pasi na kujali ni kazi ya aina gani. Ikiwa ni kazi ya halali na unaifanya kwa ustadi basi ataiheshimu kazi yako katika kiwango kinacho stahili. Hii ni tofauti kabisa na sisi Wafrika.

Sisi waafrika ni watu ajabu sana. Mtu unafanya kazi ngumu, nzito tena inayo "RISK" maisha yako, inapofika wakati wa kukulipa anakulipa isivyostahili. Na pengine asikulipe kabisa, au akakudhulumu kwa kukulipa kidogo tofauti na ilivyopaswa. Kama huamini, mtazame Meneja au Muhasibu hapo ofisini kwako. Amepewa mamlaka ya kuwalipa mishahara yenu. Lakini swali ni Je, anawalipa kwa wakati?!. Na je, ikifika wakati wa malipo anawalipa tu, au anasubiri hadi usingizie mtoto au mke/mume kuugua ndio aidhinishe malipo yako?!.

Kwakuwa yupo kwenye mamlaka ya kukulipa basi atakulipa atakavyo yeye.

Nadhani hapo utakuwa umenielewa vizuri kile ninacho maanisha. Akiwa Muhasibu au Bosi anaye idhinisha malipo yenu kuna wakati atasubiri hadi ifike tarehe 38 ndio awalipe malipo yenu. Hatari sana.

Naomba leo niwakumbushe kitu muhimu. Ni dhambi kubwa sana mbele ya dunia na mbele ya Mungu kudhulumu jasho la anaye pigana kwa haki. Jasho la mpiganaji daima huwa halipotei bure. Mungu wetu mlezi anasema "walipeni watumishi ujira wao kama vile inavyo stahili". Tambua kuwa athari za kuchelewesha mshahara wa mfanyakazi wako zinaumiza watu wengi sana. Kuchelewa kumlipa mfanyakazi wako kunaumiza watoto wake, mke/mume wake, wazazi wake, ndugu zake na hata jamaa zake. Anapochelewa kupata malipo yake hata Mangi dukani anakosa pesa, kwani pengine huyo ni mmoja katika wateja muhimu sana pale dukani.

Ndugu yangu, ikiwa umepewa dhamana ya kulipa ujira wa mtu anayemwaga jasho lake, basi mlipe katika wakati sahihi. Na ikiwa unadaiwa, basi lipa deni lako katika wakati mliokubalina.

Mwenyezi Mungu awabariki sana.

Na Hilal Kanal
0718022322
Dar es Salaam
View attachment 1858654
Ila mtu mweusi,nafikiri nafsi yake imeharibiwa sana,amepelekwa utumwani kwa miaka 100,baada ya utumwa,ukaja ukoloni,kipindi chote hicho lazima internal syche iharibiwe kabisa,na hisia kwamba mtu mweupe ni superior being,zaidi ya mtu mweusi ni ushahidi tosha kwamba mtu mweusi
Alishaharibiwa kisaikolojia,itachukua miaka mingi kurekebisha hii kitu,
"Abused people will always be abusive themselve"wapalestina wanateswa sana na Israel,sasa unaweza ukafikiri mamlaka za kipalestina zinawatendea wapalestina vizuri,lakini ni kinyume,mateso wanayopata wapalestina wakawaida kutoka kwa viongozi wao ni mabaya kama wanayopata kutoka kwa Israel
 
Mi huwa nawapa hata buku...but kinachonikera ni ile hali ya gari anaiona imetoka carwash imepigwa polish...yeye anakuja kumwagia mimaji michafu yenye povu kiooo daaah[emoji1751][emoji1751]

Hapo huwa nakereka kweli japo sitaongea na hela nampa[emoji848]
Hongera sana mkuu kwa moyo wa upendo
 
Mandate ya kukuita mpumbavu nimeitoa katika logical implication zitokanazo na ideology unayoipromote, na nikakupa synonymous circumstance ili kukuonyesha upumbavu wako kwenye post. yangu no. X , ambapo nikauliza endapo nikaja na mashine ya kunyoa nywele inayotumia betri ukiwa unatembea barabarani kisha nikaanza kukunyoa ndevu hizo bila majadiliano wala maelewano, utanipigia saluti? Maana salute kwako ndio ishu kubwa, si ndio? Sasa kwanini nisikuite mpumbavu na mtumwa wa kiwango cha mbwa katika ulimbukeni juu ya wazungu? Unaweza kuwapa sifa watu ambao walitesa na kiwafanyia ukoloni mababu zetu kwa upumbavu huo uliohadithia? Hawa watu hata leo hawajabadilika, angalia unyonyaji wanaofanya kila mahali waendako hapa Afrika, hawajabadilika!
Nyie ndio wale mnawaowaita wazungu mabeberu. Acha chuki za kupuuzi. Unasema wazungu walifanya babu zako watumwa?!! Babu zako gani???!!! Hujui hata Spain ambako pia kuna wazungu nao pia waliwahi kutawaliwa??!!! Mbona na wewe unawatumikisha watu kwa kigezo cha house girl na house boy hapo nyumbani kwako, je huo sio kufanya wenzio watumwa???!! Uwezo wako wa kufikiri na kuelewa mambo ni mdogo sana. Ni kama uwezo wa binti yangu tu hapa nyumbani. Yaani mtu kukupatia huduma bila makubaliano ya awali kwako unaona ni tatizo???!!! Mbona unapoenda kwa Mwajuma, anakuhudumia bila makubaliano then baada ya huduma unatoa pesa nyingi tu. Hilo kwako huoni shida. Unachukia wazungu na bado unatumia lugha yao kutafuta nafasi ya kutukuzwa. Unachukia watu ambao wanakupa internet, hata jinzi unayovaa ni kutoka kwao. Simu unayotumia ni yao, barabara unayotembeza gari yako imejengwa kwa msaada wao. Madawa unayotumia hospitali ni kwa msaada wao. Acha umasikini wa mawazo na ulimbukeni wa fikra.
 
Tatizo lipo, nikitaka picha namwambia la sivyo picha huwa naziacha. Anajuaje hali ya mfuko wangu kwa wakati huo?
Na yeye hana ustaarabu. Imagine nivamie nyumba yako nifanye usafi halafu nilazimishe unilipe pesa.
Hata ikiziacha bado kwake sio tatizo. Kulipia huduma au kutolipia yote hayo yanabaki chini ya maamuzi yako. Iko hivyo hata kwa hao vijana wa barabarani.
 
Salute ya dogo imetokana na 10,000 aliyopewa, angepewa 200 sidhani kama ungeishuhudia hiyo salute.
Kuna wakati pesa inaweza kutafsiri thamanibya kile unachofanya. Waafrika tunapenda sana mseleleko, mtu akufanyie kazi kubwa then umlipe kidogo. Kwa dogo ni wazi aliona Mzungu amethamini kazi yake.
 
Hata ikiziacha bado kwake sio tatizo. Kulipia huduma au kutolipia yote hayo yanabaki chini ya maamuzi yako. Iko hivyo hata kwa hao vijana wa barabarani.
Kama ni maamuzi kulipa hoja yako ni nini? Huyo dogo alichofurahia ni kupewa hela na mzungu na zaidi ya yote hiyo elfu kumi ambayo hajawahi pewa kwa mara moja.
 
Back
Top Bottom