Tukio la kocha Wa Belouzidad kutaka kuzichapa na mchezaji wake, limenikumbusha tukio la Mohamed Hussein na Manula-Novemba 5


Maaviiii nyie ni mwakarobo tu et mnafikiria kwenda nusu
 
Wavuke bila kupita robo au sijaelewa?
 
Hawa jamaa walikuja wakiwa wanajiamini sana kuwa yanga ni team ndogo, na kwa vile kule kwao waliwafunga 3-0 wakawa na mzaha uwanjani!!!! Kilichotokea daah nafikiri nafikiri mpaka muda huu watakuwa wanagombana uko angani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hongera sana mtani
 
Kwa akili yako mnyama hajawahi mpiga yanga goli 5?
Hizo tano zikamsaidia nini kwasasa kwenye ligi ya NBC? tano za yanga zina manufaa kwasasa. Haya chukua magoli yako matano mliwahi kuyapata muyaongezee kwenye NBC kama historia inasaidia kitu.
 
Wanafika hawana hamu😂
 
Mnyama yupi? Akiwa bado na nguvu,alifanya. Sasa hivi kachakalika hadi sisimizi wanampanda. Kubali matokeo,alokuwa akibebwa,leo hii anatembea
Aliyekuwa anatembea sasahivi anakimbia japo ajali njiani hazikosekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…