Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Anayependa mserereko ni huyo dogo anayetufanyia kazi bila makubaliano ili alipwe.Kuna wakati pesa inaweza kutafsiri thamanibya kile unachofanya. Waafrika tunapenda sana mseleleko, mtu akufanyie kazi kubwa then umlipe kidogo. Kwa dogo ni wazi aliona Mzungu amethamini kazi yake.
Kama ni hivyo,vijana wote wasio na ajira waende kwenye ofisi za watu wakapige kazi bila makubaliano halafu wadai mshahara waone Kama watapewa.